Blackcornshman
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 6,082
- 13,959
Alimsahau na kumgeuka kivipi mkuu?Dr. Bashiru anaandaliwa kuwa Rais ajae. Ameteuliwa kuwa Balozi na Katibu Mkuu kiongozi ili;
1) Awe karibu na serikali ili ajue inavyoendeshwa.
2) CV yake ikamilike kwamba aliwahi kuwa na post serikalini kama kiongozi wa Makatibu Wakuu.
3) Aanze kuwa karibu na Boss, ili ajue mienendo na matakwa ya Boss, hata kama akikalia kiti cha Urais basi asivuke mipaka ya Boss aliemuweka pale (Boss anasahau kwamba hata yeye alivokalia kiti kile, alimsahau na kumgeuka aliemteua).
4) Kuonyeshwa kwamba Boss anamuamini sana, hivo afanye juu chini katika njia yake ya Siasa kumkumbuka Mtakatifu Boss.