Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukisoma vizuri utaona kuwa ni yeye Apson ndio aliomba kwenda kumuona JPM na sio kama ulivyoandika wewe; huyu Apson siku za karibuni afya yake ilizorota inawezekana alikwenda kuomba msaada!!!!
Dr kipilimba mmmmmmm leave him alone ongelea hoja zingine please.Leave that man of God alone.Usitafute nuksi Na laana kwenye maisha yeye Na Tulia Ackson ndio wamehakikisha nchi haiingii vita za wenyewe kwa wenyewe kama nchi zingineNa wakati huo huo, Mkurugenzi Mkuu wa sasa wa Idara ya Usalama wa Taifa, Dkt Modestus Kipilimba.... Let me wait for the wrong news first
Hatari kwa nani kwa mfanoInamana Membe ni hatari kiasi hiki?
Mhhh watu mnautabiri vile kama kweliKitakachofuata ni "Lowahasa" kuunga mkono juhudi rasmi.
BashiruHatari kwa nani kwa mfano
igweeeeeeeee!Uandishi huu unafanana sana na wa comrade igwe
Unaamanisha wastaafu au watu maarufu?Uongozi wa sasa unawajali sana wastaafu na kuithamini mno michango yao kwa Taifa walipokuwa katika nafasi zao serikalini.
Huna lolote tushakustukia mwanzo tulikuamini ila siku zinavyokwenda nimegundua ni streess tu zinakusukumaKuna ishu flani nzito ndo maana leo watu wa kitengo wamejazana hapa JF. Sijui wataificha hadi lini.
Nakushauri utulie na kusoma post za wenzio, sio lazima upost, jiongezee maarifa kwa kudoma zaidi! Unaweza kuumeza ama kutema ushauri wangu!
Eeh! tuna tatizo Watazania.Kifupi Apson kaenda kumwona Raisi as a personal visit ni haki yake. That visit is a personal it has nothing to do with public he can go as many Times as he wishes even 24/7
Muulize mwandishi kama ziara ilikuwa public au privateEeh! tuna tatizo Watazania.
Kama ni ziara binafsi hiyo barua imelengwa kwa nani kama si public!
Hivi huoni hiyo barua ni mawasiliano kati ya Ikulu na Umma!
Hakuna sababu, uwepo wa barua kwa umma ni kielelezo cha ziara rasmi katika ofisi ya Umma. Ingalikuwa binafsi wangemalizana pasi sisi kujuaMuulize mwandishi kama ziara ilikuwa public au private
Senki yu vere mache.Dogo siku hizi nakugwaya....manake si kwa akili hizi. Yaan siishi kukupa malike
wee jamaa ukiona tu neno TISS kwenye thread, lazima upatwe na mfadhaiko.Na wakati huo huo, Mkurugenzi Mkuu wa sasa wa Idara ya Usalama wa Taifa, Dkt Modestus Kipilimba.... Let me wait for the wrong news first
Na ameshachelewaYes, mkuu aliingia kichwa kichwa kwenye siasa akadhani ataweza kupambana man alone... Hakujua kwamba siasa ni zaidi ya manguvu akili nyingi inahitajika.. Ameanza kuona kumbe kumtegemea DAB anaendelea kupoteza, sasa ndo anashtuka ajaribu kutafuta mtandao wakati hao hao anaowatumia nao wanautaka bado urais... Mwisho wa siku atapotea kama mshumaa baada ya kipindi chake kupita na hatoamini.
Apson sio kiongozi wa serikali habari zake akienda ikulu ni personal zaidi haihitaji publicity ya taarifa official ya ikulu . Alishastaafu ruksa kwenda ikulu atakavyo hata kesho akitaka aende tu as a private visit . Ikulu kuifanya private visit kama public visit kwa mtu ambaye sio current public officer si sahihi.Hayo wangeachia private media Za magazeti kama Nipashe ,Tanzanite,Tanzania daima TV Na radio private Na mitandao ya jamii forums ,michuzi blog nkHakuna sababu, uwepo wa barua kwa umma ni kielelezo cha ziara rasmi katika ofisi ya Umma. Ingalikuwa binafsi wangemalizana pasi sisi kujua
Elewa maana ya barua, imeandikwa kutoka wapi na imekusudia hadhra gani.
Watz tuna tatizo kubwa sana la weledi!
Mkuu siku hizi umekuwaje,mbona hupigi tena mapambio na kusifu juhudi za Mwenyekiti?Atajijua kama aliomba it is his own business
Babu yangu ana uwezo wa kukuitia Marehemu yeyote na ukaongea nae faragha!! watu kama Fidel Castor,Nyerere,Karume,Jumbe,Mzena,Sitta,Kingunge ... anaweza kukuitia just PM me kama unahitaji piga story na one of them😇