- Thread starter
- #201
Katiba ni mbovu ndo maana tunataka waanze nayoKama mtu kimeo, mmemkubali vipi awe makamu wa rais?
Huoni hapo mna tatizo kubwa zaidi ya nani rais?
Katiba ni mbovu ndo maana tunataka waanze nayoKama mtu kimeo, mmemkubali vipi awe makamu wa rais?
Huoni hapo mna tatizo kubwa zaidi ya nani rais?
Mtu asiyejua kuendesha gari hata akilalamika Volkswagen Beetle haina speed anataka Ferrari atakuwa mzushi tu.Katiba ni mbovu ndo maana tunataka waanze nayo
Lakini kwenye mashindano ya magari hata ukiwa dereva mzuri kama utatumia trekta basi utakuwa huna mpango wa kushindaMtu asiyejua kuendesha gari hata akilalamika Volkswagen Beetle haina speed anataka Ferrari atakuwa mzushi tu.
Kwa sababu hata akipewa Ferrari, tatizo lake la kutojua kuendesha gari halitatoweka.
Unaacha kujadili nikichokueleza.Lakini kwenye mashindano ya magari hata ukiwa dereva mzuri kama utatumia trekta basi utakuwa huna mpango wa kushinda
Nikuulize katiba hii ya sasa ikituhumu kiongozi fisadi inamfanya nini baada ya hapo?Unaacha kujadili nikichokueleza.
Kama hujui kuendesha gari, it doesn't matter upewe trekta au Ferrari.
Katiba ya sasa imevunjwa wazi. Watanzania hawakuhitaji katiba mpya kupinga uvunjwaji wa katiba.
Ukipewa hiyo mpya halafu ikavunjwa tena kama ilivyovunjwa hii ya sasa utafanya nini?
Maana usije kuwa unasingizia katiba mpya kwenye mambo ambayo hata kwa katiba ya sasa yanawezekana kufanyika.
Define "fisadi".Nikuulize katiba hii ya sasa ikituhumu kiongozi fisadi inamfanya nini baada ya hapo?
Mwenzetu si unatoka jimboni?Suala la katiba lipewe kipaumbele sana.
Katiba ni uhai.
Yapo mengi ya hatari sana kwenye katiba hii.
Lakini hili la Mrithi wa rais anayefariki dunia, kuwa ni makamu wa rais (automated) ni hatari sana kwa marais endapo tukipata Makamu asiyemwaminifu.
Pia linachangia sana kumuweka mbali makamu wa rais kuwa karibu na rais kwa hofu ya kutoaminia! (Naturally internal conflict)
Kwa gharama yoyote naomba tuanze na katiba inafaida kwetu sote matajiri na masikini, viongozi na watawaliwa.
Siko karibu na mbungeMwenzetu si unatoka jimboni?
Kaa na mbunge wako mjenge akaweke hii hoja Bungeni
Mtu asiyejua kuendesha gari unampa trekta?Lakini kwenye mashindano ya magari hata ukiwa dereva mzuri kama utatumia trekta basi utakuwa huna mpango wa kushinda
Define "fisadi".
Swali lako halina mantiki.
Sijaitetea katiba ya sasa kwamba ni nzuri.
Swali lako lingeweza kuwa na maana kama ningeitetea katiba ya sasa kuwa ni nzuri.
Tukirudi kwenye mifano yetu, unaliponda trekta. Halina kasi.
Mimi sijasema kwambq trekta linakwenda kasi. Hivyo swali la kuhoji kasi ya trekta si swali langu, sijawahi kusema trekta linakwenda kasi.
Sijawahi kusema katiba ya sasa ni nzuri. Hivyo swali la kuhoji uzuri wa katiba ya sasa si langu, waukize wanaosema katiba ya sasa ni nzuri.
Ila, nakuambia hivi, mtu asiyejua kuendesha gari/ trekta, tatizo lake ni kubwa kuliko ukweli kwamba ana trekta lisiloenda kasi tu.
Kwa sababu hata akipewa Ferrari inayoenda kasi, kupewa Ferrari kama hajui kuendesha gari hakumsaidii kuendesha.
Nimekuuliza swali hujanijibu.
Katiba ya sasa imevunjwa, watu hawajafanya lolote.
Ukipewa hiyo mpya unayodai, ikavunjwa tena, utafanya kipi tofauti ambacho hukufanya?
Utaweza vipi kukifanya wakati awali hukuweza?
We vipi kwani hujapenda mama kuwa raisi? Katiba hapa ilicheza kama pele la sivyo saa hizi tungekuwa chini ya akina mataga!!! Mbona mabo safi tu!!! Tunademka tu na mama yetu!Suala la katiba lipewe kipaumbele sana.
Katiba ni uhai.
Yapo mengi ya hatari sana kwenye katiba hii.
Lakini hili la Mrithi wa rais anayefariki dunia, kuwa ni makamu wa rais (automated) ni hatari sana kwa marais endapo tukipata Makamu asiyemwaminifu.
Pia linachangia sana kumuweka mbali makamu wa rais kuwa karibu na rais kwa hofu ya kutoaminia! (Naturally internal conflict)
Kwa gharama yoyote naomba tuanze na katiba inafaida kwetu sote matajiri na masikini, viongozi na watawaliwa.
Wewe hujamwelewa. Yaani yeye ndicho anachokitaka. Anajua kuwa ni hatari possbily kuzidi hata wewe unavyojua, ila amekuja hapa akajaribu kuandika kwa kuonyesha picha kama vile hajui!Kusema nchi iingie kwenye uchaguzi ASAP baada ya kifo cha raisi ndo hatari zaidi.
Exactly my point.Even the best law on earth does not defend (or enforce) itself. Watu wajifunze kwanza haki zao na wajibu wao wa kiraia badala ya kulialia kila siku, “tunataka katiba mpya, tunataka katiba mpya”!
Huyo jamaa anashindwa kujadili mambo kimantiki.Mtu asiyejua kuendesha gari unampa trekta?
True.Huyo jamaa anashindwa kujadili mambo kimantiki.
Hata baada ya kumuwekea mfano mzuri anauliza maswali pointless.
Swali lako ni zuri sana.
Kama tatizo ni mtu kutojua kuendesha gari/ trekta, akipewa Ferrari au trekta hatajua kuendesha tu.
Tatizo hapo si gari ni dereva.
Mfundishe mtu kuendesha huko mbele ukimpa Ferrari ajue kuendesha, sio unadai Ferrari wakati mtu hajui kuendesha gari.