mbinguni
JF-Expert Member
- Jan 2, 2013
- 2,746
- 1,051
Mnapewa nafasi bila kufundishwa kuwa viongozi na ndio maana mnachemsha mapemaJambo kubwa Sana kwa serikali hii ya JPM ni kutoa nafasi kwa sisi vijana tuoneshe uwezo wetu wa kuwatumikia watanzania Viva MAGUFULI 2020-2025