Uliambiwa na nani?tuliambiwa kuwa airtel ni kampuni inayomilikiwa na serikali kwa asilimia mia moja, leo unakuja kufurahia kushuka kwa hisa hadi asilimia 49
Yule ni kichaa, kama hamkumuelewa aliposema kuwa yeye ni kichaa mtapata tabu sana, huyu mzee hafai kuwa hata mzee wa familiatuliambiwa kuwa airtel ni kampuni inayomilikiwa na serikali kwa asilimia mia moja, leo unakuja kufurahia kushuka kwa hisa hadi asilimia 49
Muulizeni kichaa wenu alisema Airtel ni ya serikali kwa 100% iweje leo serikali iwe na share 49%!
Huna akili wewe, kutoka kumiliki 100% hadi 49% bado unashangilia!Tukio la leo ni la kizalendo mno! Nampongeza sana Mheshimiwa Rais kwa kupambania maslahi ya taifa, tulikua tunaporwa sana haki zetu.
Sent using Jamii Forums mobile app
We limbukeni tu si bure.Ndio maana airtel ni ya hovyo sana kumbe serikari ya Tanzania ni shareholder loh!
Kama una lia wewe lia. Watu wanafanya vitu vya kishujaa kupambania maslahi ya umma. Wewe unaleta udwanzi hapa. 100% ulizileta wewe? Umelewa mchana huu wewe si bureHuna akili wewe, kutoka kumiliki 100% hadi 49% bado unashangilia!
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ndio unapaswa kutumia akili zako badala ya kushikiwa akili na kichaa, yaani share imeshuka kutoka 100% hadi 49% bado unashangilia! Unapaswa kupimwa akili zako kama ziko sawaUliambiwa na nani?
Mnaona wivu tu hakuna lolote. Muda mwingine mtumie akili, mlishindwa kuhoji huko nyuma mmeona Rais wa wanyonge amekuja kurudisha mali za Watanzania, ndo unakuja kuuliza viswali vya kitoto?
Muulize yule kichaa aliyesema maneno ya kuwa serikali inamiliki 100%Kama una lia wewe lia. Watu wanafanya vitu vya kishujaa kupambania maslahi ya umma. Wewe unaleta udwanzi hapa. 100% ulizileta wewe? Umelewa mchana huu wewe si bure
Sent using Jamii Forums mobile app
atakosaje labda kwa mfano??Na Spika atahudhuria?!
tuliambiwa kuwa airtel ni kampuni inayomilikiwa na serikali kwa asilimia mia moja, leo unakuja kufurahia kushuka kwa hisa hadi asilimia 49
Rais wa wanyonge ni Nani? Huyu Jiwe ninayemjua mimi au Kuna mwingine? Vitu vingine kazi kwelikweliUliambiwa na nani?
Mnaona wivu tu hakuna lolote. Muda mwingine mtumie akili, mlishindwa kuhoji huko nyuma mmeona Rais wa wanyonge amekuja kurudisha mali za Watanzania, ndo unakuja kuuliza viswali vya kitoto?
Tatizo nyie vi.laza, kazi yenu kupiga makofi tu, Huyu kichaa aliwah kusema kwamba serikali inamilika airtel 100% unachokataa nini punguani weweKama una lia wewe lia. Watu wanafanya vitu vya kishujaa kupambania maslahi ya umma. Wewe unaleta udwanzi hapa. 100% ulizileta wewe? Umelewa mchana huu wewe si bure
Sent using Jamii Forums mobile app