- Thread starter
- #41
Unawazungumzia twaweza mkuu, unreliable source. Ila ukweli utabaki ukweli tu, cdm mliboronga sana Jana.Upo kundi lipi ?View attachment 1551898
Unawazungumzia twaweza mkuu, unreliable source. Ila ukweli utabaki ukweli tu, cdm mliboronga sana Jana.Upo kundi lipi ?View attachment 1551898
Waliposema ushawishi wa Magufuli ni 90% mbona hamkusema wao ni unreliable sourceUnawazungumzia twaweza mkuu, unreliable source. Ila ukweli utabaki ukweli tu, cdm mliboronga sana Jana.
Na hataipata kamweLISSU KAMA LISSU HANA HELA UNADHANI NANI ATAUMIZA MGONGO WAKE KUMPANGIA KILA KITU WAKATI WANAJUA HUYU MTUNGA SHERIA NI KIMEO HATA AKIIPATA IKULU
Unawajua vizuri twaweza mkuu, who was behind them? Maana unapopoma tuPumbavu
Waliposema ushawishi wa Magufuli ni 90% mbona hamkusema wao ni unreliable source
Wapo sana! Hilo unalijua sana kuwa pale kuna vichwa kweli kweli! Time will tick when bunduki hazitafua dafu!Ndiyo kawaida yenu kutukana, ila naona kama chama hakina mathink tanks.
Watu mnavitu hatari, big up mkuu
Umejifariji Vizuri hahahahhaa Ebu jifunze na Kampeni za Ulaya na Marekani kwenys Mitandao zaid ya Huku kama Wanakuwaga wachache UwanjaniAcha kukariri,Sasa hivi watu wanafatilia michakato mtandanoni,ni ccm imebaki kusafirisha watu toka mbali kujaza uwanja.
Kama mnajiamini achilieni tume iwe huru muone.
Kwa upinzani huu, ccm itatawala kwa miongo mingi tu huko mbeleNimejaribu sana kuperuzi you tube nione sera za Mgombea wa Chandema Mh Tundu Lissu alizo toa kwenye uwanja wa Zakhiem Mbagala bila mafanikio, pia picha za mkutano hazikuwa clear, ukija kwenye sauti ya vyombo hazikuwa zimetulia, uchaguzi wa mwaka huu Chandema mmmmmmh.
Hakuna watu wanaopewa ushauri humu kama hawa, ila vichwa ngumu.Mimi nilishangaa saana.
Jukwaa kama la Kigodoro cha Msaga sumu... organisation pale jukwaani sifuri.
Mtiririko wa hotuba haueleweki.
Upinzani kama mnahitaji kura zetu jipangeni.
Msitangulize kulialia... hakuna anayependa mtu wa kulialia.
Nanyinyi safirisheni watu. Kwani mmekatazwa?Acha kukariri,Sasa hivi watu wanafatilia michakato mtandanoni,ni ccm imebaki kusafirisha watu toka mbali kujaza uwanja.
Kama mnajiamini achilieni tume iwe huru muone.
[/QUOTE]Tofautisha kufuata show za wasanii kwa kusombwa na malori na kwenda kwa mapenzi yao
QUOTE="Kejuu, post: 36514109, member: 596211"]
Huwa wanakuwa fooled by propaganda za mtandaoni, nakujiaminisha wanakubalika, but in really sense hakuna kitu.