BABU CHONDO
JF-Expert Member
- Jun 6, 2011
- 855
- 139
Hawa masaburi kweli mmeacha kuwatoa Babu na wanae mmekuja ukuwatoa wauaji walio hukumia kifo kwa tuhuma nzito zenye fitna na usaliti mkubwa juu ya mkuu wao,yote coz Imran alikuwa na mchapa kazi mwenye msimamo,hakuna asiye mjua kwa misimamo ya haki mkuu yule,kila aliyesikia kuwa amefariki alisakitikaa,hawa jamaaa miaka 16 tu wametolewa daaaah serikali yetu nomaaa,iba kuku au gombana na jirani yk mwenye wadhifha wwt srknl utafungwa hadi kufa,walio uwa kwa makusudi watatolewa,tumesha wajua,kombe tulimpenda na tutaendea kumkumbuka daima.damu yk haita enda bure.