Iko Siku Tutaamka na Kusikia Wananchi Wameamua Kujichukulia Ikulu na Kuiongoza!

Rev. I dare anyone in Tanzania to do so;
Tunashindwa kumsaidia jirani hata akiingiliwa na vibaka
Tunashindwa kutetea haki za watoto na wanawake
Tunashindwa kumuondoa afisa mtendaji bazazi
Tunashindwa kumuondoa mwalimu mbakaji
Tunashindwa kumuondoa mchuna ngozi

Tunashindwa kujiandikisha kupiga kura
tunashindwa kuhoji matumizi ya fedha za wafadhili
tunashindwa kuhoji lead time iliyotumika kuleta mafuta ya IPTL tunajua wiki tatu huwezi kuagiza, kupaki na kusafirisha
Tunashindwa kuhoji kikao cha bunge cha november 2009 kimedeliberate nini
tunashindwa kudai kodi zinazokatwa isivo na utaratibu

Tunashindwa kuhoji mapato ya madini, ardhi, misitu na maliasizi nyongine
tunashindwa hata kuhoji wanaopiga raia
Tunashindwa kuhoji haki za mama njamzito clinic
Tunashindwa hata kusaidia usafi wa mitaa yetu
Tunashindwa hata kusaidiana basic needs

Tunajali mazishi kuliko uzazi salama
Tunajali harusi kuliko elimu
Tunajali send of kuliko kupokea bwana harusi
tunajali kitchen party kuliko misa za shukrani

Tunashindwa hata kumzuia askari asimpige polisi
tunashindwa kuhoji baadhi ya wabunge mafisadi
tunashindwa kuhoji nguvu ya rushwa
tunashindwa kuhoji uhalali wa uwepo wa mawaziri

I dare anyone kuchukua nchi... NINAOMBA NIWE HAI NA NIBEBE BENDERA ZA WANAMAPINDUZI AU NGOMA ZA SHEREHE

Peace

Said it all mkuu!
 
Rev. I dare anyone in Tanzania to do so;
Tunashindwa kumsaidia jirani hata akiingiliwa na vibaka
Tunashindwa kutetea haki za watoto na wanawake
Tunashindwa kumuondoa afisa mtendaji bazazi
Tunashindwa kumuondoa mwalimu mbakaji
Tunashindwa kumuondoa mchuna ngozi

Tunashindwa kujiandikisha kupiga kura
tunashindwa kuhoji matumizi ya fedha za wafadhili
tunashindwa kuhoji lead time iliyotumika kuleta mafuta ya IPTL tunajua wiki tatu huwezi kuagiza, kupaki na kusafirisha
Tunashindwa kuhoji kikao cha bunge cha november 2009 kimedeliberate nini
tunashindwa kudai kodi zinazokatwa isivo na utaratibu

Tunashindwa kuhoji mapato ya madini, ardhi, misitu na maliasizi nyongine
tunashindwa hata kuhoji wanaopiga raia
Tunashindwa kuhoji haki za mama njamzito clinic
Tunashindwa hata kusaidia usafi wa mitaa yetu
Tunashindwa hata kusaidiana basic needs

Tunajali mazishi kuliko uzazi salama
Tunajali harusi kuliko elimu
Tunajali send of kuliko kupokea bwana harusi
tunajali kitchen party kuliko misa za shukrani

Tunashindwa hata kumzuia askari asimpige polisi
tunashindwa kuhoji baadhi ya wabunge mafisadi
tunashindwa kuhoji nguvu ya rushwa
tunashindwa kuhoji uhalali wa uwepo wa mawaziri


I dare anyone kuchukua nchi... NINAOMBA NIWE HAI NA NIBEBE BENDERA ZA WANAMAPINDUZI AU NGOMA ZA SHEREHE

Peace
MTM salam,
Mkuu asante ya pili hii kwani umebainisha mengi hapo juu, ikiwa hayo yote yametushinda na hata kuwatetea MAALBINO na VIKONGWE!! ni kweli Ari na Ushupavu wa Kuchukua IKULU Vitabaki kuwa ndoto ya Alnacha/Mwendawazimu. Pamoja na yale tunayojali ni KILEVI na NJIA ZA MKATO ZA KUPATIA UTAJIRI. MTM Usiombe uhai ili ubebe bendera au Ngoma za Mapinduzi. MUNGU na akujalie uhai tuendelee kuishi kwa Amani na usalama. Tanzania tumezungukwa na mifano hai Kadhaa. Ole wetu tusisije Tukaunga Mlolongo.
 
Rev. I dare anyone in Tanzania to do so;
Tunashindwa kumsaidia jirani hata akiingiliwa na vibaka
Tunashindwa kutetea haki za watoto na wanawake
Tunashindwa kumuondoa afisa mtendaji bazazi
Tunashindwa kumuondoa mwalimu mbakaji
Tunashindwa kumuondoa mchuna ngozi

Tunashindwa kujiandikisha kupiga kura
tunashindwa kuhoji matumizi ya fedha za wafadhili
tunashindwa kuhoji lead time iliyotumika kuleta mafuta ya IPTL tunajua wiki tatu huwezi kuagiza, kupaki na kusafirisha
Tunashindwa kuhoji kikao cha bunge cha november 2009 kimedeliberate nini
tunashindwa kudai kodi zinazokatwa isivo na utaratibu

Tunashindwa kuhoji mapato ya madini, ardhi, misitu na maliasizi nyongine
tunashindwa hata kuhoji wanaopiga raia
Tunashindwa kuhoji haki za mama njamzito clinic
Tunashindwa hata kusaidia usafi wa mitaa yetu
Tunashindwa hata kusaidiana basic needs

Tunajali mazishi kuliko uzazi salama
Tunajali harusi kuliko elimu
Tunajali send of kuliko kupokea bwana harusi
tunajali kitchen party kuliko misa za shukrani

Tunashindwa hata kumzuia askari asimpige polisi
tunashindwa kuhoji baadhi ya wabunge mafisadi
tunashindwa kuhoji nguvu ya rushwa
tunashindwa kuhoji uhalali wa uwepo wa mawaziri

I dare anyone kuchukua nchi... NINAOMBA NIWE HAI NA NIBEBE BENDERA ZA WANAMAPINDUZI AU NGOMA ZA SHEREHE

Peace
Maadam umeweza kuyaona haya basi ndio mwanzo mwema, kwani leo tumekusoma wengi na kukubaliana nawe, kesho wataongezeka wengine na wengine hadi itafika tutafika hesabu kubwa. Na ndio siku wananchi wataanza moja moja kulikana ktk maisha yao..
Ajabu tu ni kwamba wakati wa mwalimu pamoja na matatizo ya kiuchumi tulokuwa nazo hesabu iliyopo hapo juu ni ndogo sana. Hivyo kuthibitisha kwamba tumepoteza mila na desturi zetu yaani leo hii hatuna dini kabisa!
 
Back
Top Bottom