IKULU, DAR: Rais Magufuli awaapisha Makatibu Wakuu, Naibu Makatibu Wakuu, Balozi na Wakuu wa Mikoa aliowateua jana

Yeye anajiweka live, ila hataki Wabunge tuwaone live. Mzee selfish huyu jamani sijapata kuona. Ila nyie Wabunge hebu rudisheni bunge live why Yeye kila anachofanya anajiweka live ?
Mmeambiwa mtalimia meno, halafu yakivunjika msifikiri ndiyo kisingizio cha kuacha kulima, kuna dentist wakuwaweka vyuma kwenye meno muendelee kulimia meno ya vyuma.

Ndiyo viwanda hivyo.
 
Diwani Athumani toka Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai Tanzania mpaka Msaidizi wa Mkuu wa Mkoa Kagera (RAS)
Sumaye Toka Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mpka Mwenyekiti wa Vichochoron Chadema Kibaha
Prof Anna Tibaijuka toka Mkurugenzi Mkuu wa UN Habitat Duniani mpaka Mbunge wa Jimbo huko Bukoba
Njaaa kasoro ya Sumaye.
 
Samahani jaman!!

Mi mbona naona Bi Samia ana hekima na weledi mkubwa sana wa kuzungumza na watu na hekima nyingi ukilinganisha na huyu???

Au mimi ndio naona vibaya msaada please!!!
Kwa sasa hata mtoto wa miaka 10 anaweza kuwa na hekima ya kusema vizuri zaidi ya huyu rais, kwa hiyo sishangai sana hapo.
 
" Sifurahishwi na mambo yanavyo endeshwa pale wizara ya mambo ya nje, hasa kuna mtu anaendesha mambo kwa rimoti control wakati yeye si mfanyakazi wapale"
Haya sasa hadi 2020 tutaona na kusikia mengi
 
Jaji Mkuu leo amekumbusha kuwa Wakuu wa Mikoa ndio Wenyeviti wa Kamati za Maadili katka Mikoa yao.

Je,Waliokuwa wakipinga na kusema mhimili unaingiliwa wanasemaje?
 
Dongo la Msoga hilo!

20 years ameendesha Foreign affairs ( 10 years Kama Waziri, 10 years Kama Rais)Halafu utegemee influence yake ipoteee ghafla wakati Wewe hutaki kusafiri na wakija Wageni unawakimbia?

1. Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa aliishia Airport akaongea na Mahiga
2) Sherehe za Mwaka Mpya na Mabalozi aliwakilishwa na Mahiga


Niliwahi kuandika kufuta Diplomasia ya Kikwete Pale Mambo ya Nje ni lazima John Magufuli ai introduce Diplomasia na Falsafa yake!

Joto na harufu ya Kikwete bado ipo kwny Balozi Nyingi Duniani na hata akiwa Ziarani huko Duniani hupewa Mapokezi ya Ki Rais kwa kuwa Wenye hadhi hiyo hawataki kutoka kwenda Duniani
 
Jaji Mkuu leo amekumbusha kuwa Wakuu wa Mikoa ndio Wenyeviti wa Kamati za Maadili katka Mikoa yao.

Je,Waliokuwa wakipinga na kusema mhimili unaingiliwa wanasemaje?
Kila jambo linatokana na sheria. Sisi wapiga domo tusiojua sheria tuna kazi kubwa ya kubwajaja mno.
 
Ujue Membe alikuwepo pale na kuna yake ambayo anahitaji apewe kinga hawezi kuacha kuwasiliana na watu wa pale maana mengine wanaweza wakafanya isivyo siri ikatoka nje mambo yakawa sio
 
" Sifurahishwi na mambo yanavyo endeshwa pale wizara ya mambo ya nje, hasa kuna mtu anaendesha mambo kwa rimoti control wakati yeye si mfanyakazi wapale"
Haya sasa hadi 2020 tutaona na kusikia mengi
Magufuri ndio nani tena!
 
Jaji Mkuu leo amekumbusha kuwa Wakuu wa Mikoa ndio Wenyeviti wa Kamati za Maadili katka Mikoa yao.

Je,Waliokuwa wakipinga na kusema mhimili unaingiliwa wanasemaje?
Ulimuelewa alikuwa anamaanisha nini au alikuwa anamaanisha maadili ya nani na kwa mujibu wa sheria ipi??
 
Huyu naye anajishuku shuku tu.

Yaani huwa haishiwi sababu za kushindwa kwake kuleta maendeleo ya kiuchumi na viwanda, umoja na ustawi wa nchi yetu.
 
" Sifurahishwi na mambo yanavyo endeshwa pale wizara ya mambo ya nje, hasa kuna mtu anaendesha mambo kwa rimoti control wakati yeye si mfanyakazi wapale"
Haya sasa hadi 2020 tutaona na kusikia mengi
Wewe mpuuzi umejuaje kuwa ni membe au ndo wewe mwenyewe umeandika hapa? Kama ni wewe acha upuuzi
 
Back
Top Bottom