Ikulu, Dodoma: Makabidhiano ya Ripoti ya CAG - Machi 28, 2021

View attachment 1737379

Nani aliyevikalia vyombo vya habari kuripoti ufisadi wa kutisha,alikuwa na malengo gani? Kwani ufisadi ukianikwa si anapata habari anashughulikia? Sasa kwa nini akataze? Alikuwa anafaidika? Mimi sijui.

Itoshe kusema kwamba ni Mwisho wa Enzi,kwa sasa ni mshike-mshike ndege tunduni

Bos na issue nzito nataka kushare na wewe dm nichek pls
 
Unajua zilipo ofisi za CAG,nenda kaombe ufafanuzi huko,ile faida ya bilioni 28 tuliyoambiwa atcl imeingiza uliihoji?
Uongo mtupu hakuna report ya CAG iliyoonyesha ATCL imepata faida ya 28bil,report ya aina hio ilitoka kichwani kwa yule mtetezi wa wanyonge.
 
Watu ndo wataenda kujiona maovu ya huyo mtu waliyemuita Shujaa wa Afrika. Hakuna kipindi nchi hii imepigwa kama kipindi cha magufuli. Kilichosaidia wananchi kutokujua ni uhuru wa vyombo vya Habari kuminywa tu!
Basi kumbe nchi hii ni tajiri sana kama alivyokuwa akisema kila siku. Ikiwa amejenga miundo mbinu mingi karibia kila kona ya nchi kwa miaka mitano na bado pesa imepigwa kuliko awamu nyingine yoyote.Hii inaninipa nguvu ya kuendelea kukiri kuwa alikuwa shujaa wa Afrika.
Jambo jingine ni kwamba alikuwa mbunifu wa kuzitafuta hizo pesa kuliko walioishia kula mpaka za wastaafu
 
Nahisi wamelipwa 'kutupoteza maboya'.
Hapana mkuu hawajalipwa,watu wanataarifa na madudu mengi ya awamu ya tano,ila uungesemea wapi mkuu bila kufungiwa.

Humu wanajitetea kuwa hela zilikuwa zichotwe baada ya Mzee kuzima.ila mama kaagiza uchunguzi Bot uanzie January.

January Mzee alikuwepo.
 
Hapana mkuu hawajalipwa,watu wanataarifa na madudu mengi ya awamu ya tano,ila uungesemea wapi mkuu bila kufungiwa.

Humu wanajitetea kuwa hela zilikuwa zichotwe baada ya Mzee kuzima.ila mama kaagiza uchunguzi Bot uanzie January.

January Mzee alikuwepo.
yuko sahh kusema uchunguz uanze January,Kama unakumbukumbu vzr tangu January majanga ya kupoteza viongozi ndo yalipoanza,hivyo baadhi ya ofisi ziliadhilika kiutendaji,hata magu pia ,kipindi hicho kuanzia January hakuwa na safari za kutoka toka nje ya ofisi,na kuanzia January pia afya ya magu haikuwa vizuri Sana,Mambo mengi akawa amepunguza speed kuyafuatilia Kama kawaida yake.mama SSH anajua fika ni kipindi Cha kuanzia January ndipo majanga ya kuugua,na kupoteza viongozi yalianzia,hivyo wakwapuaji ktk kipindi hicho wakapata mwanya wa kufanya robbery Kama kawaida.
 
Madam President alipoiona 'jana jioni' akampa DOKEZO CAG kuwa acha ujinga.. uweke mambo hadharani sitaki kusikia konakona kesho!!
Kweli Mbongo mpe kicha cha habari tu, yataoshq na atakuja na story full!!!
 
Hapana mkuu hawajalipwa,watu wanataarifa na madudu mengi ya awamu ya tano,ila uungesemea wapi mkuu bila kufungiwa.

Humu wanajitetea kuwa hela zilikuwa zichotwe baada ya Mzee kuzima.ila mama kaagiza uchunguzi Bot uanzie January.

January Mzee alikuwepo.
Je, itakuwa vp ripoti ya CAG ikija na taarifa kuwa kuna 'mzigo ulipigwa'?
 
yuko sahh kusema uchunguz uanze January,Kama unakumbukumbu vzr tangu January majanga ya kupoteza viongozi ndo yalipoanza,hivyo baadhi ya ofisi ziliadhilika kiutendaji,hata magu pia ,kipindi hicho kuanzia January hakuwa na safari za kutoka toka nje ya ofisi,na kuanzia January pia afya ya magu haikuwa vizuri Sana,Mambo mengi akawa amepunguza speed kuyafuatilia Kama kawaida yake.mama SSH anajua fika ni kipindi Cha kuanzia January ndipo majanga ya kuugua,na kupoteza viongozi yalianzia,hivyo wakwapuaji ktk kipindi hicho wakapata mwanya wa kufanya robbery Kama kawaida.
Umesomeka vyema, ila kubaliana nami Mzee pia katupiga sana has a kwenye vitambulisho vya chinga, hela inakusanywa kwa mtendaji Wa kijiji TRA haiwapitii, je ni kiasi gani kilikusanywa? na zilenda kufanya kazi gani?
 
Je, itakuwa vp ripoti ya CAG ikija na taarifa kuwa kuna 'mzigo ulipigwa'?
Mkuu awamu ya tano hela zimepigwa sana,vitambulisho vya chinga,ununuzi Wa siri Wa mandege,ujenzi Wa makao makuu ddma.

Ni bunge lipi LA bajeti liliidhinisha hizo bajeti.
 
ATCL hasara tupu kwa miaka mitano mfululizo. Hivi CAG kwanini hakuliona na kulisema hilo live bila chenga kwenye report ya mwaka jana na juzi? #FearingMagufuli
Profesa Assad aliliona hilo na kulisema ndio maana jiwe alimtumia Ndugai ili bunge limpige vita hadi akamtumbua
 
UKISOMA KWA MAKINI ANDIKO LA NDUGU. JULIUS MTATIRO, LA ATCL NA HASARA YA TSHS. BILIONI 60, NA LILE LA THE SAD AND SHOCKING DAY FOR THE AVIATION; NACHOWEZA KUSEMA NI KUWA, WATANZANIA WOTE, TUSHIKAMANE KULIPIGANIA SHIRIKA LETU KWA NAMNA YOYOTE ILE, TUENDELEE MBELE.
—————————
01. ATCL NA HASARA YA BILIONI 60
................................
Ni muhimu sana tuwe tunafuatilia taarifa, wakati ATCL yetu (shirika linalofufuliwa) likitajwa kupata hasara ya shilingi Bilioni 60 kwa mwaka mmoja, na baadhi ya watu kuifanya kuwa ajenda kubwa na jambo la kushangaza sana, nataka mfuatilie pia hasara za baadhi ya mashirika makongwe na makubwa zaidi barani Afrika.

Mathalani, Shirika la Ndege la Kenya (Kenya Airways) limepata hasara ya zaidi ya Shilingi za Kitanzania Bilioni 700 (mara 11 ya hasara ya ATCL) katika kipindi hicho hicho ambacho ATCL imepata hasara ya tzs Bilioni 60.

Na shirika la ndege kongwe zaidi Afrika, Ethiopian Airlines, limepata hasara ya zaidi ya Shilingi za Kitanzania Tzs Trilioni 1.1 (Bilioni 1,100) ambayo ni hasara kubwa mara 18.3 zaidi kuliko ATCL.

Sote hatufurahii hasara hata kama sisi tuna hasara ya Bilioni 60, lakini kwa sababu mbili tu za sasa... uchanga wa ATCL na dunia kuzongwa na KORONA zinaweza kuifanya ATCL ijikongoje, wakati mashirika makubwa kama KE Airlines na ETH Airlines yakizongwa pia na korona.

Pia kwa mwaka jana peke yake, mashirika makubwa zaidi ya ndege duniani, kama – Delta Air Lines, American Airlines, Lufthansa Group, United Airlines, Air France-KLM, na IAG yamerekodi hasara kubwa kabisa kihistoria ya zaidi ya Dola za Marekani Bilioni 110 ambayo ni zaidi ya shilingi trilioni 2,500 za Tanzania.

Mwisho wa siku na katikati ya changamoto hizi, tunakubaliana kuwa ATCL inahitaji mikakati na mbinu za hali ya juu kibiashara ili itoke hapo ilipo, ikiwemo kuacha kabisa kufanya kazi kwa mazoea.

Na. Julius S. Mtatiro, Wilayani Tunduru.

................................
02. SAD AND SHOCKING DAY FOR THE AVIATION

................................
A very SAD day for a 100 years old industry of AVIATION Worldwide!!

VIRGIN AIRWAYS fires more than 3,000 people including 600 Pilots!

- VIRGIN AUSTRALIA files for Bankruptcy!

- THAI AIRWAYS files for bankruptcy.

- AIR MAURITIUS goes into Administration.

- SOUTH AFRICAN AIRWAYS files for Bankruptcy!

- FINNAIR returns 12 planes and lays off 2,400 people!

- YOU grounds 22 planes and fires 4,100 people!

- RYANAIR grounds 113 planes and gets rid of 900 pilots for the moment, 450 more in the coming months!

- NORWEGIAN AIRLINES completely stops its long-haul activity!!!
The 787s are returned to the lessors!

- SAS returns 14 planes and fires 520 pilots.
The SCANDINAVIAN states are studying a plan to liquidate NORWEGIAN AIRLINES and SAS to rebuild a new company from their ashes.

- ETIHAD AIRWAYS cancels 18 orders for A350, grounds 10 A380 and 10 Boeing 787. Lays off 720 staff!

- EMIRATES AIRWAYS grounds 38 A380s and cancels all orders for the Boeing 777x (150 aircraft, the largest order for this type). They "invite" all employees over 56 to retire

- WIZZAIR returns 32 A320s and lays off 1,200 people, including 200 pilots, another wave of 430 layoffs planned in the coming months! Remaining employees will see their wages reduced by 30%!

- IAG (BRITISH AIRWAYS parent company) abandons the takeover of AIR EUROPA (and will pay €40 million compensation for that).

- IAG (IBERIA) grounds 56 planes.

- IAG (BRITISH AIRWAYS) grounds 34 planes. Everyone over 58 to retire!

- LUXAIR reduces its fleet by 50% (and associated redundancies)

- CSA abolishes its long-haul sector and keeps only 5 medium-haul aircraft.

- EUROWINGS goes into Bankruptcy

- BRUSSELS AIRLINE reduces its fleet by 50% (and associated redundancies).

- LUFTHANSA AIRLINES plans to ground 72 aircraft!
(in 2 instalments).

- FIJI AIRWAYS lays off more than 7OO employees, including pilots.

- HOP is studying the possibility of reducing fleet and staff by 50%.

ADDITIONAL INFO:

Currently, 60 new aircraft stored at AIRBUS with no buyers in sight (order cancellations) including 18 A350s.

They "forecast a minimum of 8,000 grounded planes by September" that would sadly see "more than 90,000 unemployed pilots Worldwide"

"The AIR TRANSPORT Industry is on Life Support!"

This will have a major impact on our lifestyles.

UNDENIABLY, THE WORST IS YET TO BE WITNESSED!!
I do really appreciate hii comment,,katika kujudge mambo kama haya ni vema pia kulitazama jambo from different angles kama ulivofanya,,sadly ni kwamba ripoti hii ya CAG kuhusu ATCL inazidi kutugawanya wakati yafaa kushikamana zaidi kujua tunapambanaje na hizo hasara
 
Mkuu awamu ya tano hela zimepigwa sana,vitambulisho vya chinga,ununuzi Wa siri Wa mandege,ujenzi Wa makao makuu ddma.

Ni bunge lipi LA bajeti liliidhinisha hizo bajeti.
Tukianzia hapo kwenye ndege ni uchafu mtupu. Ripoti ya CAG kwa mwaka 2019/2020 iliyotolewa jana inasema Kuna hasara ya Tsh 60 billion, na ikaongezea kuwa kwa miaka mitano shirika hilo limekuwa hasara kubwa sana meaning wakati pombe ikiwepo hakuwa na uwezo wa kutuambia madudu haya.
Nina imani na MAMA, noana tutapiga hatua
 
Back
Top Bottom