EliCohen
JF-Expert Member
- Jun 14, 2020
- 293
- 431
Na Yeye a napenda ma TV kama mtangulizi??
Unataka aipokee kimya kimya ili iweje?
Na Yeye a napenda ma TV kama mtangulizi??
Ahsante mkuu lakini mbona kuna wanajeshi wanaimbaimba hapa??Channel number 290
Ahsante mkuu.
Punguza mukari, usije regret baadae, mimi namtakia kila lenye kheri mama Samia. Ila sitaki kuweka imani kwake kwa sasa.Nina raha mie. Mimi ni nani nisiangalie Tibisii leo? Sina namna maana ndiyo pekee ipo kwa king'amuzi changu.
Ila Jiwe alikuwa ametuchosha jamani jamani jamani. Siamini kama kweli Mungu ametuinua kiasi hicho!
Leo siku ya matawi,angekuwa st Joseph.Ungekuta leo tupo Osterbay tunaambiwa "Mtakufa tuu na hako kakitambaa wara hakazuii kufa" Tena madhabahuni kabisaaaaa
Mkwere alikuwa anapokea kimya kimya nadhani. But madudu yalisomwa bungeni tukayajuaUnataka aipokee kimya kimya ili iweje?
Mama SSH asiishie tu kupokea aifanyie na kazi piaTunataka kuona wabadhirifu wakiswekwa lupango
Serikali ni ileile kasoro mtu mmoja, CCM ni ileile.Tunataka kuona wabadhirifu wakiswekwa lupango
Angesema tukio halionyeshwi, ungelaumu kuwa anafanya siri kama kipindi kile kwenye issue ya bunge. Haya wameamua kuweka live bado unalalamika. Acha tabia za kilala hoi.Na Yeye a napenda ma TV kama mtangulizi??