Bukyanagandi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2009
- 11,061
- 16,743
Sijaona kauli ya mtu kusimamishwa kazi, watachunguzwa wakiwa ofisini kwao!! What a fair investigation!
Mkuu hata mimi nashangaa sana, kuna mmoja aliwahi kusema humu eti awawezi kuondoka kabla ya kukamilisha BAJETI!!!