Ikizidi inakeraaaaaaaa

Nakadori

JF-Expert Member
Sep 21, 2011
8,781
20,939
Mpo humu ndani???shikamooni wote kwa ujumla wenu.

Kwa kweli kabisaaa Haipendezi kabisa mwanaume kuwa bahili kwa galfriend/mchumba/au mke wake. Hata kama tunasaidiana lakini mwanaume lazima uoneshe ule uanaume wako wa kuwajibika na kutimiza majukumu kama ilivyo kwa tamaduni za muafrika. Kama huduma unapata kwanini usimhudumie na yeye na pia umpendezeshe??? Unaondoka shuhulini hata hela ya uchakavu hutoi? atafua na nini, unatakaa anukie unadfikiri ni nani wa kumpatia hivyo vipodozi?????

Badilikeni wanaume,.
 
Mbona mi nachakaa sipati hiyo hela ya kukuongezea protein? Tatizo lenu mnafikiria sex for money, kafanye biashara. Nyambaf!
 
Mpo humu ndani???shikamooni wote kwa ujumla wenu.

Kwa kweli kabisaaa Haipendezi kabisa mwanaume kuwa bahili kwa galfriend/mchumba/au mke wake. Hata kama tunasaidiana lakini mwanaume lazima uoneshe ule uanaume wako wa kuwajibika na kutimiza majukumu kama ilivyo kwa tamaduni za muafrika. Kama huduma unapata kwanini usimhudumie na yeye na pia umpendezeshe??? Unaondoka shuhulini hata hela ya uchakavu hutoi? atafua na nini, unatakaa anukie unadfikiri ni nani wa kumpatia hivyo vipodozi?????

Badilikeni wanaume,.

Hapa unazungumzia wanawake gani?

Career working women or stay-at-home women?
 
Kama ni mke nakubaliana na wewe kweli anastahili kuhudumiwa kwa raha zake, ila hutu tugal friend, ni umiza kichwa tu tunakwangua kila kitu mradi tu kichwani avae nywele za maiti, vidoleni aweke mikucha ya zombie, machoni aweke nyusi kama brashi ya chachandu...atataka aende vijiwe vyote...sasa ole wako kawe ni katoto ka shule utajibebaje
 
hahaha...hapo balaa tupu...so kwa kuwa k inamegwa basi ndio tukusaidie kuiweka in prestine condition? siktai hela ya mwanaume uliwa na mwanamke ila sasa mbona mnakataaga pale kidume akikuomba bupa na kukuhaidi fedha?
na pia ukumbuke mkiwa hivyo basi wanaume tutatumia hela kukugegeda na kusepa...sii umejiweka kibiashara bwana.
 
Mpo humu ndani???shikamooni wote kwa ujumla wenu.

Kwa kweli kabisaaa Haipendezi kabisa mwanaume kuwa bahili kwa galfriend/mchumba/au mke wake. Hata kama tunasaidiana lakini mwanaume lazima uoneshe ule uanaume wako wa kuwajibika na kutimiza majukumu kama ilivyo kwa tamaduni za muafrika. Kama huduma unapata kwanini usimhudumie na yeye na pia umpendezeshe??? Unaondoka shuhulini hata hela ya uchakavu hutoi? atafua na nini, unatakaa anukie unadfikiri ni nani wa kumpatia hivyo vipodozi?????

Badilikeni wanaume,.

unachosema sawa ila usidai it should come natural
 
hivi ule usawa wa jinsia umeenda wapi!? nyie si mnataka usawa!? mimi nategemea katika usawa huo muwe mnatutoa na sisi!
 
Kumbe unatafuta hela! Kweli ngono ni uwekezaji. Ndio maana wasichana wanatimiza miaka mingi hata kuitwa madunga embe, huku wavulana wakihaha kuzisaka bila kupata
Yaani unataka hata girlfriend apewe hela! Kweli naona hutaki kukali uchumi.
 
hayo ndo mambo nisiyotaka mm.eti kwa sab nakugonga ndo nigharamikie.hayo ni mambo ya kurudishana nyuma kimaendeleo.ss atakuwa na tofauti gan na malaya?.km ni kutoa nitoe kwa ridhaa yangu kwa mambo mazuri anayonipa na kunfanyia isiwe ndo utaratibu.km mi mwanaume bahili bas hta ye ni mwanamke bahili mana nae hanipi.
 
Mpo humu ndani???shikamooni wote kwa ujumla wenu.

Kwa kweli kabisaaa Haipendezi kabisa mwanaume kuwa bahili kwa galfriend/mchumba/au mke wake. Hata kama tunasaidiana lakini mwanaume lazima uoneshe ule uanaume wako wa kuwajibika na kutimiza majukumu kama ilivyo kwa tamaduni za muafrika. Kama huduma unapata kwanini usimhudumie na yeye na pia umpendezeshe??? Unaondoka shuhulini hata hela ya uchakavu hutoi? atafua na nini, unatakaa anukie unadfikiri ni nani wa kumpatia hivyo vipodozi?????

Badilikeni wanaume,.
im bout my instrument, im bout my dow
im on my hustle,(man) you already know.
im getting stacks, im hitting lick
im packing pounds, and bagging bricks
you got them @#$%@#$, i gotta laugh
you talking Oz, but selling halfs.
where your connect? how much you got?
thats all he holdin? man i buy him out.

i got the love for money
i i gotta have it, the love for living lavish
gotta get that green paper stacking(love for money)

i i i i gotta have it
i i i i got the love for money
 
huwa najiuliza eti msichana mzur tu bt haolewi! ukienda send off unakuta m2 ana sura ngumu bt kaolewa, u knw y? hawa wanaotanguliza hela wanaogopwa na wavulana kama ukoma, we mleta thread utazeekea kwenu hakya nani.
 
9 Reactions
Reply
Back
Top Bottom