Aliechagua design ya maganda ya vitunguu Mungu anamuonaThanks mkuu for updates
I am sure tutatoboa Tu
Ila designer wa interior hapo ni kasheshe... Carpet linafoka-foka
Acha chuki na maiti mkuu jenga nchiMama Mungu akutunze na kukulinda, mipepo michafu iliyoachwa na mwendazake imewavagaa watu. Wameanza kukuchukia bika sababu, hate Safari yako Kenya imewaudhi sana.
Haya ni mahaba au huba!!??Mama anapiga kazi balaaa kuliko hata kayafa, Bravo mama yetu.
Duh!!!Kama unapenda sana barakoa kamvalishe mumeo.