Naibu waziri wa fedha atumbuliwa live.H ajui kusoma hahahahah.Huyu atakuwa hawala wa majaliwa.
Aliyeshindwa kuapa kashaliwa kichwa
Huyu mama balaa. Ana figa moja matata sana alafu hana kitambi, tolu na mzuri wa natural kabisa hamna kalorite..Kweli Anjelina Mabula nae sio haba , leo tumpe kongole camera man wa TBC1
😀😀😀Aliyeshindwa kuapa kashaliwa kichwa
Out of topic;hivi hao waudhuriaji wote huwa wanalipwa posho?
Hajamtumbua wa fedha ni wa madini.Naibu waziri wa madini atumbuliwa live.H ajui kusoma hahahahah.Huyu atakuwa hawala wa majaliwa ndo alimpendekeza mwanaume mwenzake.
Duhhhhh....Ndalichako
Ndo kaliwa kichwa laivu sasa sababu ya kushindwa kusoma, huyo naibu waziri wa madini.Sijajua wanakumbwa na nini. Kama ni uoni hafifu basi wangekuwa na miwani ila hawa inaonekana wana hofu sijui.