Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 21,607
- 38,332
Hajitambui huyoEeh! tuna tatizo Watazania.
Kama ni ziara binafsi hiyo barua imelengwa kwa nani kama si public!
Hivi huoni hiyo barua ni mawasiliano kati ya Ikulu na Umma!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hajitambui huyoEeh! tuna tatizo Watazania.
Kama ni ziara binafsi hiyo barua imelengwa kwa nani kama si public!
Hivi huoni hiyo barua ni mawasiliano kati ya Ikulu na Umma!
Non of your businessMkuu siku hizi umekuwaje,mbona hupigi tena mapambio na kusifu juhudi za Mwenyekiti?
Huyo ana Tissphobiawee jamaa ukiona tu neno TISS kwenye thread, lazima upatwe na mfadhaiko.
Huyo ana Tissphobia
Naona Membe kawagawa sasa, taratibu mnamkana Jiwe. KaziNaBataNon of your business
Na huu nduo ukweli, anajaribu kuwa karibu na majasusi uchwara akina Hapsoni.
Cheki sura yake utadhani Zombie mla watu.
Kuua watu lazime sura iwe kama ya shetani.
Chadema pambaneni Na hali zenu ya CCM tuachieni wenyeweNaona Membe kawagawa sasa, taratibu mnamkana Jiwe. KaziNaBata
Hapa ndipo unazidi kuonyesha ''weledi'' wakoApson sio kiongozi wa serikali habari zake akienda ikulu ni personal zaidi haihitaji publicity ya taarifa official ya ikulu . Alishastaafu ruksa kwenda ikulu atakavyo hata kesho akitaka aende tu as a private visit . Ikulu kuifanya private visit kama public visit kwa mtu ambaye sio current public officer si sahihi.Hayo wangeachia private media Za magazeti kama Nipashe ,Tanzanite,Tanzania daima TV Na radio private Na mitandao ya jamii forums ,michuzi blog nk
Hiyo taarifa ya ikulu ina ukakasi ukiomba kuonana Na Raisi wakati wewe sio public officer hiyo ni private appointment .Ikulu haiwezi geuza private appointment kama public appointment Na kuitolea press release.No.Hapa ndipo unazidi kuonyesha ''weledi'' wako
1. Ikulu ni ofisi ya umma ambayo pia ni makazi ya Rais. Wageni wanaokwenda wapo katika makundi mengi (i) Binafsi kwa masuala binafsi (ii) Kiofisi kama ofisi ya umma
2. Wageni binafsi wanaweza kwenda kwa masilahi ya umma 'public interest'. Kwa mfano, wananchi wasio maafisa wa umma wanaotaka kuonana na uongozi kwa suala la korosho. Hawa si maafisa wa umma au hata mashirika, lakini uwepo wao una masilahi ya umma 'public interest'
Endapo ziara ilikuwa binafsi idara ya mawasiliano isingetumika kutoa taarifa.
Kitendo cha kutoa taarifa kinaukaribisha umma kuelewa ugeni na wenyeji
Hadi hapo utaona kuna ''public interest'' iwe kwa jema au vinvinevyo! barua inaeleza
Mbona sielewi jaman.. Naona team Lowassa wote wanajirudisha kimyakimya kwa jiwe kwani vipi kunani huko??
Alianza Edo
Akaja Rostam
Na Sasa namuona Mwanamkakati na kachero mkuu wa mpango wa kumuingiza Edo ikulu 2015 ndugu Apson..
Kunani jaman huko
Cc Evarist Chahali
Sitaki kusema kweli ,ila najaribu kuunganisha dots tu
Apson Mwang'onda alikiwa ni mpanga mikakati ya kiusalama ya Lowasa , Rostam Aziz alikuwa ni Mfadhili Mkuu wa lowasa , Edward Lowasa alikuwa Mgombea anayeungwa mkono na hao wote .
Lowasa alishaitwa ikulu na uhusiano na Magufuli umeshamiri kipindi hiki
Siasa ni mchezo usio na adabu,Magufuli imebidi aangukie kundi la lowasa kuungwa mkono apambane na kundi la Membe sijui amwaahidi nini? Na kundi la membe limeonekana ni tishio sana ndani ya serikali ya JPM
Karata hajachanga vizuri ,kwani watu wa lowasa /membe ni watiifu kwa ma master wao na si vinginevyo ,kwa ushirikiano huu kundi la lowasa litajijenga sana , na kujijenga huku watakuwa na nafasi kubwa ya kuenda Magogoni 2025 na wakifanikiwa kundi dogo la JPM litafutiliwa mbali na hapo tutabaki na makundi halisi ambayo ni membe na Lowasa
Kiukweli hawa wataitesa CCM ,miaka Mingi sana, Na siasa za 2025 itakuwa ni kundi membe na kundi lowasa na sio kundi Magufuli
Kwa , siasa za sasa Magufuli anapambana na team membe ambayo ina nguvu mikoa kama Morogoro ,Mwanza ,Lindi ,Mtwara , Pwani na baadhi ya Mikoa ya Nyanda za Juu kusini.
Hivyo kuua hili kundi inabidi amtumie mpinzani wa membe kisiasa ambaye ni lowasa
Siasa mbaya sana Jamani
ila kwa maombi hawamuwezi
Sioni tatizo la taarifa ya Ikulu kwasababu hiziHiyo taarifa ya ikulu ina ukakasi ukiomba kuonana Na Raisi wakati wewe sio public officer hiyo ni private appointment .Ikulu haiwezi geuza private appointment kama public appointment Na kuitolea press release.No.
Jipe pole wewe jinga na kizazi chako chadema has nothing to looseMission Complete. Poleni Chadema
Tuchanganyikiwe,kwani huyo Apson ni Mungu? Apson ni jini aliyemtembelea shetani,halafu eti tuchanganyikiwe kwa lipi?Mwaka huu lazima mchanganyikiwe JPM siyo wa kispoti
Si kila goti litapigwa kwa John acheni upumbavu. Kumbuka, amelaaniwa yule amtegemeaye binadamu. Nitapiga goti kwa Mungu peke yake.... Si kwa John atakayekufa na kuoza kama sisi wengine...Kwa bwana john kila goti litapigwa.
Sioni tatizo la taarifa ya Ikulu kwasababu hizi
1. Idara ya mawasiliano Ikulu ni kitengo ndani ya Ikulu si nje.
2. Taarifa kabla ya kutolewa inapitiwa ili kubaini walengwa na ''sababu' ambazo si lazima zielezwe
3. Iwe Binafsi au kiofisi taarifa ikitolewa kwa umma tayari ni public communication kwasababu wanazojua wao.
Taarifa inasema mgeni ameongelea maendeleo kama SGR n.k. Ukiisoma kila walichoeleza kina public interest. Huenda wameongea mambo binafsi ambayo hatupaswi kuyajua na kwavile ni binafsi hayakuwekwa katika barua
Hivyo wao kuwasiliana na umma si bahati mbaya, wanajua kuna public interest. Tatizo ni kwamba hatujui hiyo public interest ni katika publicity au kuna mengine ikiwemo siasa, hatujui
Na kwavile Ikulu imewasiliana na umma, iwe ziara ni public au private tayari kuna public interest kutokana na mawasiliano ya Ikulu na umma kwa njia ya barua
JokaKuu Pascal Mayalla
View attachment 958125
Ni leo tarehe 06/12/2018 . Bosi huyo wa Zamani wa TISS na swahiba mkubwa wa Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema na Mgombea Urais 2015 aliyeviwakilisha Vyama vinavyounda Umoja wa UKAWA, EDWARD Ngoyaye Lowassa, apongeza Miradi mikubwa inayofanywa na Serikali ya awamu ya tano. Apson ametoa wito kwa Wananchi kuipa ushirikiano Serikali ya JPM.
View attachment 958072