Kama wewe unakaa Dar,unafikiri yale mabenzi meusi wanayotumia foreign affairs kwa wageni,na lile jeusi alilotumia Mkapa mwishoni yalitoka wapi? Yalitoka kwa Ghaddafi.Haya ma BMW yametoka Saudi Arabia.Hawa watu walishapewa eneo kubwa tu la kujenga ubalozi wao,Masaki.Pia taarifa wanapewa eneo kubwa kujenga bandari.
Sasa wewe unaesema mimi mwongo basi njoo na risiti,au atleast bei ya hayo magari yamenunuliwa wapi,tusiitane waongo tu bila facts.Prove me wrong,lakini usiniite muongo.
Kazi kweli kweli...sasa hawa viongozi wetu wana tofauti gani na Mangungo wa Msovero?