Huu Muungano wakati wake bado kabisa. Raila akishinda lazima apewe muda wa kuijenga nchi yake kufuatana na sera zake na pia ahadi alizotoa wakati wa kampeni......kwa hiyo waoutaka muungano.......wasubiri tu......tena wasubiri sana...........wataupata muda wake ukifika......kalini sio sasa hivi.
Moderators...IFUTWE hii Thread..as per above