Ikulu Afghanistan inavamiwa!

Kaizer

Platinum Member
Sep 16, 2008
25,321
17,821
Wakulu habari zinazochirizika kupitia luninga yangu hapa (Al Jazeera) ni kwamna Ikulu ya Afhagnistan inashambuliwa na gunmen (Taliban) ambao wako kama 20 hivi wakiwa na assault rifles na suicide vests.

NATO wamekuja kusaidia

Jengo moja la Serena hoteli linaungua moto pamoja na majengo mengine pembeni!
 
Wakulu habari zinazochirizika kupitia luninga yangu hapa (Al Jazeera) ni kwamna Ikulu ya Afhagnistan inashambuliwa na gunmen (Taliban) ambao wako kama 20 hivi wakiwa na assault rifles na suicide vests.

NATO wamekuja kusaidia

Jengo moja la Serena hoteli linaungua moto pamoja na majengo mengine pembeni!
ooh!
HAO NI ALKAIDA no dauti
 
Dunia na amani yake imeshachukuliwa kwa kiasi kikubwa na alikaida. My God, kujitoa mhanga huku ni hatari. Wamefikaje maeneo ya ikulu bila kushtukiwa?? Yale yale ya Detroit!!
 
Ee bwana wee, wanaopigana Afganistan ni wanandugu wanajuana vizuri wale. Ni kama Palestina na Israel, Unguja na Pemba, Wahutu na Watusi. Ndugu wanapopigana chukua jembe ukalime, wanapopaana koroga chai unywe.

Ibra
 
Hii vita itakuja kuisha mpaka wavamizi waondoke wajitawale wenyewe
 
Dunia na amani yake imeshachukuliwa kwa kiasi kikubwa na alikaida. My God, kujitoa mhanga huku ni hatari. Wamefikaje maeneo ya ikulu bila kushtukiwa?? Yale yale ya Detroit!!

Mkuu Maane, hii indhihirisha uwezo wa Taliban huko Afhanistan kuwa wanaweza kupenetrate na kuattack sehemu yoyote muda wowote wanaotaka,

Of course wanasema kwa jinsi ikulu ilivojnegwa sio rahisi kuidhuru ki hivyo ial wao walikuwa wamepanda ghorofani Serena hoteli wakiwa na hayo ma assault rifles ndo hapo NATO na Afgan Forces walipochanganyikiwa.

Sasa hivi eneo lote limekuwa cordoned off na inaonekana sasa wameamua kulipua hoteli.

kwa jinsi Kabul ilivo secured, huwezi kutegemea Taliban wajiingize hadi ndnai kiasi hiki lakini ndo uwezo wao huo!

Wamarekani na NATO kwa ujumla inabidi wafikirie mara mbili mbili
 
Kabul, Afghanistan (CNN) -- At least two explosions and gunfire shook downtown Kabul on Monday morning, with the Taliban saying it was conducting a militant operation.
The attack started as 14 members of Afghan President Hamid Karzai's Cabinet were to be sworn in, said Parliament member Fawzia Koofi.
About 20 Taliban insurgents entered the presidential palace; the ministries of finance, mines and justice; and the Serena Hotel, said spokesman Zabiullah Mujahid. The militants claimed responsibility for one explosion, which was later followed by at least one another.
In a differing account, NATO-led forces said "several small explosions" and gunfire were reported near the Feroshgah e Afghan Shopping Center and the Serena Hotel.
bttn_close.gif

int.abawi.holbrooke.cnn.214x122.jpg



int.abawi.holbrooke.cnn.214x122.jpg
Video: 'Most challenging situation'
bttn_close.gif

gop.weekly.address.01.16.cnn.214x122.jpg



gop.weekly.address.01.16.cnn.214x122.jpg
Video: Stability in Afghanistan

RELATED TOPICS

At least two insurgents had been killed at the shopping center, NATO-led forces said in a news release, which also said that Afghan national police had secured all roads in the area.
An unknown number of downtown buildings were on fire, with smoke billowing above. It was not immediately clear which buildings were burning.
Monday's assault followed weekend violence that killed at least three international troops and 14 militants in Afghanistan, authorities said.
 
Slave of Ibilis kama kawa.

Mpungufu wa kufikiri kama hukuyategemea haya na hupo katika hali ya kutegemea zaidi ya haya, mpaka hapo haki itakaposimama na Sharia kutawala katika ardhi za waislamu. Safari bado ndefu na itakuwa na ups and downs kwa pande zote mbili.

Makafiri hawana wanalojidanganyia zaidi ya maguvu na sophistication ya masilaha yao na vizabizabina (vibaraka ) wao katika matayarisho wa ujio wa kiongozi wao Masiihu Ddajjaal (anti Christ) na kwa waumini hawana wanaemtegemea zaidi ya Allah, Subhaanahu waTaala. Na Isa bin Maryam (Yesu, Jesus) atakaposhuka jambo la kwanza atalofanya ni kuteketeza na kuisafisha dunia na misalaba.

Makafiri lengo lao ni starehe na fasada za dunia, hivyo ndio maana wanahofu saana kufa, ni kuukosa uhondo wa dunia, wanajidai maneno tuuuu lakini katu hawatouweza mkorogo waliouanzisha duniani kwa muda mrefu, na Waumini lengo lao ni pepo ya Mwenyezi Mungu (SW) na jambo la kupinga udhalimu katika ardhi zao ni sacred endevor, na kifo katika njia hiyo ni shahada kama ilivyo ya uzamili katika descipline husika.

Makafiir wanapanga na Allah anapanga, na kwa hakika m-bora katika mipango ni Allah (SW), inaweza kwenda namna hii kwa muda mrefu, kwa mfano katika mwaka itakuwa 20 battles kwa makafiri, lakini cha ajabu inawaongezea imani na nguvu waumini na kusafisha kundi lao kutokana na wanafiki wasio na subira, na only 2 battles kwa waumini with devastating blows kwa unbelievers, yaani ndugu yangu Abdulhalim, mwishowe ushindi ni kwa wenye kuamini. That is absolute sure, hebu analyse mambo sawasawa !!!

Abdulhalim, bado hujajua tu dunia inaelekea wapi????? uliyategemea wewe haya leo wakati vita hii iilipoanza???. Je umeshajiandaa na ya kesho na keshokutwa, nasiki superpower anapeleka wengine 37,000, kulikoni????. Kutegemea more suprises sio kusupport ugaidi bali ni ku-analyse tu matokeo ya mambo ulimwenguni sawasawa na kupanga tu hesabu zako vizuri. Mbili na mbili wakati wote ni nne si vyengine. Na Isa bin Maryam hawezi kuwa Mungu, mtoto wa Mungu na hapo hapo akawa binadamu (Mtume na Nabii wa Mungu). Make your pick ndugu yangu, usijichanganye. Hakuwa Isa (Yesu) ila ni binadamu (Mtume na Nabii wa Mwenyezi Mungu) na kwa hakika wamepita Mitume wengi kama yeye kabla yake. Mithili yake mbele ya Mwenyezi Mungu ni kama Adam, kaumbawa na Allah kutokana na udongo, kisha Allah akasema "kuwa" na akawa. Kama yeye hana baba tu, basi Adam hana baba wala hana mama, nani basi ange-deserve more divinity??? Silimu usalimike ndugu yangu.
 
Mpungufu wa kufikiri kama hukuyategemea haya na hupo katika hali ya kutegemea zaidi ya haya, mpaka hapo haki itakaposimama na Sharia kutawala katika ardhi za waislamu. Safari bado ndefu na itakuwa na ups and downs kwa pande zote mbili.

Makafiri hawana wanalojidanganyia zaidi ya maguvu na sophistication ya masilaha yao na vizabizabina (vibaraka ) wao katika matayarisho wa ujio wa kiongozi wao Masiihu Ddajjaal (anti Christ) na kwa waumini hawana wanaemtegemea zaidi ya Allah, Subhaanahu waTaala. Na Isa bin Maryam (Yesu, Jesus) atakaposhuka jambo la kwanza atalofanya ni kuteketeza na kuisafisha dunia na misalaba.

Makafiri lengo lao ni starehe na fasada za dunia, hivyo ndio maana wanahofu saana kufa, ni kuukosa uhondo wa dunia, wanajidai maneno tuuuu lakini katu hawatouweza mkorogo waliouanzisha duniani kwa muda mrefu, na Waumini lengo lao ni pepo ya Mwenyezi Mungu (SW) na jambo la kupinga udhalimu katika ardhi zao ni sacred endevor, na kifo katika njia hiyo ni shahada kama ilivyo ya uzamili katika descipline husika.

Makafiir wanapanga na Allah anapanga, na kwa hakika m-bora katika mipango ni Allah (SW), inaweza kwenda namna hii kwa muda mrefu, kwa mfano katika mwaka itakuwa 20 battles kwa makafiri, lakini cha ajabu inawaongezea imani na nguvu waumini na kusafisha kundi lao kutokana na wanafiki wasio na subira, na only 2 battles kwa waumini with devastating blows kwa unbelievers, yaani ndugu yangu Abdulhalim, mwishowe ushindi ni kwa wenye kuamini. That is absolute sure, hebu analyse mambo sawasawa !!!

Abdulhalim, bado hujajua tu dunia inaelekea wapi????? uliyategemea wewe haya leo wakati vita hii iilipoanza???. Je umeshajiandaa na ya kesho na keshokutwa, nasiki superpower anapeleka wengine 37,000, kulikoni????. Kutegemea more suprises sio kusupport ugaidi bali ni ku-analyse tu matokeo ya mambo ulimwenguni sawasawa na kupanga tu hesabu zako vizuri. Mbili na mbili wakati wote ni nne si vyengine. Na Isa bin Maryam hawezi kuwa Mungu, mtoto wa Mungu na hapo hapo akawa binadamu (Mtume na Nabii wa Mungu). Make your pick ndugu yangu, usijichanganye. Hakuwa Isa (Yesu) ila ni binadamu (Mtume na Nabii wa Mwenyezi Mungu) na kwa hakika wamepita Mitume wengi kama yeye kabla yake. Mithili yake mbele ya Mwenyezi Mungu ni kama Adam, kaumbawa na Allah kutokana na udongo, kisha Allah akasema "kuwa" na akawa. Kama yeye hana baba tu, basi Adam hana baba wala hana mama, nani basi ange-deserve more divinity??? Silimu usalimike ndugu yangu.

Kama huogopi kufa kajiunge na hao ndugu zako alikaida. Halafu hapa tunazungumzia kuvamiwa Ikulu ambapo hata innocent people watapoteza maisha. Hapa mkuu unazungumzia masuala binafsi ya dini. Anzisha tread ya dini ili upate mahali pa kutapikia hasira yako ya dini.

Nafikiri mods walichoshwa sana na lile jukwaa la dini ndiyo maana wakaamua kuliondoa kabisa. I can imagine kuwa na members wachache design yako huko kama si kutupiana mapanga na risasi hewani!!!

Sitasilimu hata akishuka mtume Mohamed live!! Niko tayari kukatwa upanga, call me kafiri, right!! It does not matter in my life!!!

Tupunguze hasira, masuala ya dini ni controversial sana.
 
Suicide bombers, gunmen attack central Kabul

blank.gif
January 18, 2010
* Biggest attack in nearly a year
* Blaze visible, gunfire, explosions heard across city
* Fighters holed up in shopping centre

By Hamid Shalizi and Sue Pleming
Kabul


Taliban gunmen, some wearing suicide vests, launched a commando-style assault on government buildings in the centre of Kabul on Monday, underscoring the perilous security situation in the Afghan capital.
It was the worst attack on the city in nearly a year. Gunfire and loud explosions could be heard across the capital and a huge column of smoke was pouring out of a shopping centre that was at the heart of the attacks.
By mid-day, the main attack on the presidential palace and ministries in the centre of town seemed to have been repelled, with fighters now holed up inside the shopping centre, that was on fire and surrounded by Afghan police and security officials.
While the gunbattle there was underway, a suicide car bomber exploded his vehicle outside another shopping centre nearby killing several police and security officials, a security source said. Another blast was later reported near a cinema several hundred metres (yards) away.
The Taliban said 20 of their fighters were involved in the attacks, which targeted the presidential palace, justice ministry, ministry of mines and a presidential administrative building, all clustered in the centre of town.
It was not immediately clear how many were killed, but the apparent ease with which the militants penetrated the heart of the city underlines the challenges facing President Hamid Karzai.
It also appears to be a slap in the face for his new initiative to lure Taliban fighters to lay down their arms that he plans to announce at an international conference in London this month.
The initiative is a key part of U.S. President Barack Obama's new strategy, which will also see 30,000 extra troops sent to turn the tide against a mounting insurgency.
CASUALTIES
The strikes came as some members of Karzai's new cabinet were being sworn in after an election last year.
Initial reports of casualties were only partial. NATO forces said at least two armed insurgents were killed. A security source said two guards were shot dead by the bombers as they stormed the Grand Shopping Centre. Another said three people had died.
The attack was the biggest in the capital since fighters stormed the justice ministry and other government buildings last February. Taliban fighters have long had their sights on Kabul, staging a number of smaller bomb attacks in recent months in the city, and have mounted similar commando raids in other cities.
A police source said one suicide bomber may have penetrated the justice ministry. However, there were no confirmed reports that fighters had successfully managed to seize any of the government buildings they had aimed for.
Defence Ministry spokesman Zaher Azimy said of the scene at the Grand Afghan Shopping Centre: "The store is under siege and we are involved in a clash with those inside. Some security forces have managed to get inside the store."
Mohammad Shah, a shopkeeper in the centre, said: "There was an explosion at the presidential palace gate and then three people who looked like suicide bombers entered the shopping centre and went to the second and third floor.
"There were gunshots from security people, there was black smoke inside the building and the security guys escorted us out," he said.
The store is adjacent to the Serena Hotel, where many foreigners stay, but the hotel itself did not appear to have been targeted by the attackers.
A Reuters reporter overheard security forces saying on radio that the car bomber at the second shopping centre had driven a military ambulance, suggesting fighters may have posed as members of the Afghan security forces or infiltrated them.
Some gunmen may have been wearing uniforms, security officers said over the radio, urging that Afghan army troops be kept from the scene to prevent confusion or further infiltrations.
The NATO-led International Security Assistance Force said it was "working closely with our Afghan partners to aggressively contain the situation". - REUTERS
 
It is time for America to stop the enrichment on the back of the war and stop the war trade.
 
Latest ni kuwa 7 gunmen wameuawa. Taliban wanaendelea kushambulai ofisi za serikali
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom