mtanzania1989
JF-Expert Member
- May 20, 2010
- 4,063
- 6,730
CCM inabidi waache status quo kwenye inshu ya fedha kwenye muungano, wazanzibar wapewe uhuru wa kukusanya fedha wenyewe na wajiamulie matumizi wenyewe, kuingilia hilo suala ni kuleta balaa la kisiasa huko mbele ni.