Ikulu, Chamwino: Rais Samia Suluhu Hassan amwapisha Dkt. Philip Mpango kuwa Makamu wa Rais wa JMT

CCM inabidi waache status quo kwenye inshu ya fedha kwenye muungano, wazanzibar wapewe uhuru wa kukusanya fedha wenyewe na wajiamulie matumizi wenyewe, kuingilia hilo suala ni kuleta balaa la kisiasa huko mbele ni.
 
Kuna Haha ya kunzisha tahasusi nyingine kwenye advance school tofauti na hizi za juzi kati
Hizo tahasusi (combination) should merge the veneculur language
 
Mchawi mpe mwanao amlea ...ndicho kilichotokea ktk hotuba ya Mh.Rais Mama Samia kuhusu Kero hii ya Muungano!
Sasa sijui ilikuwaje...yaelekea kulikuwa na shida na amesema kuwa Dk Mpango na Wchawi /Wanga wenzake ndio walio kuwa Wamekalia suala Hilo!
Kauli hii imebeba ujumbe mzito sana kuhusu Hali yaa Muungano!
Kumbuka Makamu was Kwanza wa Rais wa Zanzibar alifukuzwa Uanasheruaa Mkuu kwa kutaka kulinda Maslahi yq Zanzibar baada ya wenzake ku..compromise!
What a coincidence !
Leo ni Makamu wa Rais bila Shaka anajua mwana ambaye Mh.Rais kamkabidhi Dk Mpango leo
Maendeleo hayana Chama!
Yetu macho!
Hiyo ni dalili ya kwamba katika uongozi huu Tanganyika itadhulumiwa sana
 
Mchawi mpe mwanao amlea ...ndicho kilichotokea ktk hotuba ya Mh.Rais Mama Samia kuhusu Kero hii ya Muungano!
Sasa sijui ilikuwaje...yaelekea kulikuwa na shida na amesema kuwa Dk Mpango na Wchawi /Wanga wenzake ndio walio kuwa Wamekalia suala Hilo!
Kauli hii imebeba ujumbe mzito sana kuhusu Hali yaa Muungano!
Kumbuka Makamu was Kwanza wa Rais wa Zanzibar alifukuzwa Uanasheruaa Mkuu kwa kutaka kulinda Maslahi yq Zanzibar baada ya wenzake ku..compromise!
What a coincidence !
Leo ni Makamu wa Rais bila Shaka anajua mwana ambaye Mh.Rais kamkabidhi Dk Mpango leo
Maendeleo hayana Chama!
Yetu macho!
Mkuu haujaeleweka kbs yaani..!
 
Mkuu post hii ilikuwa na kichwa Cha habari ....Ila imeungainishwa humu...alichosrma Rais leo no kuwa bado Kuna Keri ya Muungano hususani masuala ya Fedha!
Na Rais amesema Suala hili Waxiri was Fedha...Mpango ndio alilikali!
Kwa hiyo sasa ...Kampa Mchawi alee mwana!kumbuka Mh Rais ndiye aliyekuwa anaratibu ...Namna ya kuondoa kero za Muungano!
Mkuu haujaeleweka kbs yaani..!
 
Mubashara Rais Samia akimwapisha makamu wa Rais Dkt. Mpango leo Ikulu Chamwino

Update:
Anasubiriwa mhe. Samia Suluhu Hassan kuingia na kiapo kuanza.

View attachment 1739575
Saa15:11- Mhe. Dkt. Mpango akiapa.


Saa 15:13 akienda kukalia kiti cha makamu wa Rais.

Salamu kubwa za Rais ni mabadiliko madogo ya baraza la mawaziri wa Jamhuri ya Muungano Tanzania kama ifuatavyo:

Sulemani Jafo ameteuliwa kuwa Waziri wa Ofisi ya Makamu wa Rais, na Naibu Waziri atakuwa Hamad Hassan Chande
-
Ofisi ya Waziri Mkuu - Uwekezaji, Waziri atakuwa Geofrey Mwambe na Naibu wake ni William Tate Olenasho
-
Palamagamba Kabudi atakuwa Waziri wa Sheria na Katiba na Naibu Waziri atakuwa Geofrey Mizengo Pinda.
-
Wizara ya Biashara na Viwanda, Waziri atakuwa Alexander Mkumbo. Innocent Bashungwa ameteuliwa kuwa Waziri wa Michezo






1617264658630.png

1617264698119.png

1617264736086.png
 
Mubashara:
Mhe.Dkt. Philip Isdori Mpango ameapishwa kuwa makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania; na Jaji mkuu wa Tanzania mhe. Prof. Ibrahim Hamis Juma katika lkulu, Chamwino Mkoanii Dodoma na kushuhudiwa na Rais wa Jamhuri ya Muugano wa Tanzania, mhe. Samia Suluhu Hassan.

Update:
Anasubiriwa mhe. Samia Suluhu Hassan kuingia na kiapo kuanza.

View attachment 1739575
Saa15:11- Mhe. Dkt. Mpango akiapa.


Saa 15:13 akienda kukalia kiti cha makamu wa Rais.

Mhe.Rais Samia Suluhu Samia, amempongeza mhe. Dkt. Mpango kwa kushika wadhifa huo wa makamu wa Rais na ameeleza kuwa baada ya kupitia majina mbalimbali ameona jina la Dkt. Isdori Mpango anafaa kushika wadhifa huo kutokana na historia ya uchapakazi wake, ucha Mungu na utulivu. Pia, kutokana na sifa hizo anatarajia pamoja na majukumu mengine, Dkt .Mpango amsaidia katika uchumi,udhibiti wa fedha za serikali kwa kuwa masuala ya Munngano yapo katika Ofisi yake atashughulikia ajenda iliyokwama ya uhusiano wa kifedha katika Muungano.

Naye Mhe. Dkt Mpango amemshukuru Mhe. Rais Samia kwa imani yake kwake na ameahidi kuwa atakuwa msaidizi mwaminifu na mtiifu kwa Mhe. Rais na nchi ya Tanzania. Ameongeza kuwa yupo tayari kuchapakazi mchana na usiku, kushirikiana na viongozi wengine na amesisitiza kuwa watanzania hawana hofu na uongozi wa Mhe. Rais Samia.

Salamu kuu za Rais Samia kwa umma kutangaza mabadiliko madogo ya Baraza la Mawaziri la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania







Viongozi mbalimbali waliohudhuria tukio hili ni Rais wa Zanzibar na mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hiussein Ali Mwinyi; Waziri mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mhe.Kassim Majaliwa; Makamu wa pili Rais wa Zanzibar, mhe. Hemed SuJeiman Abdulfa, Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanznia,mhe. Job Yustino; Jaji mkuu wa Zanzibar mhe. Omar Othman Makungu; mawaziri na manaibu waziri na viongozi wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama. Viongozi wengine ni mawziri wakuu wastaafu mhe. John Samweli Malecela; mhe.Mizngo Pinda; makamu mwenyekiti wa CCM Bara Ndg. Philip Mangula, na wajumbe wa kamati Kuu ya CCM; Wabunge, na viongozi wa dini na viongozi wa taasisi mbalimbali.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Job Yustino Ndugai na Jaji na Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe. Prof. Ibrahim Hamis Juma wamempongeza Mhe. Dkt. Mpango kwa kushika wadhifa huo na wameahidi kumpa ushirikiano katika utekelezaji wa majukumu yake

Tangu lini makamu wa rais akaapishwa na rais na si jaji mkuu?

Kwanini uzi huu umefukuliwa sasa hivi?

Ndio maana kwa mara ya kwanza makamu wa rais juzi ametoa amri ya kimamlaka kwa jeshi la polisi kugusu bughudha za misafara ya viongozi!!! Kuna nini?
 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom