Jabali la Siasa
JF-Expert Member
- Jul 10, 2020
- 2,542
- 2,166
===
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Samia Suluhu Hassan, akiongoza Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Leo tarehe 12 Novemba 2022 Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma.
Mama wa Taifa na Jasiri mwongoza njia Ndg Samia Suluhu Hassan akiwa kazini Leo, katika CC ya CCM-tanzania,
Wajumbe makini wa CC ya CCM -tanzania wakiendelea na Kikao Ikulu Leo,bila hawa kuwa makini nchi itayumba,
Katibu Mkuu wa ccm-tanzania Ndg Daniel Chongolo akiteta jambo na Mkt Wake Ndg Samia Suluhu Hassan Ikulu, Chamwino,
Makamu Mkt wa ccm-tanzania Ndg Abdurahman KINANA ambaae pia ndie Mkt wa Maadili akipitia makabrasha katika taarifa ya Katibu Mkuu Ndg Daniel Chongolo,
Katibu wa NEC Itikadi &Uenezi wa ccm-taifa Ndg Shaka Hamdu Shaka akifuatilia kwaumakini kikao cha CC na ndiye atakayetujuza nini kitajiri katika Vikao hivi,
#Stay tuned, nadhani mmeona makabrasha hapo juu,Kazi inaendeleaje
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Samia Suluhu Hassan, akiongoza Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Leo tarehe 12 Novemba 2022 Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma.
Mama wa Taifa na Jasiri mwongoza njia Ndg Samia Suluhu Hassan akiwa kazini Leo, katika CC ya CCM-tanzania,
Wajumbe makini wa CC ya CCM -tanzania wakiendelea na Kikao Ikulu Leo,bila hawa kuwa makini nchi itayumba,
Katibu Mkuu wa ccm-tanzania Ndg Daniel Chongolo akiteta jambo na Mkt Wake Ndg Samia Suluhu Hassan Ikulu, Chamwino,
Makamu Mkt wa ccm-tanzania Ndg Abdurahman KINANA ambaae pia ndie Mkt wa Maadili akipitia makabrasha katika taarifa ya Katibu Mkuu Ndg Daniel Chongolo,
Katibu wa NEC Itikadi &Uenezi wa ccm-taifa Ndg Shaka Hamdu Shaka akifuatilia kwaumakini kikao cha CC na ndiye atakayetujuza nini kitajiri katika Vikao hivi,
#Stay tuned, nadhani mmeona makabrasha hapo juu,Kazi inaendeleaje