Nikiwa maeneo ya Sekei nimesikia risasi zikirindima sehemu za ikulu ndogo.
Baada ya kuulizia nikaambiwa kuwa kuna vijana walitokea kwenye vichaka vya mtoni wakapanda juu ya paa la ikulu bila polisi kujua na kung'oa mabati kadhaa. Polisi walipogundua walianza kurusha risasi na kujeruhi moja ambaye amepelekwa kituo cha polisi.
Naendelea kufuatilia.
Baada ya kuulizia nikaambiwa kuwa kuna vijana walitokea kwenye vichaka vya mtoni wakapanda juu ya paa la ikulu bila polisi kujua na kung'oa mabati kadhaa. Polisi walipogundua walianza kurusha risasi na kujeruhi moja ambaye amepelekwa kituo cha polisi.
Naendelea kufuatilia.