secret file
JF-Expert Member
- Sep 10, 2019
- 5,843
- 8,609
Wapuuzi sana na huko ndio mbao nyingi zinatokaLeo kuna shule watoto walisema hawana madawati. Too sadðŸ˜. Hawa nao Rufiji hata choo hawana.
Wapuuzi sana na huko ndio mbao nyingi zinatokaLeo kuna shule watoto walisema hawana madawati. Too sadðŸ˜. Hawa nao Rufiji hata choo hawana.
Kazi ya mkuu wa wilaya ni kujenga vyoo vya soko? DED jeUjinga wake. Choo cha soko mpaka mhe rais akisemee? Sio sawa.
Kila mwezi wanapata 1.8 billionHiyo Wilaya magari yote mabovu, Mkuu wa Wilaya hana gari, Mkurugenzi Hana gari, DAs hana hana gari.
Sijui kosa la nani hapo.