Ikulu, Dar: Rais Samia akutana na kufanya mazunguzmo na Tony Blair

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
May 25, 2015
6,465
20,211
Samia Suluhu akutana na Waziri Mkuu wa zamani wa Uingereza Tony Blair.

Tony.jpg

Taarifa zaidi

1.jpg
2.jpg
 
Sasa amemvulia kofia kwa lipi hasa? Alafu kukutana na Blair kunalipi lamno maana nimstaafu tu Hugo!!' Msisifu kishamba Blair hana maajabu yeye akutane na wapinzani asikwepe jukumu hilo nahilo in ili kuitibu nchi
Wapinzani gani akutane nao? Hawa wanaomtukana mitandaoni? Hawa wasio na subira wanaotaka kumpangia lini wakutane naye wakati wao ndiyo wameomba kikao? Hawa wanaoambiwa msifanye kongamano kwa sasa wao wanajibu kwa jeuri lazima wafanye kongamano? Kuwa serious
 
Kamvulia kofia kwa lipi .... Au uaclip nyingine zaidi ya hiyo!!?

Kuhusu kutengeneza Vaccine Tanzania, hilo waachane nalo maana watatupotezea tu pesa zetu. Bora hiyo pesa wanunue vitanda vya wagonjwa!!
 
Wapinzani gani akutane nao? Hawa wanaomtukana mitandaoni? Hawa wasio na subira wanaotaka kumpangia lini wakutane naye wakati wao ndiyo wameomba kikao? Hawa wanaoambiwa msifanye kongamano kwa sasa wao wanajibu kwa jeuri lazima wafanye kongamano? Kuwa serious
Hujakutwa.!! Mwombe Mungu akuweke hai uje ushuhudie ukuu wa Mungu ukiangamiza hizo kizazi cha dhuluma unachoshabikia.
 
Kamvulia kofia kwa lipi .... Au uaclip nyingine zaidi ya hiyo!!?

Kuhusu kutengeneza Vaccine Tanzania, hilo waachane nalo maana watatupotezea tu pesa zetu. Bora hiyo pesa wanunue vitanda vya wagonjwa!!
Kofia yenyewe hajavaa!! 😂😂😂
 
I always had a suspicion we inherited a globalist,today I confirmed it...Yani hii Blair Institute duh!sijui nianze wapi...tujiandae tu!
 
Wapinzani gani akutane nao? Hawa wanaomtukana mitandaoni? Hawa wasio na subira wanaotaka kumpangia lini wakutane naye wakati wao ndiyo wameomba kikao? Hawa wanaoambiwa msifanye kongamano kwa sasa wao wanajibu kwa jeuri lazima wafanye kongamano? Kuwa serious
Sema waipenda burundi.
 
Bonge la response kutoka kwa mama Samia. This is a powerful presidential response na ndivyo Rais wa nchi ya Tanzania anavyopaswa kuwa.
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom