Ikiwa mimi sijahesabiwa ni watanzania wangapi hawajahesabiwa.

mimi pia sijahesabiwa mpaka leo..na tetesi nilizosikia eti usipohesabiwa hata kwenye zoezi la uandikishwaji wa vitambulisho vya taifa tunaweza tusiandikishwe simply bcoz hatuna taarifa zozote za awali..je hili nalo lina ukweli??

Mkuu usiwe na wasiwasi. kwa kifupi hili zoezi la sensa ni bovu mno na sidhani kama watatumia haya madodoso kwenye ishu ya vitambulisho vya taifa. kwenye vitambulisho vya taifa lazima wafanye usaili upya. maswali yenyewe hayaeleweki, wengine wanaulizwa matatu, wengine matano, wengine kumi, yaani ni vululuvululu.

Tuendeleeni kuwaelimisha watanzania, waelimike ili waliondoe madarakani hili li serikali la ccm magamba/mafisadi/majambazi/wauaji.
 
wanatengeneza mazingira ya kuongezwa siku ili waendelee kula hela

Hapo umenena. Watanzania kwa ujanja na utaperi tunaongoza. Siyo kwamba hatuwezi kuwajibika bali uwajibikaji wetu unakuwa umetanguliza maslahi kwanza. Utasikia kesho serikali imeongeza tena muda.
 
Sasa tukipeleka taarifa wenyewe kwa mtendaji na sisi tutalipwa kama makarani wa sensa?
Kwa nini wasingesema tu watu wote wapeleke taarifa zao wenyewe?

Nimekukubali mkuu walikuwa wapi kutuambia twende kwa huyo afisa sijahesabiwa na wala sitegemei kuhesabiwa. Nililala moshi usiku ww kuamkia tarehe 26 mm na familia yangu twasafiri kwenda Mtwara kesho mpaka tarehe 7 mwezi as Tisa ntajesabiwa kweli? Serikali legelege
 
Back
Top Bottom