Caroline Danzi
JF-Expert Member
- Dec 19, 2008
- 3,713
- 1,263
Du! nasinzia ofisini leo sijui nini??
chezeyyya pesa wewe, wadau wanacoment kwa hasira haoooo,
silaha pesa kisu mzigo,tafakarii
mwanaume kua bahiri ndo sababu ya wanawake wengi kua na vidum nje ya ndoa
Mpo humu ndani???shikamooni wote kwa ujumla wenu.
Kwa kweli kabisaaa Haipendezi kabisa mwanaume kuwa bahili kwa galfriend/mchumba/au mke wake. Hata kama tunasaidiana lakini mwanaume lazima uoneshe ule uanaume wako wa kuwajibika na kutimiza majukumu kama ilivyo kwa tamaduni za muafrika. Kama huduma unapata kwanini usimhudumie na yeye na pia umpendezeshe??? Unaondoka shuhulini hata hela ya uchakavu hutoi? atafua na nini, unatakaa anukie unadfikiri ni nani wa kumpatia hivyo vipodozi?????
Badilikeni wanaume,.
Mpo humu ndani???shikamooni wote kwa ujumla wenu.
Kwa kweli kabisaaa Haipendezi kabisa mwanaume kuwa bahili kwa galfriend/mchumba/au mke wake. Hata kama tunasaidiana lakini mwanaume lazima uoneshe ule uanaume wako wa kuwajibika na kutimiza majukumu kama ilivyo kwa tamaduni za muafrika. Kama huduma unapata kwanini usimhudumie na yeye na pia umpendezeshe??? Unaondoka shuhulini hata hela ya uchakavu hutoi? atafua na nini, unatakaa anukie unadfikiri ni nani wa kumpatia hivyo vipodozi?????
Badilikeni wanaume,.
Du! nasinzia ofisini leo sijui nini??
Mh real?mwambie naye akupe hela!
Mpo humu ndani???shikamooni wote kwa ujumla wenu.
Kwa kweli kabisaaa Haipendezi kabisa mwanaume kuwa bahili kwa galfriend/mchumba/au mke wake. Hata kama tunasaidiana lakini mwanaume lazima uoneshe ule uanaume wako wa kuwajibika na kutimiza majukumu kama ilivyo kwa tamaduni za muafrika. Kama huduma unapata kwanini usimhudumie na yeye na pia umpendezeshe??? Unaondoka shuhulini hata hela ya uchakavu hutoi? atafua na nini, unatakaa anukie unadfikiri ni nani wa kumpatia hivyo vipodozi?????
Badilikeni wanaume,.
kama unagegedwa kwa malipo basi hapo kigegedo chako unakiuza ama sielewi!Pole shostiii! Ndo ujifunze kuwa na kismati cha kugonga migodi! Inatakiwa ukigusa tu mgodi! Hawa pasua vichwa mimi nao stori tu kula wakale kwa mademu wao wa uswaziii au wowote wale wasiojua hazina waliyonayo!
Unigegede bureeeeee! Thubutuuuuuuu!
Tusemage ukweli tu mwanaume asiekupa pesa ni mzigooooo tena wa miiiba haubebeki!
Pole shostiii! Ndo ujifunze kuwa na kismati cha kugonga migodi! Inatakiwa ukigusa tu mgodi! Hawa pasua vichwa mimi nao stori tu kula wakale kwa mademu wao wa uswaziii au wowote wale wasiojua hazina waliyonayo!
Unigegede bureeeeee! Thubutuuuuuuu!
Tusemage ukweli tu mwanaume asiekupa pesa ni mzigooooo tena wa miiiba haubebeki!
tena we usiyelala na hela hii thread ndo imekuvurugaaaa mpaka basi
hivi ule usawa wa jinsia umeenda wapi!? nyie si mnataka usawa!? mimi nategemea katika usawa huo muwe mnatutoa na sisi!
kama unagegedwa kwa malipo basi hapo kigegedo chako unakiuza ama sielewi!
kusaidiana kupo ila sio kisa umegegedwa ndo upewe hela.usiogope shida kiiivo! mimi kuna siku nilitoka na mpenziwangu akaniacha mwenge nilikuwa sina nauli nilikuwa na plan niingie atm pale kumbe wallet niliokuwa nayo nilichange so haiikuwa na card wala sikumpigia wala nini hata niwe na shida ya kufa sitokaa niombe hela ya mtu niliacha zamani hiyo tabia
kama hawezi kunipa mwenyewe basi ,ni kweli hela ya mwanaume ni tamu lakini sio lazima kwenye mahusiano! kwanza wanaume wanaototoa hela hawajatulia wanafanya hela ni defence mechanism yao !
mi siombi hela ya mtu nitaishi kwa uwezo wangu nikikosa hela ya kusuka nanyoa,nikikosa kiatu natembea peku akitaka anisaidie tu mwenyeweSmile ndugu yangu wewe bado sanaaaaaa! Hii mijambawazi usipoiwezea kuitight by the balls hupati kitu kabisaaaaa! Dawa yao ni kugrab them by the balls and grab them tightly tena sio kwa mikono kwa SPANA au PRISE kabisaaaa!
Dear hawa viumbe hawana jemaaaa! omba hela usiombe haibadilishi view yake juu yako! Wewe jibanee ndo kwanza anafurahi demu jinga kabisaaa yule, simhudumii hata mia na namgegeda kila nikijiskia!!!!! Afu ukiwa unampa bure shosti hakuachii hata akikuchoka aje! Cha bure kitamu atiiiii! Atakuplay mpaka siku anaoa!!!!
Ila demu Kubwa la Maadui zinga la bili ya expenses, akikuchoka kidogo tu lazima akupe redundacy! Wanaume kutokutulia ni tabia tuuuu! Mwengine wewe unampa hela anaenda kuhonga! Upo hapo?
Kuchukua hela simuuzii ila ananitunza koz alinikuta nangaa kwa kutunzwa na wenzie! Habari ndo hiyo!
Sasa wewe jifanye Mama Teresa uone habari yako!