Next Level
JF-Expert Member
- Nov 17, 2008
- 3,153
- 176
Rev. I dare anyone in Tanzania to do so;
Tunashindwa kumsaidia jirani hata akiingiliwa na vibaka
Tunashindwa kutetea haki za watoto na wanawake
Tunashindwa kumuondoa afisa mtendaji bazazi
Tunashindwa kumuondoa mwalimu mbakaji
Tunashindwa kumuondoa mchuna ngozi
Tunashindwa kujiandikisha kupiga kura
tunashindwa kuhoji matumizi ya fedha za wafadhili
tunashindwa kuhoji lead time iliyotumika kuleta mafuta ya IPTL tunajua wiki tatu huwezi kuagiza, kupaki na kusafirisha
Tunashindwa kuhoji kikao cha bunge cha november 2009 kimedeliberate nini
tunashindwa kudai kodi zinazokatwa isivo na utaratibu
Tunashindwa kuhoji mapato ya madini, ardhi, misitu na maliasizi nyongine
tunashindwa hata kuhoji wanaopiga raia
Tunashindwa kuhoji haki za mama njamzito clinic
Tunashindwa hata kusaidia usafi wa mitaa yetu
Tunashindwa hata kusaidiana basic needs
Tunajali mazishi kuliko uzazi salama
Tunajali harusi kuliko elimu
Tunajali send of kuliko kupokea bwana harusi
tunajali kitchen party kuliko misa za shukrani
Tunashindwa hata kumzuia askari asimpige polisi
tunashindwa kuhoji baadhi ya wabunge mafisadi
tunashindwa kuhoji nguvu ya rushwa
tunashindwa kuhoji uhalali wa uwepo wa mawaziri
I dare anyone kuchukua nchi... NINAOMBA NIWE HAI NA NIBEBE BENDERA ZA WANAMAPINDUZI AU NGOMA ZA SHEREHE
Peace
Said it all mkuu!