IKULU CHAMWINO: Rais Samia Suluhu Hassan akiongoza kikao cha Kamati Kuu Ya Halmashauri Kuu ya CCM Tanzania

Jabali la Siasa

JF-Expert Member
Jul 10, 2020
2,542
2,166
===
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Samia Suluhu Hassan, akiongoza Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Leo tarehe 12 Novemba 2022 Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma.
IMG-20221112-WA0123.jpg

Mama wa Taifa na Jasiri mwongoza njia Ndg Samia Suluhu Hassan akiwa kazini Leo, katika CC ya CCM-tanzania,

IMG-20221112-WA0127.jpg

Wajumbe makini wa CC ya CCM -tanzania wakiendelea na Kikao Ikulu Leo,bila hawa kuwa makini nchi itayumba,

IMG-20221112-WA0125.jpg

Katibu Mkuu wa ccm-tanzania Ndg Daniel Chongolo akiteta jambo na Mkt Wake Ndg Samia Suluhu Hassan Ikulu, Chamwino,
IMG-20221112-WA0130.jpg

Makamu Mkt wa ccm-tanzania Ndg Abdurahman KINANA ambaae pia ndie Mkt wa Maadili akipitia makabrasha katika taarifa ya Katibu Mkuu Ndg Daniel Chongolo,

IMG-20221112-WA0126.jpg

Katibu wa NEC Itikadi &Uenezi wa ccm-taifa Ndg Shaka Hamdu Shaka akifuatilia kwaumakini kikao cha CC na ndiye atakayetujuza nini kitajiri katika Vikao hivi,

#Stay tuned, nadhani mmeona makabrasha hapo juu,Kazi inaendeleaje
 
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Samia Suluhu Hassan, akiongoza Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM kilichofanyika Leo tarehe 12 Novemba 2022 Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma.
View attachment 2414560
Mama jasiri mwongoza njia akiwa kazini Leo, katika CC ya CCM,

View attachment 2414562
Wajumbe wa CC ya CCM -tanzania wakiendelea na Kikao Ikulu Leo,

View attachment 2414578
Katibu Mkuu wa ccm-tanzania Ndg Daniel Chongolo akiteta jambo na Mkt Wake Ndg Samia Suluhu Hassan
View attachment 2414579
Makamu Mkt wa ccm-tanzania Ndg Abdurahman KINANA ambaae pia ndie Mkt wa Maadili akipitia makabrasha katika taarifa ya Katibu Mkuu Ndg Daniel Chongolo

View attachment 2414583
Katibu wa NEC Itikadi &Uenezi wa ccm-taifa Ndg Shaka Hamdu Shaka akifuatilia kwaumakini kikao cha CC,

#Stay tuned, nadhani mmeona makabrasha hapo juu,
Hapa hawezi kutoka na independent decision! Aliweza Nyerere tu basi. hapa lazima wamburuze! Aseme hiki sitaki, never on earth!
 
Ikulu ni mali ya Watanzania waliomchagua Rais aliyeko madarakani pamoja na chama chake.
 
Back
Top Bottom