MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,465
- 20,211
Samia Suluhu akutana na Waziri Mkuu wa zamani wa Uingereza Tony Blair.
Taarifa zaidi
Taarifa zaidi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapinzani gani akutane nao? Hawa wanaomtukana mitandaoni? Hawa wasio na subira wanaotaka kumpangia lini wakutane naye wakati wao ndiyo wameomba kikao? Hawa wanaoambiwa msifanye kongamano kwa sasa wao wanajibu kwa jeuri lazima wafanye kongamano? Kuwa seriousSasa amemvulia kofia kwa lipi hasa? Alafu kukutana na Blair kunalipi lamno maana nimstaafu tu Hugo!!' Msisifu kishamba Blair hana maajabu yeye akutane na wapinzani asikwepe jukumu hilo nahilo in ili kuitibu nchi
Hujakutwa.!! Mwombe Mungu akuweke hai uje ushuhudie ukuu wa Mungu ukiangamiza hizo kizazi cha dhuluma unachoshabikia.Wapinzani gani akutane nao? Hawa wanaomtukana mitandaoni? Hawa wasio na subira wanaotaka kumpangia lini wakutane naye wakati wao ndiyo wameomba kikao? Hawa wanaoambiwa msifanye kongamano kwa sasa wao wanajibu kwa jeuri lazima wafanye kongamano? Kuwa serious
Kofia yenyewe hajavaa!! 😂😂😂Kamvulia kofia kwa lipi .... Au uaclip nyingine zaidi ya hiyo!!?
Kuhusu kutengeneza Vaccine Tanzania, hilo waachane nalo maana watatupotezea tu pesa zetu. Bora hiyo pesa wanunue vitanda vya wagonjwa!!
Kiboko au alipuuzwaMarehemu Mugabe ndio alikuwa kiboko ya Tony Blair.
Sema waipenda burundi.Wapinzani gani akutane nao? Hawa wanaomtukana mitandaoni? Hawa wasio na subira wanaotaka kumpangia lini wakutane naye wakati wao ndiyo wameomba kikao? Hawa wanaoambiwa msifanye kongamano kwa sasa wao wanajibu kwa jeuri lazima wafanye kongamano? Kuwa serious