Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo kama umesikia!
ameileta pahala pake.
I doubt if you're straight man, i guess na wewe ni David Cameron.. Phd sijui kakuoa we jamaaJuuudddddieeee!!!!!
Mimi ntakuwa mke mdogo babako mke mkubwa!!!!!stress free zone njoo shangweni acha chuki binti!I doubt if you're straight man, i guess na wewe ni David Cameron.. Phd sijui kakuoa we jamaa
mimi ntakuwa mke mdogo babako mke mkubwa!!!!!stress free zone njoo shangweni acha chuki binti!
ni kweli hao majamaaa wanatoka,huyo phd alivokuja mwanza juzi kati kama wiki mbili ago, , waliongea kwa simu bw kaka akamwambia he is broke basi bi mdada akamtumia kwa M-PESA laki nne taslim za kitanzania yaan 400,000/= kwa matumiz ya wikiend hiyo, na shuhuda aliona kabisa imeandikwa pokea kiasi hicho cha laki nne kutoka kwa WEMA ABRAHAM SEPETU. ila ndo kijana anamtumia tyuuuuu, anadai hana future nae, sijui kweli au anazingua gengeeee...................:lol::lol::lol::lol::lol::tongue::tongue::tongue:
Jamani nimesikia eti Hemed yule msanii wa bongo fleva sasa anatoka na wema sepetu na wamewekeana masharti kadhaa ili heshima ichukue mkondo wake.
usinambie Wema ndio hadi anamuweka mjini Phd,kaamua kulea kabisa mtoto wa kike uyu..
Ila asikwambie mtu,Wema ana nyota ya ajabu sana yule bidada...ukikaa karibu nae lazima ung'ae sasa subiri kuona hii couple inavyong'aa....
siwezi kusubiri mpambano wa Diamond/kidoti vs Phd/Wema.