Najua kuna mapungufu makubwa katika utawala wa awamu ya sita, wa Rais Samia. Lakini lazima tuwe na pa kuanzia.
1. Angalau kuna uhuru, watu wanaweza wakalala majumbani mwao wakiwa na uhakika kutakucha salama?
2. Kwa kiasi fulani haki za Binadamu zinazingatiwa ingawa bado kuna kazi kubwa ya kufanya, not to 100%
3. Utawala wa sheria unakuja taratibu, Mahakama zinaanza kutoa haki kadri ya sheria zetu, ingawa bado Ibrahim Juma ana kazi kubwa ya kufanya.
BADO: Bunge bado ni kituko!
1. Angalau kuna uhuru, watu wanaweza wakalala majumbani mwao wakiwa na uhakika kutakucha salama?
2. Kwa kiasi fulani haki za Binadamu zinazingatiwa ingawa bado kuna kazi kubwa ya kufanya, not to 100%
3. Utawala wa sheria unakuja taratibu, Mahakama zinaanza kutoa haki kadri ya sheria zetu, ingawa bado Ibrahim Juma ana kazi kubwa ya kufanya.
BADO: Bunge bado ni kituko!