Uchaguzi 2020 Ikulu ya Marekani: Tutapitia tuhuma na kuwawajibisha wanaohusika na ukiukwaji wa Haki za Binadamu Tanzania

Muwe mnakubaliana na maoni ya watu walio wengi,
Chadema mnaona raha sana kuzungumzia habari zenye kuwapa faraja tu lakini hakuna kitakachoendelea.

Mmekua watu wa kujifariji kwa yale yasiyowezekana,
Wananchi wamechagua kwanini msiwaamini walio wengi?

13.4% zinawatosha maana ndo waliokuchagueni,
Uchaguzi haurudiwi mpaka 2025, sasa hivi tufurahishe genge hata nyie mnaelewa hilo.

Kwa sera za Chadema wengi walijua matokeo yatakua magumu lakini kwa kua mnaamini vingine hamkuelewa kabisa, jukwaani tulizungumza mapema mkatujibu "ni yeye" nasi twasema ni yeye.
 
Usiifananishe Tanzania na Zimbabwe. Tanzania. Tanzania ni multi alignment state wakifunga Magharibi wanafunga tunaendelea na Mashariki.

Sent from my Infinix X655 using JamiiForums mobile app
Dunia sio simple kiasi hicho. Tanzania na Zimbabwe hawapishani hata kidogo kuhusu alignment yao ilivyokuwa kabla waamerika hawaja mpiga pin brother Robert.
 
The United States commends the Tanzanian people for attempting to exercise their right to vote in the October 28 general elections. However, we remain deeply concerned by credible reports of significant and widespread voting irregularities, internet interruption, arrests, and violence by security forces both in mainland Tanzania and on Zanzibar.

These irregularities call into question Tanzania’s commitment to democratic values. While the Tanzania Election Commission declared President Magufuli on October 30 as the winner of the presidential contest, we remain deeply troubled by the impact of these irregularities and violence on the results.

We continue to urge restraint by all parties and peaceful resolution of any disputes. We urge Tanzanian authorities to investigate allegations of irregularities and violence by security forces and ensure that all political actors have access to legal institutions to peacefully address electoral disputes.

We call on the Government of Tanzania to uphold the human rights and fundamental freedoms of all, including their freedom of expression and right of peaceful assembly, and to promote internet freedom and to ensure that all those arrested during demonstrations are afforded all applicable procedural safeguards.

The United States, in coordination with our partners, will consider actions including visa restrictions, as appropriate, to hold accountable those found to be responsible for human rights abuses and interference in the election process.

The Tanzanian people, like people everywhere, deserve transparent and accountable governance, equal treatment under the law, and the ability to exercise their rights without fear of retribution. Achieving our shared goals and furthering our bilateral relationship will require ensuring that all stakeholders are represented and can fully exercise their roles in Tanzania’s democracy.

View attachment 1618469
Endeleeni kudanganyana hivyohivyo kesho Magufuli ana apishwa moto uendelee kuwaka, unaleta habari za ikulu ya marekani wakati hata rais wao analia kaibiwa kura anajitangaza mshindi kabla ya tume kama maalim seif.
 
Trump kaanza kusema kaibiwa kura na kajitangaza mshindi, hivi huo wizi wanaofanya kila wakati wa uchaguzi ni nani anawabwekea hao mabeberu wa dunia
Watuache Tanzania yetu, hakuna uchaguzi duniani usiokuwa na irregularities
 
Magu ninavyomjua, wakiweka vikwazo naye atawawekea vikwazo, jino kwa jino
 
Waanzie
The United States commends the Tanzanian people for attempting to exercise their right to vote in the October 28 general elections. However, we remain deeply concerned by credible reports of significant and widespread voting irregularities, internet interruption, arrests, and violence by security forces both in mainland Tanzania and on Zanzibar.

These irregularities call into question Tanzania’s commitment to democratic values. While the Tanzania Election Commission declared President Magufuli on October 30 as the winner of the presidential contest, we remain deeply troubled by the impact of these irregularities and violence on the results.

We continue to urge restraint by all parties and peaceful resolution of any disputes. We urge Tanzanian authorities to investigate allegations of irregularities and violence by security forces and ensure that all political actors have access to legal institutions to peacefully address electoral disputes.

We call on the Government of Tanzania to uphold the human rights and fundamental freedoms of all, including their freedom of expression and right of peaceful assembly, and to promote internet freedom and to ensure that all those arrested during demonstrations are afforded all applicable procedural safeguards.

The United States, in coordination with our partners, will consider actions including visa restrictions, as appropriate, to hold accountable those found to be responsible for human rights abuses and interference in the election process.

The Tanzanian people, like people everywhere, deserve transparent and accountable governance, equal treatment under the law, and the ability to exercise their rights without fear of retribution. Achieving our shared goals and furthering our bilateral relationship will require ensuring that all stakeholders are represented and can fully exercise their roles in Tanzania’s democracy.

View attachment 1618469
Waanze kwao kwanza. Donald T anadai ameibiwa kura hivyo anakwenda mahakamani
 
Unamnyima visa Magu ya kwenda US unaita kikwazo.....
wapi wamesema watamnyima visa?? vikwazo ni package kuzuiwa viongozi wa serikali ni sehemu ndogo sana vikwazo vya kiuchumi ni jambo lingine tuwache ushabiki tu na ukitaka kujuwa hilo yule Balozi kapindua sheria za ugaidi kutoka hakuna dhamana mpaka wamepewa dhamana, unadhani kama sio balozi wa nchi kubwa kusema waachie hao haraka unadhani wangetoka. swali hilo aulizwe Mambosasa umewakamata shutuma za ugaidi na ugaidi hakuna dhamana kisheria sasa hao wamepewa dhamana kwa sheria zipi?
 
Waanzie

Waanze kwao kwanza. Donald T anadai ameibiwa kura hivyo anakwenda mahakamani
kwa akili yako tatizo liko wapi hapo. huo ndio utaratibu mzuri binadam aliyestaarabika anatakiwa kujiwekea. Sio kama nyinyi mnaishi maisha ya hovyo kuliko hata mkoloni. Huu utaratibu wenu sidhani hata pori la manyani linaweza kujiwekea
 
Endeleeni kudanganyana hivyohivyo kesho Magufuli ana apishwa moto uendelee kuwaka, unaleta habari za ikulu ya marekani wakati hata rais wao analia kaibiwa kura anajitangaza mshindi kabla ya tume kama maalim seif.
ElvF33mXEAATfQv.jpeg

Kama hivi?
 
Exactly, waanze kwanza kuchunguza wizi wa kura kule kwao ndio waje huku. Tanzania na China kuna wataalamu wazuri wa investigation wakitaka tutawapa
 
Kaombe uraia Marekani hujalazimishwa kuweka makalio Tanzania

Be free Nenda US ya nini ujitese umewekwa gundi?
Cha msingi wakati unaporoja ukumbuke Tanzania ni mali ya watanzania wote si mali ya chama au mtu fulani muwe na kiasi cha maneno.
 
Muwe mnakubaliana na maoni ya watu walio wengi,
Chadema mnaona raha sana kuzungumzia habari zenye kuwapa faraja tu lakini hakuna kitakachoendelea.

Mmekua watu wa kujifariji kwa yale yasiyowezekana,
Wananchi wamechagua kwanini msiwaamini walio wengi?

13.4% zinawatosha maana ndo waliokuchagueni,
Uchaguzi haurudiwi mpaka 2025, sasa hivi tufurahishe genge hata nyie mnaelewa hilo.

Kwa sera za Chadema wengi walijua matokeo yatakua magumu lakini kwa kua mnaamini vingine hamkuelewa kabisa, jukwaani tulizungumza mapema mkatujibu "ni yeye" nasi twasema ni yeye.
Wamezoea kubisha kila kitu hata ukiwaambia wameshinda bado watabisha tu.
 
Back
Top Bottom