Iko wapi SIRI NZITO ya upinzani iliyopasuliwa jana na CCM pale Jangwani?

Daaah! Aisee huyu jamaa anafikiria kwa kutumia makalio kwa kweli... Tunakazi ya ziada ya ukombozi wa fikra kabla ya nchi kwa ujumla.. Inabidi kuwafundishi watu kama hawa uwezo wa kufikiri!

Ndugu hebu rudia kusoma dhima ya mleta thread, halafu soma majibu yako!

Ila pia hlo tatizo la majibu mepesi yasiyo na urafiki na maswali magumu, ni jadi yenu. Haya ndo uwezo wako ulipoishia.

Mbumbumbu Intelligent

Huna uwezo wa kuelewa ukweli, mmezowea kudanganywa.
 
Nakuonea huruma sana yaani uzuzu wako ndio mtaji wao mweh!!

Kilomita zaidi ya 11,000 za lami miaka 7 tu ya Kikwete (mbali ya mashule, makliniki, ma ambulance, ma umeme, ma gesi, ma vyuo vikuu), mmesha-jiuliza wazazi "walioshirikiana" walifanya nini miaka 24?
 
Kwahiyo hizo ndio SIRI NZITO mlizojitahidi kuweka mabango kila pembe ya jiji?

Hahaahaa kweli mnamzaha na Watanzania!

Lipi kati ya hayo ambalo hamjawahi kulitaja tangu mpoteze uhalali wa kushika dola?

Tangu 2011 hayo hapo juu ndi makelele yenu, leo mnasomba watu na mafuso na kuwaambia kuwa kuna SIRI NZITO kisha mnazirudia hizohizo kweli???

Mungu awalaani sana!

Sana tena wewe ulijuwa kuwa wazazi wa Mbowe "walishirikiana"? mimi nilikuwa sijui, jana ndio Wassira kapasuwa jipu. Maana hakulitumbuwa, kalipasuwa.

Leo mmepigwa bumbuwazi, hamjui hata muanzie wapi. Hamjajibu hata hoja moja. Mmmebaki mbona malori? mbona hamkusema hiki? mbona hamkusema kile? Sasa nyinyi jamani mnataka tuseme uongo?
 
Duh! kweli wewe kichwani kwako ni mtupu! sijui kama umeshawahi kusikia kuna mikoa ianaitwa "the big 4" kwa uzalishaji wa chakula nchini. Lakini sio kosa lako tatizo ni kuwa mfuasi mbumbumbu wa kiwete.

Na sijui kama umeshawahi kusikia kuhusu "SAGGOT" iliyoanzishwa na Kilimo Kwanza! ukiijuwa hiyo utajuwa kuwa huko kunafanyiwa juhudi za makusudi sio tu pazalisehe, zaidi, pawe pia na miundo mbinu mizuri ya kusafirishia hayo mazao. Si uliona alivyopokewa Nape huko? mpaka mkasema maandaamano, kumbe ni pikipiki na magari yaliokwenda kumpokea tu.
 
Teh teh teh teh....!!! Siasa kweli mchezo mchafu. Kupakana matope kila kona. Kweli ulaji mtamu. Kwani vyama viko tayari kutumia mabilioni ya fedha katika shighuli za siasa, lakiiniii ukiawaambia wachangie elimu, afya na matibabu kwa watoto na wazee, kila mtu anakula kona. Hii ni dhambi mbaya sana! Jana CCM wamepoteza pesa nyingi kisa kujibu mapigo ya M4C. Mwogopeni Mungu japo kidogo!

Elimu - Watoto million 8 leo wanasoma, kabla ya Kikwete chini ya million 4., vyuo vikuu wapo 130,000 kwa sasa hivi, kabla ya Kikwete chini ya 50,000. vyuo vikuu zaidi ya kumi kwa miaka 7 tu.

Afya na matibabu ya watoto - Kliniki kila kata, vyandarua kila kaya, vifo vya watoto vimepunguwa mpaka kuiondoa Tanzania katika kiwango cha kuishi cha wastani wa miaka 48 wakati Kikwete anachukuwa madaraka mpaka leo ni miaka wastani wa miaka 55 na bado anaendelea na mikakati. Yote unaona hafanyi kitu? Umeshajiuliza "walioshirikiana" walikuwa wapi na wanafanya nini kwa miaka 24? hatukuyaona haya?
 
Kilomita zaidi ya 11,000 za lami wakati wa Kikwete tu.

Wanafunzi zaidi ya million 8 wanaosoma wakati wa Kikwete tu.

Vyuo vikuu wanafunzi zaidi ya 130,000 wakati wa Kikwete tu, kabla yake hawafiki hata 50,000.

Barabara za Dar, mkaoneshwa hapo hapo Jangwani ukitazama kulia ji highway la 8 lanes linajengwa, ukitazama kule ya Yanga jibarabara jipya linaenda mpaka Ubungo.

Treni za mjini kuanza mwaka huu huu, Mwakyembe.

Huko kusini mlikokwenda, hamjawahi kuonekana kwa ajili ilikuwa hakuna barabara, sasa hivi lami bado kilomita 20 tu kumalizika.

Jana umewashuka magwanda ya khaki.

ulipewa posho yako?
 
kwa kweli mimi nilisikia kilometa za barabara zikitajwa mara kwa mara na neno CHADEMA lilitamkwa na kila baada ya sentensi kadhaa.
Pia neno 'TUTA' fanya hili na hili lilitawala kwenye vinywa vya wazungumzaji, nimeshindwa kuelewa ni kampeni au??
 
Watu wengine wanatoka kwenye hoja makusudi kupoteza lengo la mtoa maada. Hivi kujenga barabara kwa chama tawala ni fadhila kwa wananchi au wajibu? Kwani kodi na misaada wanayotembea kuomba kila siku ni kwaajili ya kazi gani? Wananchi wanahaki ya kuulizia ubora wa matumizi ya kodi zao, na kuoanisha mapato na matumizi. Ila kuna watu bongolala wanadhihaki wa tz maskini wewe unalipa kodi kiasi gani kwa mwaka hadi uhoji! Hivi huyo barkhesa hizo juici na maji anakunywa yeye na familia yake?! Hao maskini ambao wengi wetu tulioula nchi hii tunawadhalau ndo wananunua huduma na bidhaa za hao matajiri. Tuwaheshimuni jamani.
Maskini chama changu cha mapinduzi,hali yetu mbaya sana, ile ni dhihaka kwa wakazi wa dar, zile siyo sera za kuwaambia watu wa mjini dar mnaowashirikisha kwenye deals zenu za fungu la kumi, wanawajua watendaji wa serikali in and out. Tena bahati mbaya live kwenye tv na radio. Inaongeza hasira zaidi kwa watz!, huo ndo ukweli. Mliyoongea jana ni mambo ya kuongelea jimboni kwela tena mkiwa off air. Zile ni propaganda.

umenena
 
ulipewa posho yako?

Nilichangishwa pesa zikanunuliwa VX 8 6 za kuendea mikutanoni.

Jana ile ilikuwa ni silaha ndogo ndogo. silaha za maangamizi bado. Ule ulikuwa mwanza na sasa tunaenda Tanzania nzima kuwajulisha Watanzania kuwa kuna watu wana "kufuru".
 
hata mwenyekiti wa ccm mtaani kwetu eti naye arirudisha kadi ya chadema sasa sielewi kama alikua chadema, na kama ndivyo aliwezaje kuwa kiongozi wa chama cha maroli?


Think tank wa ccm na ccj vichwa maji kweli.
 
Kilomita zaidi ya 11,000 za lami miaka 7 tu ya Kikwete (mbali ya mashule, makliniki, ma ambulance, ma umeme, ma gesi, ma vyuo vikuu), mmesha-jiuliza wazazi "walioshirikiana" walifanya nini miaka 24?

aisee, swala la kilomita 11000 ndo hoja kuu ya CCM au?? maana jana magufuli katamka hilo neno zadi ya mara 50 alafu na wewe kwenye hii thread kila baada ya sentensi mbili unataja hizo kilimita 11000.
Ndo hoja pekee mnayoitegemea??
 
Nilichangishwa pesa zikanunuliwa VX 8 6 za kuendea mikutanoni.

Jana ile ilikuwa ni silaha ndogo ndogo. silaha za maangamizi bado. Ule ulikuwa mwanza na sasa tunaenda Tanzania nzima kuwajulisha Watanzania kuwa kuna watu wana "kufuru".

Zomba CCM hakuna silaha za maangamizi zakukufanya useme eti za jana ni silaha ndogo ndogo, hakuna waongeaji mnaowategea zaidi ya wale wa jana. May be kama unamzungumzia Lusinde.
 
Mimi mwenyewe nililiona pale feri likiwa limetundikwa chini ya bango la matangazo nikataka kulipiga picha nikalionea uvivu kwa sababu niliona litakuwa kichefuchefu kwenye simu yangu
 
Zomba CCM hakuna silaha za maangamizi zakukufanya useme eti za jana ni silaha ndogo ndogo, hakuna waongeaji mnaowategea zaidi ya wale wa jana. May be kama unamzungumzia Lusinde.


Kwi kwi kwi, hatuna haja ya kukupa vibwagizo vyote na hatuna haja ya kukujulisha silaha za maangamizi kama huzijui. Kaza buti, utaziona.
 
Kwi kwi kwi, hatuna haja ya kukupa vibwagizo vyote na hatuna haja ya kukujulisha silaha za maangamizi kama huzijui. Kaza buti, utaziona.

Hakika CCM mmejiandaa kuwa wapinzani.
Mmeridhia kuiakabidhi dola kwa CDM na hili linathibitishwa na mwenendo wenu wa kufanya kila jambo kwa kuitazama CDM.
 
Watu wengine wanatoka kwenye hoja makusudi kupoteza lengo la mtoa maada. Hivi kujenga barabara kwa chama tawala ni fadhila kwa wananchi au wajibu? Kwani kodi na misaada wanayotembea kuomba kila siku ni kwaajili ya kazi gani? Wananchi wanahaki ya kuulizia ubora wa matumizi ya kodi zao, na kuoanisha mapato na matumizi. Ila kuna watu bongolala wanadhihaki wa tz maskini wewe unalipa kodi kiasi gani kwa mwaka hadi uhoji! Hivi huyo barkhesa hizo juici na maji anakunywa yeye na familia yake?! Hao maskini ambao wengi wetu tulioula nchi hii tunawadhalau ndo wananunua huduma na bidhaa za hao matajiri. Tuwaheshimuni jamani.
Maskini chama changu cha mapinduzi,hali yetu mbaya sana, ile ni dhihaka kwa wakazi wa dar, zile siyo sera za kuwaambia watu wa mjini dar mnaowashirikisha kwenye deals zenu za fungu la kumi, wanawajua watendaji wa serikali in and out. Tena bahati mbaya live kwenye tv na radio. Inaongeza hasira zaidi kwa watz!, huo ndo ukweli. Mliyoongea jana ni mambo ya kuongelea jimboni kwela tena mkiwa off air. Zile ni propaganda.

Ni jambo la hatari sana kuona waziri anakwenda kwenye mkutano wa chama na kuelezea mafanikio ya chama chao kwa kueleza kuwa eti wamejenga barabara na mambo mengine kwa umma!

Hivi mtz gani asiejua kuwa hayo ni wajibu wa serikali yoyote iliyo madarakani na nihaki ya kila mwanachi kuyapata,

Hata leo hii tungeongozwa na BOKO HARAM bado kujenga barabara na mengini wangefanya kwakuwa ni wajibu sio hisani!
 
Kilomita zaidi ya 11,000 za lami wakati wa Kikwete tu. Wanafunzi zaidi ya million 8 wanaosoma wakati wa Kikwete tu. Vyuo vikuu wanafunzi zaidi ya 130,000 wakati wa Kikwete tu, kabla yake hawafiki hata 50,000. Barabara za Dar, mkaoneshwa hapo hapo Jangwani ukitazama kulia ji highway la 8 lanes linajengwa, ukitazama kule ya Yanga jibarabara jipya linaenda mpaka Ubungo. Treni za mjini kuanza mwaka huu huu, Mwakyembe. Huko kusini mlikokwenda, hamjawahi kuonekana kwa ajili ilikuwa hakuna barabara, sasa hivi lami bado kilomita 20 tu kumalizika. Jana umewashuka magwanda ya khaki.
Mkuu Mbona umesahau kutaja mafanikio mengine kama haya:- -Takribani asilimia 50% ya wanafunzi waliofauli mtihani darasa la saba hawajui kusoma na kuandika -Wasomi wa Vyuo vikuu kasikiliza lecture / kufundishwa wakiwa wamesimama (kungombania viti) -Migomo ya Wafanyakazi/watumishi wa umma, wanaichi na Wanafunzi kuongezeka mara dufu nchi nzima -Reli ya kati (Dar-Kigoma) kushindwa kutoa huduma kwa watanzania japokuwa imebinafsishwa kwa muwekezaji wa kigeni -Kufunjwa na kulekebishwa kwa baraza la mawaziri mara kwa mara kutokana na tuhuma za ufisadi kwa mawaziri -Kupoteza muelekeo kwa chama tawala si si emu na kushindwa kutekereza sera za chama kwa vitendo kama vile "Vua gamba" -Kukua kwa uchumi wa Taifa kwa wastan wa asilimia 7% usiotafisilika kwa wanachi (wananchi kuzidi kuwa masikini) huku serikali ikikosa jibu/suluhisho la hali hii -Kufunja record ya kusafiri nje kwa mkuu wa kaya Mytake; watanzania hebu tuache ushabiki wa kijinga na tujenge utamaduni wa kutafakari na kutathimini ahadi za wanasiasa wa nchi yetu: 1. eti Treni za mjini kuanza mwaka huu huu, Mwakyembe:- treni za mikoani zinasuasua (reli ya kati-mahututi na TAZARA-imeanza kuugua) 2.Kilomita zaidi ya 11,000 za lami wakati wa Kikwete tu:- utiaji saini barabara ya DAR-MWANZA na DAR-MTWARA ulifanywa na Mh. J.P. Magufuri akiwa waziri wa Ujenzi awamu ya pili ya Mkapa 3. Wanafunzi zaidi ya million 8 wanaosoma wakati wa Kikwete tu:-takriban 50% ya wanafunzi waliofauru darasa la saba hawawezi "Kusoma na Kuandika 4. Vyuo vikuu wanafunzi zaidi ya 130,000 wakati wa Kikwete tu, kabla yake hawafiki hata 50,000:- wasomi wa nchi wanasikiliza lecture wakiwa wamesimama
 
Hivi vipi barabara ya Kilwa nasikia inajengwa upya ile. hii hela itakayotumika sasa ingesaidia mambo mengine watu wamezembea barabara iko chini ya kiwango
 
Mimi mwenyewe nililiona pale feri likiwa limetundikwa chini ya bango la matangazo nikataka kulipiga picha nikalionea uvivu kwa sababu niliona litakuwa kichefuchefu kwenye simu yangu

Hehee ilibidi nilipige picha kama sehemu ya ushahidi nikianza kufatilia
 
Elimu - Watoto million 8 leo wanasoma, kabla ya Kikwete chini ya million 4., vyuo vikuu wapo 130,000 kwa sasa hivi, kabla ya Kikwete chini ya 50,000. vyuo vikuu zaidi ya kumi kwa miaka 7 tu.

Afya na matibabu ya watoto - Kliniki kila kata, vyandarua kila kaya, vifo vya watoto vimepunguwa mpaka kuiondoa Tanzania katika kiwango cha kuishi cha wastani wa miaka 48 wakati Kikwete anachukuwa madaraka mpaka leo ni miaka wastani wa miaka 55 na bado anaendelea na mikakati. Yote unaona hafanyi kitu? Umeshajiuliza "walioshirikiana" walikuwa wapi na wanafanya nini kwa miaka 24? hatukuyaona haya?


Hongera Zomba kwa takwimu tamutamu maana kama serikali na CCM wangekuwa na takwimu hizo basi wasingeangaika kuja na ngonjera za kuijibu CDM kwa mkutano wa jana. Hii inaonyesha ni jinsi gani unavyoishi katika ideal state na kuachana na real and practical planet. Sasa instead of building castles in the air ebu tuambie process that makes a certain institution into a university statu ili tupate kujua Kikwete's magical performance. Vyuo vishiriki kwa mfano vya DUCE, Mkwawa na Ushirika Moshi ni mchakato wa tangu miaka ya 1990s na si swala la Kikwete nataka hiki kiwe chuo kikuu kinakuwa. SAUT ni process ya muda mrefu na haina uhusiano na Kikwete na miaka 7. Nisitaje vyuo kama TUMAINI na matawi yake, St.John's na vingine. Tupe mchakato huo ili tuweze kujua mchango wa Kikwete na accreditation of such universities.

Kuhusu elimu ya sekondari hiyo the least I can shule za kata is bomb in waiting to explode na kama uwepo wa shule hizo ni sifa basi sifa apewe Ben Mkapa aliyeangaika kupata fedha kama jitihada za millenium goals though all system is an abortive. Please be intellectual, analytical and gradualist in your presentation na usijifanye kujua utendaji wa Kikwete kuliko yeye mwenyewe
 
Back
Top Bottom