ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 19,714
- 28,268
Unamaanisha nini!?Daah!.....kmmk..
kwamba pro jiwe tumepigwa 4 kwa 0 DK ya 90
Unamaanisha nini!?Daah!.....kmmk..
Si kuna mtu kasema huyo PolePole hataapishwa
Akabinuke sarakasi ubalozini!
Mzee wa ky kauza mechi
Luka BrasiHii nchi utafikiri tupo kwenye The Godfather na Kina Michael Corleone...
Na hizo ndio moja ya Offer ambazo ni very difficult ku-refuse...
Sio kwamba nasifia bali nasikitika sababu Taifa halipaswi kuendeshwa hivi
Ndivyo ilivyo?Acheni kuchachawa.. ubalozi ni nafasi kubwa na ya heshima sana.. Huyo polepole tayari anaheshima za ubalozi na ataitwa balozi na kugharamiwa na serikari maisha yake yote..
Ndo Hivyo ilivyo..Huyo kwa sasa ni Presidential representative.. huyo sasahiv hata ikistaafu akikaa nyumbani kwake na hana kazi yoyote..heshima yake ya ubalozi iko palepale hadi kufa..utakapotaka kumwita jina lake lazima uanzie na ''balozi'' hamphrey polepole..Ndivyo ilivyo?
Ana pinga nini? Anataka SSH atukane watu hadharani na kuwafukuza kazi watu kwa hila? Wapinzani wapigwe risasi na kubambikiwa kesi? Gone are those days, akubali matokeo, kama ahamini aongee na brother wake Job.Haya mambo ya kuheshimu mamlaka ndio hutengeneza maraisi miungu huku afrika. Raisi anapaswa kupingwa ndani na nje ya chama.
Hiyo ndio demokrasia.
Laki nne na nusu Kama tellerHivi mabalozi huwa wanalipwa shilingi ngapi kwa mwezi?
Atalipwa hadi kifo!Baada ya miaka 4 mkataba unaisha akirudi hatakuwa na jipya
AtakomaAbalipwa hadi kifo!