IKULU: Rais Magufuli amteua Dkt. Bashiru Ally Kakurwa kuwa Katibu Mkuu Kiongozi

Stone mjanja sana kuna skendo Dr alianza kuandaa mtandao wa 2025 ili kumzunguka farao

Hii kitu itamfanya kuwa mbali na chama na mipango yake
Hizi stori za vijiweni mpaka lini? Bashiru hana hulka za kijinga au tamaa za fisi au kumzunguka yeyote he calls a spade a spade ni hilo tu and nothing in between - Dk. Magifuli knows mission critical fellas waliochini yake like back of his hand - msifikiri kumteua Dk. B.Kakurwa kwenye wadhifa wa katibu mkuu kiongozi amebahatisha - far from it, team ingekamilika vizuri kama Mzalendo Makonda angepewa nafasi aliyo iacha Dk. B. Kakurwa, nafasi hiyo inahitaji mtu mwenye kuendesha mambo kijeshi jeshi na mbunifu, sifa hizo Makonda anazo sana.
 
Jf ya siku hizi ina vilaza sana. Balozi Kijazi alipokuwa KM alikuwa balozi wa nchi gani? Balozi Sefue alipokuwa KM alikuwa balozi wa nchi gani? Vipi kuhusu Balozi Mahiga alipokuwa waziri alikuwa balozi wa nchi gani pia?
Ni kwamba hawa walikuwa mabalozi kabla ya kupewa hizo nyadhifa mpya.
Ni kwamba ukishakuwa balozi unatambulika kwa title hiyo mpaka utakaporudisha namba kwa muumba.
 
Hakuna uhusiano wo wote baina ya utumishi serikalini na ilani ya chama cha siasa. Mtumishi wa serikali anafanya kazi kwa kuzingatia kanuni za utumishi wa umma na anaweza kufanya kazi katika mazingira yo yote ya kisiasa bila kujali itikadi ya chama kilichopo madarakani.

Hivyo katibu mkuu kiongozi hapaswi kuwa mwanasiasa!
Unasahau kuwa Dr. Bashiru alikuwa mtumishi wa umma...So anarudi kwenye utumishi wa umma baada ya kutumikia cheo cha juu cha kisiasa.

Wakati mwingine tuwe na open minds...Kupata mtu mwenye experience kubwa kwenye taaluma na siasa huku akienda kufanya utendaji kwenye serikali, hiyo blend pengine ni muhimu sana kwenye kuchochea maendeleo ya nchi yetu......Huyu ni assest kubwa sana kwasababu kwenye maamuzi yake na utendaji wake atakuwa anaona vitu kwa 3D...Politically, academically na executive wise...Hii siyo previllage kwetu kama nchi?

Sometimes tuwe positive na kukubali mabadiliko chanya...Ameonyesha nidhamu ya hali ya juu kule kwenye chama na pengine ile transformation aliyofanya kule inahitajika kwenye government system pia...Why dont we give him a benefit of doubt na tutampima katika utendaji wake baadaye.
 
Unasahau kuwa Dr. Bashiru alikuwa mtumishi wa umma...So anarudi kwenye utumishi wa umma baada ya kutumikia cheo cha juu cha kisiasa.

Wakati mwingine tuwe na open minds...Kupata mtu mwenye experience kubwa kwenye taaluma na siasa huku akienda kufanya utendaji kwenye serikali, hiyo blend pengine ni muhimu sana kwenye kuchochea maendeleo ya nchi yetu......Huyu ni assest kubwa sana kwasababu kwenye maamuzi yake na utendaji wake atakuwa anaona vitu kwa 3D...Politically, academically na executive wise...Hii siyo previllage kwetu kama nchi?

Sometimes tuwe positive na kukubali mabadiliko chanya...Ameonyesha nidhamu ya hali ya juu kule kwenye chama na pengine ile transformation aliyofanya kule inahitajika kwenye government system pia...Why dont we give him a benefit of doubt na tutampima katika utendaji wake baadaye.
Lazima utofautishe kati mtumishi wa umma (public servant) na mtumishi wa serikali (civil servant). Bashiru alikuwa mtumishi wa umma lakini hajawahi kuwa mtumishi wa serikali.
 
Bashiru hajawahi kuwa civil servant bali public servant, muda wote alikuwa mwanaharakati akifundisha chuo kikuu. Labda kama huelewi, waalimu siyo civil servants bali ni watoa taaluma ambao wanaweza kuwa serikalini au kwenye siasa.
So you mean wanataaluma siyo civil servants?
 
Lazima utofautishe kati mtumishi wa umma (public servant) na mtumishi wa serikali (civil servant). Bashiru alikuwa mtumishi wa umma lakini hajawahi kuwa mtumishi wa serikali.
Daah so civil is government...Hii nayo mpya....kwahiyo utumishi inasimiamia civil servants and public servants kwa sheria mbili tofauti siyo?

Am learning for sure, teach me!😀
 
Kwenye sheria kuna msemo, justice must not only be done, it must also seem to be done.

Rais alikuwa na watu wengi sana wa kuwateua katika nafasi hii ya kiserikali isiyotakiwaa kuongozwa kisiasa, akachagua katibu mkuu wa chama chake ambaye ni mtu wa kisiasa.

Katibu Mku huyu ana historia tayari, historia mabayo hawezi kuikana na itamfuata tu huko kwenye civil servant.

Hivi Katibu Mkuu Kiongozi ambaye ashatoa matamko kibao ya kishabiki kwa kuishabikia CCM leo akiwaambia wafanyakazi wa serikali, watumishi wa umma, wasiendekeze siasa sehemu za kazi atachukuliwa serious?

Hivi, watu wakisema Magufuli ana mkakati wa kuingiza siasa za vyama kwenye civil service, atakuwa na point za kujitetea?

Hivi, hakuna watu wengine ambao hawana historia ya chama ambao wangefaa kuwa Katibu Mkuu Kiongozi?

Umeongelea Katiba. Ukweli kwamba kitu hakikatazwi kikatiba haumaanishi kwamba kukifanya ni busara na jambo zuri.

Magufuli kama last custodian of the land hakatazwi kikatiba kuiuza nchi nzima iwe shamba la Emir of Qatar.

Hakuna sehemu ambapo katiba inamkataza kufanya hivyo.

Lakini je, kufanya hivyo itakuwa haki? Itakuwa sawa? Itakuwa busara?
15 tena.Jikaze tu mwamba,ikiisha 5 inakuja mingine 10,halafu Mungu akitujalia uzima na afya tutatawala hadi israel mtoa roho atakapofanya kazi yake.Tunaenda hatua kwa hatua mpaka tuongee lugha moja.
 
Daah so civil is government...Hii nayo mpya....kwahiyo utumishi inasimiamia civil servants and public servants kwa sheria mbili tofauti siyo?

Am learning for sure, teach me!😀
Yes, civil is government na moja ya majukumu ya civil servants ni kudhibiti public servant kuhakikisha wanafanya kazi kwa kuzingatia kanuni na sheria. Wakati public servant wana wajibu wa kutekeleza majukumu yao kwa kuzingatia taaluma zao.
 
1.Magu alianza kwa kuteua wanasiasa CCM kwenye nafasi za utendaji kama Katibu Tawala Mkoa &Wilaya watu tukashangaa
2.Akateua tena Wanasiasa kwenye nafasi za Utendaji-Wakurugenzi wa Halmashauri kinyime kabisa na taratibu za utumishi wa Umma-watu tukashangaa lakini kwa muda ile hatukujua nini kililengwa,kumbe mwenzetu aliona mbali mwisho teuzi zikazaa matunda kwenye uchaguzi wa 2025.
3.Kaja kaingiza Wanajeshi kwenye nafasi za utendaji kuanzia kwenye Wilaya,Mikoa,Wizara hadi kwenye Taasisi za kiutendaji za umma-tukachukulia poa.
4.Kaja kabadili mfumo mzima wa uongozi ndani ya Chama (kwa msiojua kuna mabadiliko makubwa yalifanyika kwenye Katiba ya CCM hadi ikapatikana Tolea la Katiba la Mwaka 2017) na kwenye Toleo hilo ndipo viliwekwa vipengele vya Rais na Mwenyekiti wa CCM aliyopo madarakani kuendelea moja kwa moja kwenye uchaguzi wa mhula wa 2.
5.Kaja kateua waliokuwa front kukipinga CCM bushiru na Polepole kwenye nafasi za juu za maamuzi ndani ya chama,kwa msio fahamu mfumo wa chama cha CCM-Chama ni watu 3 M/kiti,Katibu na Mwenezi wengine wote ni waidhinishaji wa maamuzi ya hao wa tatu.
6.Huku Watumishi wakiwa wanalia kuongezewa mishahara, upande wa pili kwa wale ndugu zetu wao mishahara iliyoongezwa na jana umewasifia sana.
7.Kali kuzidi yote ni hii ya leo ya KM wa CCM kupewa nafasi ya utendaji Mkuu wa Serikali.
Magu nimekunyoshea mikono juu-Baba tutawale hadi tupate akili bado tupo kwenye giza,tulikuwa tunakuchukulia poa kana kwamba unafanya vitu pasipo kujua taratibu kumbe tulikuwa hatuelewi nyimbo inayopigwa.Watanzania tulizidi midomo mirefu Baba,Mama na Watoto wote tulikuwa Kambale kipindi cha Kikwete-tunyoshe.
 
Back
Top Bottom