Kijogoodi
JF-Expert Member
- Mar 29, 2021
- 1,363
- 2,372
Waziri mkuu Kassim Majaliwa amekagua ujenzi wa Ikulu mpya ya Chamwino uliofikia 91% ambayo itazinduliwa rasmi na kukabidhiwa kwa watanzania mwezi wa tano mwaka huu.
Ikulu ya Chamwino inaongoza kwa ukubwa wa eneo Duniani kote.
RIP Magufuli hata Chadema watafaidi siku moja wakishinda urais.
Ikulu ya Chamwino inaongoza kwa ukubwa wa eneo Duniani kote.
RIP Magufuli hata Chadema watafaidi siku moja wakishinda urais.