Papaeliopaulos
Senior Member
- Feb 19, 2011
- 149
- 47
Jana wakati nasikiliza bunge nimejifunza jambo jipya. Kumbe wabunge hawana mamlaka ya kumwondoa waziri au katibu mkuu wa wizara yeyote, ila wanaweza tu kupiga kura ya kutokuwa na imani na waziri mkuu na akaondolewa madarakani kwa matokeo ya kura hiyo.
Sasa naomba kwa wadau wa sheria wanisaidie, ikiwa bunge halina imani na raisi utartibu unakuwaje? na kama raia ndio hawana imani na raisi je?
Sasa naomba kwa wadau wa sheria wanisaidie, ikiwa bunge halina imani na raisi utartibu unakuwaje? na kama raia ndio hawana imani na raisi je?