Unasemaje wewe??Dr. Bashiru anaandaliwa kuwa Rais ajae. Ameteuliwa kuwa Balozi na Katibu Mkuu kiongozi ili;
1) Awe karibu na serikali ili ajue inavyoendeshwa.
2) CV yake ikamilike kwamba aliwahi kuwa na post serikalini kama kiongozi wa Makatibu Wakuu.
3) Aanze kuwa karibu na Boss, ili ajue mienendo na matakwa ya Boss, hata kama akikalia kiti cha Urais basi asivuke mipaka ya Boss aliemuweka pale (Boss anasahau kwamba hata yeye alivokalia kiti kile, alimsahau na kumgeuka aliemteua).
4) Kuonyeshwa kwamba Boss anamuamini sana, hivo afanye juu chini katika njia yake ya Siasa kumkumbuka Mtakatifu Boss na asivunje uaminifu kwa Boss.
5) Ajue kwamba u-Communist ndani ya damu yake ndio uatakao mpa Urais wa nchi hii, ila amepewa nafasi ile aweze kubalance U-communist na U-socialist katika kuendesha taifa (Nchi hii ni ya Kikomunist nyuma ya pazia).
#Wana CCM wanaosaka Urais (Dr. Mwigulu & Co LTD) kwa nguvu sasa wapate akili na waache kuusaka Urais, Rais ajae ndio Dr. Bashiru Ally Kakurwa.
Du. Wkt unaileta kwa leo nimeshtuka! Acheni kuzirudisha thread kama hizi tafadhali. Mtatusababishia magonjwa ya presha hivihivi!View attachment 1712543Dkt. Bashiru Ally Kakurwa (Katibu Mkuu Kiongozi)
EehPongezi nyingi kwa Mwl. Dr. BAK (PhD).
Hata mie nilijua mupyaaa haa.haa haaDu. Wkt unaileta kwa leo nimeshtuka! Acheni kuzirudisha thread kama hizi tafadhali. Mtatusababishia magonjwa ya presha hivihivi!
Du na mimi nilifikiri kafufuliwa na Gwajima, ingekuwa balaa!!Du. Wkt unaileta kwa leo nimeshtuka! Acheni kuzirudisha thread kama hizi tafadhali. Mtatusababishia magonjwa ya presha hivihivi!
Kipindi ambacho MATAGA walikuwa hawashikiki kama sikiKamanda dogo acha kulalama