Kamakabuzi
JF-Expert Member
- Dec 3, 2007
- 2,861
- 1,302
Kama barabara, afya, maji, na yote aliyotaja Ndugai yanafanywa na tozo ya miamala; kodi nyingine zinafanya kazi gani?
Ndugai ni mmoja wa watu wanaomhujumu Rais kwa kauli zake za kumfitinisha na wananchi, hasa pale alipowaambia watanzania kuwa lazima watozwe kodi kwa lazima, watake wasitake.Kama barabara, afya, maji, na yote aliyotaja Ndugai yanafanywa na tozo ya miamala; kodi nyingine zinafanya kazi gani?