IKULU: Rais Magufuli atengua uteuzi wa Mkuu wa Wilaya ya Rufiji

Nimefika utete yalipo makao makuu ya wilaya ya rufiji ..kwanza ofc za mkuu wa wilaya ni za kizamani na zimechoka kwelikweli , barabara zote za wilaya ni mbovu hatari ..gari ya mkurugenzi wa wilaya choka mbaya hivyo hvyo na mkuu wa wilaya pia..Rufiji iko hovyo hovyo kbsaa ..ukiingia kuanzia mwaseni kuja ndundunyimikanza hadi ngorongo uje mpk mkongo ni shida tupu ..yaani kiukweli ni wilaya masikini mnooo mnoo ...mkuu was wilaya Juma Njwayo ni mmakonde wa Tandaimba alinisumbua sana sana wkt nafanya shughuri za kichama kwenye hiyo wilaya acha apumzishwe tu japo sio vzr kufurahia matatizo ya mwenzio ...
Kuna mengi tu ya huyo alietumbuliwa nlikua huko pia.
 
Hiyo Wilaya magari yote mabovu, Mkuu wa Wilaya hana gari, Mkurugenzi Hana gari, DAs hana hana gari.

Sijui kosa la nani hapo.
Kosa ni la mkuu wa wilaya kwa kushindwa kutengeneza magari yaliyopo, pesa si wanakusanya, wajibane bane hivyo hivyo wapeleke magari gereji
 
Mkuu hio video umeweka hapo ,mbona huyo nimkuu wa wilaya ya kibiti nasi Rufiji?. Au Rufiji ndio wilaya ya kibiti?. Na huyo mkuu wa wilaya ya kibiti anaonekana kwenye video anaitwa GULAM HUSSEIN SHABAN KIFU, alikua mbunge 2000/2005 jimbo la Kigoma kusini kupitia NCCR MAGEUZI hata diploma hana huyo jamaa.@Moderator JamiiForums wekeni taarifa sawa huyu jamaa anapotosha , video haiendani na utenguzi.
Mkoa wa Pwani unawilaya 6 tu, Bagamoyo, Kibaha, Kisarawe, Mkuranga, Mafia na Rufiji. Wilaya ya Rufiji ina kata 19, Kibiti ni moja wapo. Pia makao makuu ya Wilaya ya Rufiji yapo Kibiti.
Bungu, Chumbi,Ikwiriri, Kibiti, Kiongoroni, Mahege, Maparoni, Mbuchi, Mbwara, Mchukwi, Mgomba, Mkongo, Mtunda, Mwaseni, Ngorongo,
Ruaruke, Salale, Umwe, Utete, Kilimani, Kipugila na Ngolongo.
 
Mkoa wa Pwani unawilaya 6 tu, Bagamoyo, Kibaha, Kisarawe, Mkuranga, Mafia na Rufiji. Wilaya ya Rufiji ina kata 19, Kibiti ni moja wapo. Pia makao makuu ya Wilaya ya Rufiji yapo Kibiti.
Bungu, Chumbi,Ikwiriri, Kibiti, Kiongoroni, Mahege, Maparoni, Mbuchi, Mbwara, Mchukwi, Mgomba, Mkongo, Mtunda, Mwaseni, Ngorongo,
Ruaruke, Salale, Umwe, Utete, Kilimani, Kipugila na Ngolongo.
Kibiti ni wilaya mpya ilianzishwa 2015 mkuu jaribu uchunguze. Mkuu wa wilaya ya kibiti ni bwana GULAM KIFU, mkuu wa wilaya ya rufiji alietenguliwa ni JUMA NJWAYO huoni hapo kama niwilaya mbili tofauti?.
 
Angeliuza mvx wake pesa atumie kuwajengea choo
Yeye angetumia hata bodaboda kwa shuguli zake za kazi

Ova
Unaambiwa aliyetenguliwa sio yule wa kutojenga choo, watu mnaendelea kujadili kitu kisicho, huu uzi hauna maana yoyote
 
1.8bn hiyohiyo itengeneze magari, hiyohiyo ijenge madarasa, hiyohiyo ijenge stendi, hiyohiyo ijenge vyoo vya shule na masoko, hiyohiyo ilipe posho za mwezi na za vikao za madiwani,hiyohiyo ijenge kiwanda...

Hela hiyo ni ndogo, sema ndio hivyo siku ya kufa nyani...
Angalao nmepata mtu aliyeongea ukwel. Watu wanazani hayo mapato yanamatumizi ya aina moja tu, halmashauri hazina pesa zinajikongoja vibaya mno. Japo suala la choo lilikua la muhimu
 
Nchi ishakuwa ngumu hii,ukibaki ofisini unakutana na mziki wa JPM,ukisema uende jimboni unakutana na mziki wa wajumbe
 
Nimefika utete yalipo makao makuu ya wilaya ya rufiji ..kwanza ofc za mkuu wa wilaya ni za kizamani na zimechoka kwelikweli , barabara zote za wilaya ni mbovu hatari ..gari ya mkurugenzi wa wilaya choka mbaya hivyo hvyo na mkuu wa wilaya pia..Rufiji iko hovyo hovyo kbsaa ..ukiingia kuanzia mwaseni kuja ndundunyimikanza hadi ngorongo uje mpk mkongo ni shida tupu ..yaani kiukweli ni wilaya masikini mnooo mnoo ...mkuu was wilaya Juma Njwayo ni mmakonde wa Tandaimba alinisumbua sana sana wkt nafanya shughuri za kichama kwenye hiyo wilaya acha apumzishwe tu japo sio vzr kufurahia matatizo ya mwenzio ...
Alikusumbua wakati unafanya shughuli za 'kichama'? Au wewe ni mpinzani?
 
Inachoshangaza, kila aingiaye husema nimekuta nchi ipo hoi, nimekuta hiki kipo hovyo, nimekuta wezi wengi...etc LAKINI HAKUNA ANAYESEMA HUO UHOVYO UMESABABISHWA NA NANI..!!!
hata atakekuja baadae nae atasema 'nilikuta nchi maamuzi ni ya mtu mmoja tu anachoamua ndio hicho. hakutaka kufuata sheria au mifumo iliyopo'
 
Back
Top Bottom