#COVID19 Ikulu, imekaaje viongozi kuchomwa chanjo ya Corona bila wauguzi kuvaa gloves?

Na wewe iga Mkuu , maana hata hiyo statement "Unaiga kuandika yanayozunguka mitandaoni!" na yenyewe umeiga hakuna kitu kipya ambacho kizazi cha leo kitazungumza ambacho hakijawai kuandikwa.

Gwajima aka Mkono wa Baunsa ni TAPELI ,Chanjo zilizokuwa approved na WHO ndio zinatumika kwahiyo kuna option JJ ,Pfizer ,Astazenica etc kwahiyo kama Majaliwa kachanjwa JJ na mimi pfizer ni kweli tofauti.
chanjo ya ESTA ndo naitaka inapatikana wapi
 
Au sisi wengine ni washamba jamani?
View attachment 1871735

View attachment 1871734

---
View attachment 1871367
Rais wa USA, Joe Biden akichomwa chanjo

===

Wizara ya Afya watoa ufafanuzi kuhusu hoja hii, soma hapa chini:
-
LABDA watu wa idara ya afya watatupa ufafanuzi.
 
Au sisi wengine ni washamba jamani?
View attachment 1871735

View attachment 1871734

---
View attachment 1871367
Rais wa USA, Joe Biden akichomwa chanjo

===

Wizara ya Afya watoa ufafanuzi kuhusu hoja hii, soma hapa chini:
-
Masuala ya Personal Protective Equipments na Infection Prevention ni muhimu sana kwa watoa huduma za afya pamoja na wateja wanowahudumia.Kama Wizara husika ndiyo inayotengeneza miongozo na kujikanganya hivi Wananchi wafanyeje?
Kuvaa gloves ingekiwa lazima kwa sababu kuna uwezekano ikamsaidia mtoa huduma maana nimeona wanatumika swab wakati wa kuchoma na baada ya sindano,wanakuwa katika<than one meter distance.
Pia baadhi ya wateja wanakuwa katika hofu ya sindano&chanjo yenyewe na hawajatulia kiasi inaweza kutokea ajali.
Why kukanusha bila kufafanua kwa kina?Kama ni ukosefu/upungufu wa gloves tuambiwe.Mtoa sindano katika kumgusa Mteja A na B na C;Bado mnataka kusema ni salama kwa COVID-19 transmission!
 
Na wewe iga Mkuu , maana hata hiyo statement "Unaiga kuandika yanayozunguka mitandaoni!" na yenyewe umeiga hakuna kitu kipya ambacho kizazi cha leo kitazungumza ambacho hakijawai kuandikwa.

Gwajima aka Mkono wa Baunsa ni TAPELI ,Chanjo zilizokuwa approved na WHO ndio zinatumika kwahiyo kuna option JJ ,Pfizer ,Astazenica etc kwahiyo kama Majaliwa kachanjwa JJ na mimi pfizer ni kweli tofauti.
Jitahidi kuangalia spelling za unachoandika. JF inaruhusu editing ya text.
 
VYETI FEKI WALIO SALIA NDIYO MAANA WANAMCHUKIA MAGUFULI
Elimu ya hapa na pale wako Ikulu
Kikwete katorokea wapi? Alistahili apate chanjo ili kama mambo yakiwa mazuri, tuanze upya kutafuta wanasiasa wanaofaa.
 
Mimi ni muhudumu wa Afya, nafanya kazi RCH. Ni kawaida tu na ninatoa sana chanjo bila globes wala si ajabu, kwaiyo ni swala la kawaida usijari
Pale medical attendant anavyojichoresha incompetency yale mbele ya ma-great thinkers, kama unaandika globes badala ya gloves ...sishangai kutozingatia IPC SOP na kujitapa kabisa, ila yawezekana hata haujui IPC SOP.
 
Au sisi wengine ni washamba jamani?
View attachment 1871735

View attachment 1871734

---
View attachment 1871367
Rais wa USA, Joe Biden akichomwa chanjo

===

Wizara ya Afya watoa ufafanuzi kuhusu hoja hii, soma hapa chini:
-
Halafu anachoma sindano bila kuvuta bomba, ye anapeleka tu.
 
View attachment 1872655
DA HUSTLA

ujumbe ndio huo nafikiri sasa utajipima mjinga ni nani kati ya wewe na mimi,


jibu liko wazi mjing ni wewe vaccine ni kawaida sana kutolewa bila PPE over
Wewe ulisema ni kawaida, ila hii taarifa haiongelei ukawaida au mazoea. Kama ulimaanisha ulicholeta, siku nyingine uandike vizuri kwa kuzingatia maana halisi ya maneno.
 
Mimi ni muhudumu wa Afya, nafanya kazi RCH. Ni kawaida tu na ninatoa sana chanjo bila globes wala si ajabu, kwaiyo ni swala la kawaida usijari
Wewe muhudumu wa afya utakuwa mjinga, hujui madhara yake! Umeishia darasa la 7 eeeh? Huwa wanatumia "Globes?"
 
Back
Top Bottom