Iko wapi SIRI NZITO ya upinzani iliyopasuliwa jana na CCM pale Jangwani?

Kilomita zaidi ya 11,000 za lami wakati wa Kikwete tu.

Wanafunzi zaidi ya million 8 wanaosoma wakati wa Kikwete tu.

Vyuo vikuu wanafunzi zaidi ya 130,000 wakati wa Kikwete tu, kabla yake hawafiki hata 50,000.

Barabara za Dar, mkaoneshwa hapo hapo Jangwani ukitazama kulia ji highway la 8 lanes linajengwa, ukitazama kule ya Yanga jibarabara jipya linaenda mpaka Ubungo.

Treni za mjini kuanza mwaka huu huu, Mwakyembe.

Huko kusini mlikokwenda, hamjawahi kuonekana kwa ajili ilikuwa hakuna barabara, sasa hivi lami bado kilomita 20 tu kumalizika.

Jana umewashuka magwanda ya khaki.

Wewe zomba acha ujinga kwani huyo mkoloni tuliyemnyang'anya nchi mwaka 1961 tungemwachia kwa miaka 50 asingefanya hayo yote?na je tulivyopata uhuru kulikuwa hakuna shule,hospital na barabara hata moja?kwanza barabara na madaraja ambayo zipo mpaka sasa na bado ni imara tumeridhi kwa mkoloni mweupe na si huyu mweusi ambaye maana halisi ya chama chenu na CHUKUWA CHAKO MAPEMA {CCM} na kila kiongozi aliopo ndani yake ni lazma aingize nchi katika hasara na adhabu yake anaambiwa na mafsadi wenzake ajiuzulu na hakuna kinachofuata au nipe mfano wakiongozi yeyote wa ccm aliyewai kushtakiwa na kufungwa jela kwa ufsadi tangu nchi ipate uhuru na ni miaka 50 sasa.
 
Kilomita zaidi ya 11,000 ni wakati wa Kikwete tu. Sasa jiulize Nyerere na Baba'ke Mbowe wakishirikiana awamu ya kwanza walifanya nini kwenye barabara? na waliomfata wote walifanya nini, akiwemo na Slaa CCM? iweje Kikwete tu kwa miaka 7 aweze kilomita zaidi ya 11,000 ambazo ni zaidi ya zote zilizokuwepo kabla yake?
Hicho kipindi cha Nyerere kilikuwa na mikataba ya kipumbavu kwenye madini Kama sasa hivi? Nyerere Aliyaacha huko chini kwasababu uwezo wa kuyachimba tulikuwa hatuna ni kiherehere gani kilichofanya yachimbwe kabla hatujajua tunatajirisha wazungu tuu
 
Yericko mdogo wangu, hukumsikia Kinana akiwaambia wa Tanzania kuwa wapinzani hawana sura za kuongoza nchi? au hukumsikia Wasira akitangaza kuanzisha mashamba makubwa ya kulima mchele! Kilombero wakati ameshindwa kusafirisha mahindi yaliyokwisha vunwa kutoka Songea, Ludewa na Sumbawanga! sasa ulitaka siri nzito zaidi ya hizo?
 
Naona toka jana unahangaika kutafuta cha kuandika usikipate.

Baadhi ya siri tulizozisikia jana ni hizi hapa, ni kuwa wapinzani hususan chadema ni waongo, wanadanganya wananchi kuwa wao ndio wenye hoja ya CAG kumbe ni Kikwete aliyepeleka hiyo hoja bungeni. Tukasikia kuhusu wazee wa Mbowe walivyo "shirikiana" na Mbowe ana wakufuru. Tukasikia kuhusu chadema wanavyoiba hoja mpaka za kamati zinazotolewa na CCM na wao wanakimbilia kuwaita waandishi wa habari zionekanae ni zao.

Duh, tukasikia kuwa sasa chadema mnafanya maandamano kwenye barabara za lami (mkutano mwingine basi mkafanye sehemu hamna lami ili mumuweze Magufuli).

Isitoshe tukasikia kuwa mnapewa fedha na wazungu na huku mnawachangisha fedha wananchi kwenye mikutano yenu. Jee, mnawaambia kuwa mnaletewa fedha ngapi na wazungu? kwi kwi kwi teh teh teh.

Hongereni sana
 
Kilomita zaidi ya 11,000 ni wakati wa Kikwete tu. Sasa jiulize Nyerere na Baba'ke Mbowe wakishirikiana awamu ya kwanza walifanya nini kwenye barabara? na waliomfata wote walifanya nini, akiwemo na Slaa CCM? iweje Kikwete tu kwa miaka 7 aweze kilomita zaidi ya 11,000 ambazo ni zaidi ya zote zilizokuwepo kabla yake?
Safi sana kijana! kwa hiyo kuna CCM zaidi moja! ipo ya Kikwete yenye maendeleo, ya Mwinyi ambayo haikufanya kitu, ya Mkapa na ya Nyerere ambazo nazo hujui zilifanya nini! asante sana kwa taarifa tamu.
 
Yericko mdogo wangu, hukumsikia Kinana akiwaambia wa Tanzania kuwa wapinzani hawana sura za kuongoza nchi? au hukumsikia Wasira akitangaza kuanzisha mashamba makubwa ya kulima mchele! Kilombero wakati ameshindwa kusafirisha mahindi yaliyokwisha vunwa kutoka Songea, Ludewa na Sumbawanga! sasa ulitaka siri nzito zaidi ya hizo?

Sasa hvi mnaongelea kusafirisha mahindi ya Songea, Ludewa na Sumbawanga, kabla ya kilimo kwanza? kwi kwi kwi teh teh teh.
 
Naona toka jana unahangaika kutafuta cha kuandika usikipate.

Baadhi ya siri tulizozisikia jana ni hizi hapa, ni kuwa wapinzani hususan chadema ni waongo, wanadanganya wananchi kuwa wao ndio wenye hoja ya CAG kumbe ni Kikwete aliyepeleka hiyo hoja bungeni. Tukasikia kuhusu wazee wa Mbowe walivyo "shirikiana" na Mbowe ana wakufuru. Tukasikia kuhusu chadema wanavyoiba hoja mpaka za kamati zinazotolewa na CCM na wao wanakimbilia kuwaita waandishi wa habari zionekanae ni zao.

Duh, tukasikia kuwa sasa chadema mnafanya maandamano kwenye barabara za lami (mkutano mwingine basi mkafanye sehemu hamna lami ili mumuweze Magufuli).

Isitoshe tukasikia kuwa mnapewa fedha na wazungu na huku mnawachangisha fedha wananchi kwenye mikutano yenu. Jee, mnawaambia kuwa mnaletewa fedha ngapi na wazungu? kwi kwi kwi teh teh teh.

Teh teh teh teh....!!! Siasa kweli mchezo mchafu. Kupakana matope kila kona. Kweli ulaji mtamu. Kwani vyama viko tayari kutumia mabilioni ya fedha katika shighuli za siasa, lakiiniii ukiawaambia wachangie elimu, afya na matibabu kwa watoto na wazee, kila mtu anakula kona. Hii ni dhambi mbaya sana! Jana CCM wamepoteza pesa nyingi kisa kujibu mapigo ya M4C. Mwogopeni Mungu japo kidogo!
 
Sasa hvi mnaongelea kusafirisha mahindi ya Songea, Ludewa na Sumbawanga, kabla ya kilimo kwanza? kwi kwi kwi teh teh teh.
Duh! kweli wewe kichwani kwako ni mtupu! sijui kama umeshawahi kusikia kuna mikoa ianaitwa "the big 4" kwa uzalishaji wa chakula nchini. Lakini sio kosa lako tatizo ni kuwa mfuasi mbumbumbu wa kiwete.
 
Naona toka jana unahangaika kutafuta cha kuandika usikipate.

Baadhi ya siri tulizozisikia jana ni hizi hapa, ni kuwa wapinzani hususan chadema ni waongo, wanadanganya wananchi kuwa wao ndio wenye hoja ya CAG kumbe ni Kikwete aliyepeleka hiyo hoja bungeni. Tukasikia kuhusu wazee wa Mbowe walivyo "shirikiana" na Mbowe ana wakufuru. Tukasikia kuhusu chadema wanavyoiba hoja mpaka za kamati zinazotolewa na CCM na wao wanakimbilia kuwaita waandishi wa habari zionekanae ni zao.

Duh, tukasikia kuwa sasa chadema mnafanya maandamano kwenye barabara za lami (mkutano mwingine basi mkafanye sehemu hamna lami ili mumuweze Magufuli).

Isitoshe tukasikia kuwa mnapewa fedha na wazungu na huku mnawachangisha fedha wananchi kwenye mikutano yenu. Jee, mnawaambia kuwa mnaletewa fedha ngapi na wazungu? kwi kwi kwi teh teh teh.

Kwahiyo hizo ndio SIRI NZITO mlizojitahidi kuweka mabango kila pembe ya jiji?

Hahaahaa kweli mnamzaha na Watanzania!

Lipi kati ya hayo ambalo hamjawahi kulitaja tangu mpoteze uhalali wa kushika dola?

Tangu 2011 hayo hapo juu ndi makelele yenu, leo mnasomba watu na mafuso na kuwaambia kuwa kuna SIRI NZITO kisha mnazirudia hizohizo kweli???

Mungu awalaani sana!
 
Mimi naomba kuuliza. Hivi nini maana ya "waziri wa uratibu na sera"? Nachanganywa sana na cheo cha Waziri Wassira. Kwanini asiitwe wa waziri wa kupambana na Chadema? Maana sioni sera wala uratibu katika yote anayoyasema.
Mfano kwenye kupindi cha dk 45 ITV tarehe 3/6/012 alitumia muda mwingu kuisema CDM badala ya kujibu maswali aliyoulizwa. Jana Jangwani badala ya kuelezea mambo ya sera na uratibu kaongea mambo ya baba yake na Freeman Mbowe alivyopigania uhuru na jinsi Freeman anavyo "kufuru"(sikuelewa mantiki ya neno hilo mahali pale), au inawezekana hizo ndio SIRI tulizoambiwa zitapasuliwa?
Mkuu kwanza nikupongeze kwa kutuamsha wadanganyika hasa hapo kwenye cheo cha Wasira, hiki cheo kilistahili kucha cha chama sio serikali na kugharimiwa na kodi zetu ilihali kazi zake ni za chama asilimia miamoja!
 
Naona toka jana unahangaika kutafuta cha kuandika usikipate.

Baadhi ya siri tulizozisikia jana ni hizi hapa, ni kuwa wapinzani hususan chadema ni waongo, wanadanganya wananchi kuwa wao ndio wenye hoja ya CAG kumbe ni Kikwete aliyepeleka hiyo hoja bungeni. Tukasikia kuhusu wazee wa Mbowe walivyo "shirikiana" na Mbowe ana wakufuru. Tukasikia kuhusu chadema wanavyoiba hoja mpaka za kamati zinazotolewa na CCM na wao wanakimbilia kuwaita waandishi wa habari zionekanae ni zao.

Duh, tukasikia kuwa sasa chadema mnafanya maandamano kwenye barabara za lami (mkutano mwingine basi mkafanye sehemu hamna lami ili mumuweze Magufuli).

Isitoshe tukasikia kuwa mnapewa fedha na wazungu na huku mnawachangisha fedha wananchi kwenye mikutano yenu. Jee, mnawaambia kuwa mnaletewa fedha ngapi na wazungu? kwi kwi kwi teh teh teh.

Nakuonea huruma sana yaani uzuzu wako ndio mtaji wao mweh!!
 
Naona toka jana unahangaika kutafuta cha kuandika usikipate.

Baadhi ya siri tulizozisikia jana ni hizi hapa, ni kuwa wapinzani hususan chadema ni waongo, wanadanganya wananchi kuwa wao ndio wenye hoja ya CAG kumbe ni Kikwete aliyepeleka hiyo hoja bungeni. Tukasikia kuhusu wazee wa Mbowe walivyo "shirikiana" na Mbowe ana wakufuru. Tukasikia kuhusu chadema wanavyoiba hoja mpaka za kamati zinazotolewa na CCM na wao wanakimbilia kuwaita waandishi wa habari zionekanae ni zao.

Duh, tukasikia kuwa sasa chadema mnafanya maandamano kwenye barabara za lami (mkutano mwingine basi mkafanye sehemu hamna lami ili mumuweze Magufuli).

Isitoshe tukasikia kuwa mnapewa fedha na wazungu na huku mnawachangisha fedha wananchi kwenye mikutano yenu. Jee, mnawaambia kuwa mnaletewa fedha ngapi na wazungu? kwi kwi kwi teh teh teh.
Daaah! Aisee huyu jamaa anafikiria kwa kutumia makalio kwa kweli... Tunakazi ya ziada ya ukombozi wa fikra kabla ya nchi kwa ujumla.. Inabidi kuwafundishi watu kama hawa uwezo wa kufikiri!

Ndugu hebu rudia kusoma dhima ya mleta thread, halafu soma majibu yako!

Ila pia hlo tatizo la majibu mepesi yasiyo na urafiki na maswali magumu, ni jadi yenu. Haya ndo uwezo wako ulipoishia.

Mbumbumbu Intelligent
 
Yericko mdogo wangu, hukumsikia Kinana akiwaambia wa Tanzania kuwa wapinzani hawana sura za kuongoza nchi? au hukumsikia Wasira akitangaza kuanzisha mashamba makubwa ya kulima mchele! Kilombero wakati ameshindwa kusafirisha mahindi yaliyokwisha vunwa kutoka Songea, Ludewa na Sumbawanga! sasa ulitaka siri nzito zaidi ya hizo?

Haahaaa mimi nilimsikia tu Wasira akisema kalala Jobag na asubuhi kawahi mkutano Dar!
 
siri nzito mbona zilikuwepo mfano, kamanda Mbowe kumsaliti baba yake au mlitaka msikie nini zaidi
 
Mkuu kwanza nikupongeze kwa kutuamsha wadanganyika hasa hapo kwenye cheo cha Wasira, hiki cheo kilistahili kucha cha chama sio serikali na kugharimiwa na kodi zetu ilihali kazi zake ni za chama asilimia miamoja!

Ile ilikuwa lugha ya kuwahadaa wa Tz wajae cdm square hata Shibuda wamegwaya kumpeleka maana wameshitukiwa kila idara gamba linawawasha mwilini wanatapatapa.
 
ZOMBA. Inaonekana unamapenzi binafsi na Jakaya, ukumbuke Mbowe chama kilikuwa kimoja, watu walikuwa hawajasoma, hawaelewi haki zao na pia ilikuwa dhana ya utwana na ubwana haijawatoka, Freeman na Slaa wakipindi kile sio waleo na wala Mtanzania wa kipindi kile sio wa leo ukilijua hilo hautasupport ccm kwa lolote lile haijalishi tunadanganywa au tunaambiwa ukweli ila imani ya Watanzania kwa ccm imekufa kabisa. Chamsingi hata wewe kama njaa yako ndio inakufanya uwe unaongea pumba, hata Chadema ikichukua nchi haita kuacha ufe njaa kwa kuwa na Mtanzania. Pole kwa dhana yako potofu na unakaribishwa milango bado iko wazi kwa wote waliotekwa na CCM.
 
Naona toka jana unahangaika kutafuta cha kuandika usikipate.

Baadhi ya siri tulizozisikia jana ni hizi hapa, ni kuwa wapinzani hususan chadema ni waongo, wanadanganya wananchi kuwa wao ndio wenye hoja ya CAG kumbe ni Kikwete aliyepeleka hiyo hoja bungeni. Tukasikia kuhusu wazee wa Mbowe walivyo "shirikiana" na Mbowe ana wakufuru. Tukasikia kuhusu chadema wanavyoiba hoja mpaka za kamati zinazotolewa na CCM na wao wanakimbilia kuwaita waandishi wa habari zionekanae ni zao.

Duh, tukasikia kuwa sasa chadema mnafanya maandamano kwenye barabara za lami (mkutano mwingine basi mkafanye sehemu hamna lami ili mumuweze Magufuli).

Isitoshe tukasikia kuwa mnapewa fedha na wazungu na huku mnawachangisha fedha wananchi kwenye mikutano yenu. Jee, mnawaambia kuwa mnaletewa fedha ngapi na wazungu? kwi kwi kwi teh teh teh.

CCM mnatuabisha sana kutufanya nchi ya 3 duniani ombaomba...Pia mngeelezea hilo deni la taifa mlifanyia nini...Halafu umeme wa uhakika mwaka gani na mafisad kortin lini
 
Yericko mdogo wangu, hukumsikia Kinana akiwaambia wa Tanzania kuwa wapinzani hawana sura za kuongoza nchi? au hukumsikia Wasira akitangaza kuanzisha mashamba makubwa ya kulima mchele! Kilombero wakati ameshindwa kusafirisha mahindi yaliyokwisha vunwa kutoka Songea, Ludewa na Sumbawanga! sasa ulitaka siri nzito zaidi ya hizo?
niliwahi kusikia bungeni kinana akihusishwa kusimamia uwizi wa wanyama pale kia je alijibu hilo maanake jana hatukuw ana umeme
 
CCM mnatuabisha sana kutufanya nchi ya 3 duniani ombaomba...Pia mngeelezea hilo deni la taifa mlifanyia nini...Halafu umeme wa uhakika mwaka gani na mafisad kortin lini

Mbona hamuulizi wazee "walioshirikiana" na walikuwa madarakani kwa miaka 24 walifanya nini? na wao ndio walitakiwa waweke misingi mizuri? badala ya misingi bora, mnaona watoto wenyewe walivyo? wengine wauza pombe, wengine ndio hata kusema inakuwa si vyema.
 
Back
Top Bottom