Ukwaju
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 13,370
- 11,089
Walisema saa ngapi.
Walisema saa ngapi.
Wameshauri nini?Ulitegemea Chadema waende ikulu wakazuie wao wameshauri tu.
Ushauri wa Lema umepuuzwa?sasa tuone hizo B 60 alizozifungulia BOT atazitoaje?
ni bora kawa Jaji akutane sasa na Habinder Sigh na Ruge waliomkatalia kumgawia pesa ya dhuluma ili wazile na Sukuma gang...
Rais ana mamlaka ya kuunda tume kufanya uchunguzi hata Kama ameapa #FreePalestine
Mkuu Wewe ndo dereva kwenye huu uzi, inakubidi uwavumumilie abiria, otherwise usingeamzisha! Au ulitaka kushangiliwa kama kama Baba ako mwanakwendazake?! Hapa tutakupa za uso mpaka urudi kwenu, Burundi!We fala acha ufala.
Acha ujinga weweWatanzania waamue mara ngapi?
Anafaa nani?Samia hatufai watanzania.
Hakufai weweSamia hatufai watanzania.