Wewe inaonyesha hata haujitambui unahitaji nini katika nchi hii, upo upo tu kama nyumbu wa serengeti na kenya. Pole mwache rais wetu atuletee maendeleo bhanaMama Mungu akutunze na kukulinda, mipepo michafu iliyoachwa na mwendazake imewavagaa watu. Wameanza kukuchukia bika sababu, hate Safari yako Kenya imewaudhi sana