REJESHO HURU
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 4,394
- 9,279
Kuna usemi unasema mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni hii kauli ya Mh Waziri mkuu kutaka kusiwepo na posho zozote kwa watumishi wa umma, je vipi kuhusu posho wanazopewa askari wetu wa majeshi nazo zimefutwa ikiwa hapana kwa kigezo kipi kilichotumika ikiwa wote ni watumishi iweje huyu awe na posho huyu anyimwe
Ikiwa suala la kufuta posho basi hilo suala liwe kwa wote isionekane kitu kina itwa posho kwa wafanyakazi wote ijukane moja
Tena wale wengine ndio balaa makambini uko nyumba zipo wazi kibao zina umeme mpaka maji lakini hawakai wapo mitiani wanalipwa posho ya pango la nyumba ikiwa nyumba zao zipo na hazina watu
Ikiwa ni kubana matumizi basi hizo posho zifuatwe vile vile posho ya hao watu ya kodi ya nyumba kila mwezi ifutwe waende kukaa makambini kwao kwani kambini nyumba zipo lakini hazikaliwi
Ikiwa suala la kufuta posho basi hilo suala liwe kwa wote isionekane kitu kina itwa posho kwa wafanyakazi wote ijukane moja
Tena wale wengine ndio balaa makambini uko nyumba zipo wazi kibao zina umeme mpaka maji lakini hawakai wapo mitiani wanalipwa posho ya pango la nyumba ikiwa nyumba zao zipo na hazina watu
Ikiwa ni kubana matumizi basi hizo posho zifuatwe vile vile posho ya hao watu ya kodi ya nyumba kila mwezi ifutwe waende kukaa makambini kwao kwani kambini nyumba zipo lakini hazikaliwi