Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 58,946
- 103,299
Hadi sasa naona wameshanyoosha mikono juu, Makamu Mkiti kawaamuru waingie barabarani kumdai Mkiti lakini hamna hata mtu mmoja aliyejitokeza, zimebaki kelele jf na Twitter ambapo impact yake ni ndogo sana.
Barabarani watu hawaiingii ghafla mzee, hata huko Zimbabwe, Sudan, Libya nk hawakuingia ndani ya miaka mitano au kumi. Huko tutafika tu wala usijali.
Unapoona watu wanateswa, kubambikiwa kesi, kutekwa, na bado hawaogopi basi ujue huko kwenye kuingia barabarani hakuko mbali. Tuombe tu wakati huo ukifika nchi ipite hilo jaribu bila kuwa kama Ethiopia. Chukua hiki ninachokuambia utanielewa tu.