Ikulu: "Waandishi msishabikie uchawi!"

Mzee Mwanakijiji

Platinum Member
Mar 10, 2006
33,474
39,987
Akizungumza na waandishi wa habari leo Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Ikulu Bw. Salva Rweyemamu ameviasa vyombo vya habari kuacha kuandika habari za kushabikia uchawi kwani vinaweza kutishia wafadhili ambao wanaweza kuwa na wasiwasi na "usalama wa nchi".

Bw. Rweyemamu amesema kuwa Idara yake imepokea malalamiko ya watu wengi ambao wametaka vyombo hivyo vichukuliwe hatua ya kisheria kwa kushabikia mambo ya kichawi kinyume na sheria.

Mausia hayo ya Bw. Rweyemamu yanakuja siku chacha baada ya Mbunge wa Bariadi Magharibi Mhe. Andrew Chenge kudaiwa kuwanga katika ukumbi wa Bunge na kufanya mambo ya kishirikina. Hata hivyo haijajulikana kama serikali ina mpango wa kutumia sheria ya mambo ya uchawi dhidi ya waandishi.

KLHN itaendelea kuandika habari zozote zenye maslahi kwa Watanzania bila kuogopa, kupendelea au kuona aibu. KLHN inatoa usia kwa Ikulu na viongozi wanaoshabikia uchawi kwa kwenda kwa waganga wa kienyeji kuacha kufanya hivyo ili wasije kuandikwa. Usia huo wa Ikulu unawahusu watu wa nyumbani mwao na waandishi wao.


M. M.
 
kwa nini asiwaambie kwanza wafanyakazi wa ikulu wasiende kwa wa ganga wa kienyeji,pili mbona hakuzungumza pale mtoto alipokamatwa na kichwa cha mtu
 
Akizungumza na waandishi wa habari leo Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Ikulu Bw. Salva Rweyemamu ameviasa vyombo vya habari kuacha kuandika habari za kushabikia uchawi kwani vinaweza kutishia wafadhili ambao wanaweza kuwa na wasiwasi na "usalama wa nchi".

Bw. Rweyemamu amesema kuwa Idara yake imepokea malalamiko ya watu wengi ambao wametaka vyombo hivyo vichukuliwe hatua ya kisheria kwa kushabikia mambo ya kichawi kinyume na sheria.

Mausia hayo ya Bw. Rweyemamu yanakuja siku chacha baada ya Mbunge wa Bariadi Magharibi Mhe. Andrew Chenge kudaiwa kuwanga katika ukumbi wa Bunge na kufanya mambo ya kishirikina. Hata hivyo haijajulikana kama serikali ina mpango wa kutumia sheria ya mambo ya uchawi dhidi ya waandishi.

KLHN itaendelea kuandika habari zozote zenye maslahi kwa Watanzania bila kuogopa, kupendelea au kuona aibu. KLHN inatoa usia kwa Ikulu na viongozi wanaoshabikia uchawi kwa kwenda kwa waganga wa kienyeji kuacha kufanya hivyo ili wasije kuandikwa. Usia huo wa Ikulu unawahusu watu wa nyumbani mwao na waandishi wao.


M. M.

We mwanaume umenichekesha sana. Hujaacha tu urofi? Eti usia wa ikulu unamhusu Rweymamu na wachawi wenzie wakina Kikwete na wengineo. Hivi ile kesi ya mganga wake iliishia wapi?

Asha
 
Ziandikwe mpaka watakapoacha kujihusisha na uchawi ,

Hapa tunawekeana zengwe kwani aliyenaswa ni FISADI wao sasa wafadhili si wanatakiwa kujua nchi wanayoifadhili? kama tatizo ni kuwa wao hawapaswi kujua basi serikali ikakanushe kwao ila sisi wananchi tunataka kujua hali za wabunge wetu na usalama wao , uchawi hurudisha nyuma maenfdeleo.
 
Sheria dhidi ya uchawi ya mwaka 1971, iliyofanyiwa marekebisho mwaka 2002.

Hii sheria yenyewe suspect halafu wanataka kuleta show tu.

Spika kasema bunge haliamini katika uchawi wakati bunge hilo hilo limepitisha sheria ya uchawi.

Watu weeeeee!
 
si ndiyo sheria hiyo hiyo iliyotumika kwa yule jamaa aliyejaribu kumpiga ngwala Rais kule Mwanza...?
 
Kifimbo cha mwalimu kilitumika kuleta vitisho!Bado tuko nyuma na viongozi wetu wanatambua hilo na ndio maana wako desperate this time wanatumia kila mbinu!!Sasa wanaanza kuogopa kwasababu chama kimegawanyika na kuna uwezo wa wao kuumbuliwa bungeni na kwahiyo wanawatisha wabunge na wananchi...Tatizo this time kifimbo hakuna!
 
Hii ndio kusema ripoti ya uchunguzi tunayosubiri toka kwa Sitta haitasema ukweli ikigundulika ulikuwa uchawi! Huyu Salva naona sasa kaishiwa kabisa! Hivi kwa nini alikubali hiyo kazi! Ime m brain wash kabisa! Amegeuka kuwa kipaza sauti tu! Hii njaa ni kitu cha ajabu sana! Hivi huyo haona baada ya miaka ya JK yeye atageuka kituko barabarani! Haangaliii wenzie huko RAIAMWEMA! Mbona maisha yanaendelea hata bila kuwa na vyeo vya JK! Wawekezaji hawatashtuka na uchawi Africa, watatishika wakisikia mwanasheria mkuu wa zamani wa serikali alikuwa anaweka sumu kwenye chamber ya bunge! Hata mimi ukiwa uchawi sitashituka kwa sababu si uamini, lakini kama ni sumu nitashtuka sana!
 
Akizungumza na waandishi wa habari leo Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Ikulu Bw. Salva Rweyemamu ameviasa vyombo vya habari kuacha kuandika habari za kushabikia uchawi kwani vinaweza kutishia wafadhili ambao wanaweza kuwa na wasiwasi na "usalama wa nchi".

Bw. Rweyemamu amesema kuwa Idara yake imepokea malalamiko ya watu wengi ambao wametaka vyombo hivyo vichukuliwe hatua ya kisheria kwa kushabikia mambo ya kichawi kinyume na sheria.

Mausia hayo ya Bw. Rweyemamu yanakuja siku chacha baada ya Mbunge wa Bariadi Magharibi Mhe. Andrew Chenge kudaiwa kuwanga katika ukumbi wa Bunge na kufanya mambo ya kishirikina. Hata hivyo haijajulikana kama serikali ina mpango wa kutumia sheria ya mambo ya uchawi dhidi ya waandishi.

KLHN itaendelea kuandika habari zozote zenye maslahi kwa Watanzania bila kuogopa, kupendelea au kuona aibu. KLHN inatoa usia kwa Ikulu na viongozi wanaoshabikia uchawi kwa kwenda kwa waganga wa kienyeji kuacha kufanya hivyo ili wasije kuandikwa. Usia huo wa Ikulu unawahusu watu wa nyumbani mwao na waandishi wao.


M. M.

This country is dogged by dauntingly dumb and doubtlessly damaging diseased degenarates dueling for daily dollar and double density duodenums.

Turning me into a Captain Haddock!

Mimi nilifikiri wanasema watu wasiamini uchawi na serikali haiamini uchawi kumbe wanaogopa wafadhili?
 
Sisi Ndivyo Tulivyo.......

HASWAAAAA......Yaani huyu jamaa ni Salva ni smart sana,yaani kama yuko tayari kujibu kila kinachoandikwa magazetini....kwa nini asijibu Urafiki wa Sinclair na Kikwete?....

Mimi nafikiri alikuwa yuko mahali akijitayarishia ka 10% kutoka kwa mwekezaji...lakini bahati mbaya baada ya kusoma magazeti akaona mmmhhh mambo mbele si shwari....kama mjuavyo wenzetu wanaagaliaga mbali
..
 
Akizungumza na waandishi wa habari leo Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Ikulu Bw. Salva Rweyemamu ameviasa vyombo vya habari kuacha kuandika habari za kushabikia uchawi kwani vinaweza kutishia wafadhili ambao wanaweza kuwa na wasiwasi na "usalama wa nchi".

Bw. Rweyemamu amesema kuwa Idara yake imepokea malalamiko ya watu wengi ambao wametaka vyombo hivyo vichukuliwe hatua ya kisheria kwa kushabikia mambo ya kichawi kinyume na sheria.

Mausia hayo ya Bw. Rweyemamu yanakuja siku chacha baada ya Mbunge wa Bariadi Magharibi Mhe. Andrew Chenge kudaiwa kuwanga katika ukumbi wa Bunge na kufanya mambo ya kishirikina. Hata hivyo haijajulikana kama serikali ina mpango wa kutumia sheria ya mambo ya uchawi dhidi ya waandishi.

KLHN itaendelea kuandika habari zozote zenye maslahi kwa Watanzania bila kuogopa, kupendelea au kuona aibu. KLHN inatoa usia kwa Ikulu na viongozi wanaoshabikia uchawi kwa kwenda kwa waganga wa kienyeji kuacha kufanya hivyo ili wasije kuandikwa. Usia huo wa Ikulu unawahusu watu wa nyumbani mwao na waandishi wao.


M. M.

uliandika chochote kuhusiana na mbowe pale aliposema kwamba watu wanampigia ramli ili agombane na zitto ?? au kuandikwa huku kwa viongozi kunaangaliwa upande mmoja ?
 
This country is dogged by dauntingly dumb and doubtlessly damaging diseased degenarates dueling for daily dollar and double density duodenums.

Turning me into a Captain Haddock!

Mimi nilifikiri wanasema watu wasiamini uchawi na serikali haiamini uchawi kumbe wanaogopa wafadhili?

Duh! duodenums....hii inanikumbusha mwalimu Asanga, alikuwa anafundisha jiografia....
 
This country is dogged by dauntingly dumb and doubtlessly damaging diseased degenarates dueling for daily dollar and double density duodenums.

Turning me into a Captain Haddock!

Mimi nilifikiri wanasema watu wasiamini uchawi na serikali haiamini uchawi kumbe wanaogopa wafadhili?

..........hahahahaha........dah Mzee Pundit............wee mkali!!
 
Back
Top Bottom