Inside10
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 26,033
- 23,869
Waziri Mkuu alisema kama angekuwa na mamlaka angemuwajibisha Katibu Mkuu Nishati na Madini siku ileile iliposomwa ile barua bungeni.
Baada ya ripoti ya CAG Katibu Mkuu Kiongozi Luhanjo anasema alichofanya Jairo ni utaratibu wa kawaida kabisa ...na kama Jairo ataweza kuwashtaki waliomdhalilisha ni yeye tu.
Nini implication ya haya kama sio kumdhalilisha na kumshusha Pinda na kumnyanyua Jairo ni nn?
Ndo maana mi nasema IKULU INAMHITAJI ZAIDI JAIRO KULIKO PINDA
Baada ya ripoti ya CAG Katibu Mkuu Kiongozi Luhanjo anasema alichofanya Jairo ni utaratibu wa kawaida kabisa ...na kama Jairo ataweza kuwashtaki waliomdhalilisha ni yeye tu.
Nini implication ya haya kama sio kumdhalilisha na kumshusha Pinda na kumnyanyua Jairo ni nn?
Ndo maana mi nasema IKULU INAMHITAJI ZAIDI JAIRO KULIKO PINDA