Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,571
- 217,928
Bila kumung'unya maneno ccm imekwishapoteza ushawishi kwa wananchi , haina tena uwezo wa kukusanya watu wa kuwaeleza chochote , ili ipate watu wajinga ni lazima idanganye kwamba kuna wachina watagawa hela .
Na baada ya kutambua hilo Mwenyekiti wa CCM ndugu Magufuli akaamua kupiga marufuku demokrasia ya vyama vingi ili kuivisha taulo ccm ambayo tayari ilishadhalilika katikati ya soko.
Ikiwa leo ( 15 september ) ni siku ya demokrasia duniani tunawaomba Wazungu waendelea kuinyima misaada nchi hii mpaka pale itakaponyooka na kuruhusu uhuru wa kujieleza na demokrasia ya kweli