King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,643
- 68,593
sentensii yako ya mwisho imeondoa maana nzima ya hiari uliyojifanya unaiandika mwanzo,mambo ya zero balance na mabilionea kuchoma yanaingiaje kwenye uhiari???????kwa hiyo tuwaige mabilionea kwa sababu wana billions in their bank account???????ACHENI UROPOKAJI NA PROMOTION ZA KIJINGA ,ACHENI MTU ACHAGUE MWENYEWE TUSILAZIMISHANE
Wanaouliwa au targeted ni watu wenye impact kwenye jamii(mabilionea ,activists etc) ,sasa mwenzangu na mimi kutoka naminywili unakaa kwenye nyumba ya tembe ,maji unakunywa mnachangia na mifugo wakuue ili iweje? Hiyo statement ni kuwajibu hao wanaosema wazungu wanataka kutuua via covid vaccine.