Ikulu vs Gazeti la Mwananchi: JK akana kuwasamehe waliomuua Lut Jen Kombe

Kwani ni lazma wajitokeze kwa kila jambo. Bora wangekaa kimya.
 
Ni suala jepesi sana, tutajua kama hao wafungwa wametoka au laah baada ya kwenda magereza husika kujua kama ni kweli au laaaah. Halafu kwa nini Ikulu isilitake gazeti kukanusha habari hiyo front page badala yake inaishia kukanusha na kutulia tu. Yupi muongo sasa Ikulu au Mwananchi?

Na wewe uwe muelewa ni kwamba walishaachiwa lakini Ikulu ya Kikwete haihusiki, kwani vijana walifanya wakati rais akiwa nani? na aliyewasamehe inaonekana na rais wa kipindi hicho na huyu si mwingine ni Mkapa, alilipa fadhili? je hii inawezakana sasa kujenga hoja kuwa walifanya kwa maelekezo na usimamizi wa Ikulu? ebu ifuatilieni hadi kieleweke? hii siyo habari ndogo hata kidogo naanza kuanza kushangaa. Je ilikuwa wakati wa msamaha wa jumla au walipewa msamaha kivyao?
 
Nguruwe pita sina mkuki mie, wewe haramu......this is totally bulshit, kazi za kupeana zina matatizo yake, tuendelee tuone mwisho wake.
 
Heshima kwako bro!
A certain philosopher(don't remember he name...sorry) used to say " if you don't stand for what you believe, then either your creed is worthless or you are worthless"
Now what I said regarding Kikwete and his gang is not personal - I think everyone in good faith can witness and testify the inability of the man to govern surely he's able to rule but not to lead, hope you know the difference between the two!!!

Regarding "kufundisha" I didn't find a better terminology but if you have one please forward it to me for future reference(s): in any case I didn't navigate in the merit of the issue instead what I did was simply to provide 2 simple rules of mass communication which he should know better than I do because the guy earns his daily bread thanks to that...

As far as "VIONGOZI WABOVU" is concerned, I surely don't own the copyright and I kindly mentioned the source so I don't know what is your argument so far!!!!

Hauhitaji kuwa na degree ya uongozi ili kujua kwamba Kikwete ni kiongozi mbovu!!!! Labda umekuwa disturbed na neno VIBAKA - those guys starting with Kikwete and the members of his family down to the members of his gang(read CCM aka MAGAMBA) are looting the natural resources as well as the finance of our country - how should I call them???? I'm afraid I was even fairly diplomatic.
u can't even remember the name that makes me doubt the righteous of ur quote.,anyway i don't do much with philosophy...!
Basically, frm semantic point of view, the two is interchangeable in use and i do concur that the guy understand that 2simple rules of mass comm more than u do..,that was supposed to be ur precaution.,the rest of ur post was both irrelevant, hearsay,baseless&plain comment to the subject on issue..,u can follow my mark "Hauhitaji kuwa na degree ya uongozi ili kujua kwamba Kikwete ni kiongozi mbovu!!!! Labda umekuwa disturbed na neno VIBAKA - those guys starting with Kikwete and the members of his family down to the members of his gang(read CCM aka MAGAMBA) are looting the natural resources as well as the finance of our country
 
Hivi kama ni kweli askari hao wameachiwa, hii kurugenzi ya mawasiliano ya ikulu itakuwa imetoa mesage gani?
 
Ha ha haaaa..............

Tanzania nchi yetu nzuri sana, watu kwa kujitoa tu hawajambo.

Mimi nilitegemea ikulu ingetueleza huo msamaha ulitolewaje kwa kuzingatia katiba, sheria na mamlaka ya rais, lakini kumbe ni yale yale ya kusingizia utawala uliopita!

Natumaini hamjamuelewa JK. Kwa tamko hili anasema kwamba yule aliyewatuma askari kumuua Kombe, ndiye huyu huyo aliyetoa polisi hao waachiliwe. Kama bado hamjaelewa, Kikwete anawaambia kwamba Mkapa ndiye aliyemuua Kombe na ndiye aliyetoa amri polisi waachiwe. Je mmeelewa ?
 
Sasa ndo naamini kulikuwa na mkono wa mtu kwenye mauwaji ya Kombe.Siku ccm ikiondolewa madarakani,basi tutajuwa mengi sana.Ukweli ni kwamba it will be chaotic to some extent watu wakijuwa how deeply bad these people are.
 
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI




Gazeti la Mwananchi, matoleo ya jana, Jumatano, Oktoba 12 na leo, Alhamisi, Oktoba 13, 2011, limeandika habari zilizodai kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete alitoa msamaha wa kupunguza adhabu ya kifo iliyowakabili askari polisi wa zamani waliopatikana na hatia ya kumpiga risasi na kumwua kwa makusudi aliyepata kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa, Luteni Jenerali Imran Kombe Juni 30, 1996.

Gazeti hili limedai kuwa Mheshimiwa Rais Kikwete alitoa msamaha huo kwa kupunguza adhabu ya kifo iliyokuwa inawakabili makonstebo wapelelezi Mataba Matiku na Juma Muswa na kuibadilisha kuwa kifungo cha miaka miwili.

Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais, Ikulu, inapenda kufafanua kuwa Mheshimiwa Rais Kikwete hajawahi na hajapata kuhusika hata kidogo kutoa msamaha wa kirais kwa kupunguza adhabu ya wauaji hao wa Luteni Jenerali Kombe tokea kuingia madarakani.Masuala yote yanayohusu polisi hao waliohukumiwa kifo kwa mauaji ya Luteni Jenerali Kombe yalifanyiwa maamuzi kabla ya Rais Kikwete kuingia madarakani Desemba 21, 2005.

Imetolewa na:
Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,
Ikulu,
DAR ES SALAAM.
13 Oktoba, 2011


Hapo kwenye Red jamani IKULU da haya mambo ndiyo yanayoongoza kwa kutia mashaka utendaji wa ofisi hii kuu kwa Nchi.Kwa kuwa Wananchi wanapenda kujua na kuamini kwa kiwango kikubwa taarifa za ofisi hiyo kuu.Iweje watu waliotenda kosa kubwa kama hili kisha taarifa zake za kuachiwa hulu kwa watuhumiwa kuonekana kama zimefanyika ndivyo sivyo kwa hakika inasababisha watu watake kuhoji na kujua kulikoni haya yanatokea ndani ya Taifa lao lenye utawala wa Sheria.

Mwalimu anasema wananchi wanataka kuamini kuwa Serikali yao inasimamia haki na sheria, na kuwa wananchi wakiwa wamelala kwenye majumba yao wanataka kujua kuwa wana uhakika ndani ya majumba yao kuwa wana Serikali inayowalinda kwa mujibu wa sheria.Sasa haya mengine yanayo sababisha watu kuhoji baada ya kupata taarifa kupitia gazeti la Mwananchi,ambayo pia kwa taarifa hiyo kumeibuka tena swala la kujiuliza iweje taarifa inataja kuwa wamepewa msamaa wa kutoka KIFO kuwa ni kifungo cha miaka miwili.Leo hii ofisi kuu inakanusha kuwa Utawala ulioko madarakani unajitoa kwa kutohusika na msamaha huo na pia biala kutaja aliyehusika na kutoa masamaha huo ni nani? Serikali kuu ya sasa inakanusha kuwa Kiongozi aliyeko kwenye ofisi kuu kwa sasa hausiki na msamaha na kifungo hicho na kuwa wahusika wa swala hilo ni baadaya maamuzi kabla ya December 21,2005.

Hakika tuko kwenye maadhimisho ya miaka kumi na mbili [12] toka kifo cha Baba wa Taifa lakini kwa maadhimisho ambayo wananchi wenye kada ya wasomi ambao wana ufahamu wa mwenendo wa shughuri za kiserikali wanatilia shaka taarifa za Serikali baada ya gazeti kubwa nchini kutoa taarifa ambazo zimeibua mazungumzo mengi kwenye kada ya wananchi wasomi.Kisha tunaona kuibuka kwa haya mapya ambayo yanaongeza upya chuki ya umma wasomi wenye uelewa juu ya Serikali yake kwa kutaka kujua kimetokea nini juu ya taarifa yenye utata huu.

Hapa yanaitajika maelezo ya ziada ili IKULU iweze kujitoa ndani ya KIZUNGUMKUTI hiki ambacho KITALETA UTATA MKUBWA SANA KWA SIKU ZIJAZO.
 
hii kurugenzi inamtetea rais kama mtu au taasisi ya urais? Fafanuzi zote za sasa na kabla yao tuite hao wastaafu? Sekta zote za umma ingekuwa hivi si balaa!

Hapo ndio majibu yalipo,Toka alipotoka Ben 2005,Decemba Nchi haijapata Presdent,so huyo anayetetewa ni Mchizi wangu moja hv.Ni dhahiri Hii thread Ije 2015 Rais atakapoingia Ikulu ili Tuwaulize kama Taasisi,maana kwa sasa Hata taasisi yenyewe imekosa wasemaji
 
Hapo Kwenye Red huyo ni Mnyaruanda, sio Mtanganyika, Kikwete hawaamini watanganyika

Eti Rweye ili tuseme Mhaya,Pumbafu kabisa,Hawa Ndio washirika wa Kagame Kuua watu 1994,wakakimbilia Tanganyika,Watch out Baba Ritz wanakuspy kwa ajili ya Kagame,Where is Mwaikusa,wasn't he Rweye and the Company???
 
Sasa ndo naamini kulikuwa na mkono wa mtu kwenye mauwaji ya Kombe.Siku ccm ikiondolewa madarakani,basi tutajuwa mengi sana.Ukweli ni kwamba it will be chaotic to some extent watu wakijuwa how deeply bad these people are.

Unajua kinachoshangaza ni pale hiyo kurugenzi ya Ikului inapokimbilia kumlinda Kikwete badala ya kutoa ufafanuzi. Ni watu hawahawa tukiwaambia watuonyeshe barabara alizojenga JK na awamu yake wanaonyesha zile zilizobuniwa, kufanyiwa feasibility studies, kubajetiwa na kuanza kujengwa na awamu ya Mkapa. The talk ni kwamba wanaendeleza, sasa inakuwaje responsibility ya mambo mengine ya uraisi yakwepwe kwa staili hii ya matamko??? Something really fishy kilifanyika kwenye hilo sakata zima na nnadhani sasa ni muda wa kuchungulia nini kinatoka ndanin ya hiyo can of worms!!
 
1. ni vyema kurugenzi ya mawasilino ingetoa ufafanuzi juu ya vigezo vilivyotumika kuwasamehe hao maharamia badala ya kutupiana mpira;
yaani mimi nafikiri hoja sio nani kawasamehe, bali ni kwa vipi wamesamehewa? nasema wamesamehewa kwa sababu mtu aliyehukumiwa kunyongwa, halafu akapunguziwa adhabu hadi kufikia kufungwa miaka 2, ni sawa na kumsamehe tu!

2. kama haya yalifanywa na utawala uliopita; tunakuomba ndani ya utawala wako mtukufu Rais uwasamehe BABU NA MWANAWE ambao bado wapo gerezani.
 
Masuala yote yanayohusu polisi hao waliohukumiwa kifo kwa mauaji ya Luteni Jenerali Kombe yalifanyiwa maamuzi kabla ya Rais Kikwete kuingia madarakani Desemba 21, 2005.

Ni maamuzi gani yalifanywa December 21, 2005? Na hayo maamuzi yalifanyiwa kazi mwaka huo huo (2005) au la? Na, je wafungwa hao wa kifo wako nje au la? na kama wapo nje ni lini walitoka, 2005 au 2011? Kama wametoka 2011 kwa 'maamuzi' yaliyofanywa December 2005, kwa nini walikuwa ndani muda wote huo wa takriabn miaka sita wakati maamuzi yalishatolewa? Na muhimu zaidi, rais wa sasa anakuabliana na maamuzi hayo ya December 2005? Kama hakubaliani nayo amefanya nini kuyatengua?

Kwa ujumla hii press release is fundamentally flawed. Inamuharibia kabisa sifa rais maana inamuonesha kama mtu anayekwepa 'responsibility' kwa kusema 'sio mimi'! haijakaa vizuri hata kidogo.




 
Unajua kinachoshangaza ni pale hiyo kurugenzi ya Ikului inapokimbilia kumlinda Kikwete badala ya kutoa ufafanuzi. Ni watu hawahawa tukiwaambia watuonyeshe barabara alizojenga JK na awamu yake wanaonyesha zile zilizobuniwa, kufanyiwa feasibility studies, kubajetiwa na kuanza kujengwa na awamu ya Mkapa. The talk ni kwamba wanaendeleza, sasa inakuwaje responsibility ya mambo mengine ya uraisi yakwepwe kwa staili hii ya matamko??? Something really fishy kilifanyika kwenye hilo sakata zima na nnadhani sasa ni muda wa kuchungulia nini kinatoka ndanin ya hiyo can of worms!!
Ukishaona issue inakuwa "dropped like a hot potatoe" basi ujuwe something really fishy kama ulivyosema.Binafsi ni kielelezo kuwa it wasnt an accident kama walivyotaka tuamini before.Mkapa na Mahita ilikuwa a deadly combo.
 
Ila pamoja na yote kuna maswali ya kujiuliza juu ya hili gazeti..,kwa ninavyofahamu mimi ni kuwa chombo chochote cha habari kinakuwa na dhumuni ama madhumuni juu ya kuundwa kwake..,ukiacha kule kufikisha habari kwake lakini muundaji wa chombo hicho huwa na dhumuni binafsi la msingi, hivi ndivyo ilivyo duniani kote..,SASA LABDA NIJIULIZE BINAFSI LENGO LA MWANANCHI NI LIPI KWA KUANDIKA HAYA..?
huenda ikawa ni vita ya makundi inayoendelea ndani ya chama, katika mbio za kugombania urais 2015
 
u can't even remember the name that makes me doubt the righteous of ur quote.,anyway i don't do much with philosophy...!
Basically, frm semantic point of view, the two is interchangeable in use and i do concur that the guy understand that 2simple rules of mass comm more than u do..,that was supposed to be ur precaution.,the rest of ur post was both irrelevant, hearsay,baseless&plain comment to the subject on issue..,u can follow my mark "Hauhitaji kuwa na degree ya uongozi ili kujua kwamba Kikwete ni kiongozi mbovu!!!! Labda umekuwa disturbed na neno VIBAKA - those guys starting with Kikwete and the members of his family down to the members of his gang(read CCM aka MAGAMBA) are looting the natural resources as well as the finance of our country

Bro!
i wish I could understand what you have written - I wish!!!
Nimesahau jina la mwana falsafa for you seems to be a big deal instead of discussing what thet quote meant. Mtu akikuonyesha mwezi wewe usiangalie kidole kinachopoint mwezi,angalia mwezi - is it clear???
sasa kama ningekuambia imeandikwa ktk bible kwamba "...msiwapatie nguruwe lulu(zenu)..." halafu nikasahau kusema inatoka katika kitabu gani,aya gani au mstari gani je inamaanisha kuwa mstari huo haupo au should ask for more evidence which you didn't!!!

Nimejaribu kusoma kwa utashi ulichoandika bila kupata mafanikio yoyote at the end I concluded that " you wrote too much but at the end of the day you wrote nothing!!!

You lost a very precious occasion to remain in silence!!!
 
Kwa uwelewa wangu hawa jamaa walitekeleza amri toka juu na kitendo cha kukaa jela ni kwamba walisalitiwa na waliowatuma, it means kuna kitu kilikosewa na hao viongozi wa juu, in short kifo cha Kombe was planned, ikulu msidhani watanzania bado ni wajinga! Hizo statement fupi with a lot of pumbas muache kabisa kuzitoa maana mnatupa kichefuchefu! Na hizo kazi za ikulu mzitangaze ili nasisi wenye akili tuombe!
 
Back
Top Bottom