Ikiwa kubana matumizi ni kufuta posho kwa watumishi wa umma, futeni na posho za askari

REJESHO HURU

JF-Expert Member
Mar 6, 2014
4,394
9,279
Kuna usemi unasema mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni hii kauli ya Mh Waziri mkuu kutaka kusiwepo na posho zozote kwa watumishi wa umma, je vipi kuhusu posho wanazopewa askari wetu wa majeshi nazo zimefutwa ikiwa hapana kwa kigezo kipi kilichotumika ikiwa wote ni watumishi iweje huyu awe na posho huyu anyimwe

Ikiwa suala la kufuta posho basi hilo suala liwe kwa wote isionekane kitu kina itwa posho kwa wafanyakazi wote ijukane moja

Tena wale wengine ndio balaa makambini uko nyumba zipo wazi kibao zina umeme mpaka maji lakini hawakai wapo mitiani wanalipwa posho ya pango la nyumba ikiwa nyumba zao zipo na hazina watu

Ikiwa ni kubana matumizi basi hizo posho zifuatwe vile vile posho ya hao watu ya kodi ya nyumba kila mwezi ifutwe waende kukaa makambini kwao kwani kambini nyumba zipo lakini hazikaliwi
 
Kuna usemi unasema mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni hii kauli ya Mh Waziri mkuu kutaka kusiwepo na posho zozote kwa watumishi wa umma, je vipi kuhusu posho wanazopewa askari wetu wa majeshi nazo zimefutwa ikiwa hapana kwa kigezo kipi kilichotumika ikiwa wote ni watumishi iweje huyu awe na posho huyu anyimwe

Ikiwa suala la kufuta posho basi hilo suala liwe kwa wote isionekane kitu kina itwa posho kwa wafanyakazi wote ijukane moja

Tena wale wengine ndio balaa makambini uko nyumba zipo wazi kibao zina umeme mpaka maji lakini hawakai wapo mitiani wanalipwa posho ya pango la nyumba ikiwa nyumba zao zipo na hazina watu

Ikiwa ni kubana matumizi basi hizo posho zifuatwe vile vile posho ya hao watu ya kodi ya nyumba kila mwezi ifutwe waende kukaa makambini kwao kwani kambini nyumba zipo lakini hazikaliwi
Wewe ni mmoja wa wahanga nini?
 
Kuna usemi unasema mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni hii kauli ya Mh Waziri mkuu kutaka kusiwepo na posho zozote kwa watumishi wa umma, je vipi kuhusu posho wanazopewa askari wetu wa majeshi nazo zimefutwa ikiwa hapana kwa kigezo kipi kilichotumika ikiwa wote ni watumishi iweje huyu awe na posho huyu anyimwe

Ikiwa suala la kufuta posho basi hilo suala liwe kwa wote isionekane kitu kina itwa posho kwa wafanyakazi wote ijukane moja

Tena wale wengine ndio balaa makambini uko nyumba zipo wazi kibao zina umeme mpaka maji lakini hawakai wapo mitiani wanalipwa posho ya pango la nyumba ikiwa nyumba zao zipo na hazina watu

Ikiwa ni kubana matumizi basi hizo posho zifuatwe vile vile posho ya hao watu ya kodi ya nyumba kila mwezi ifutwe waende kukaa makambini kwao kwani kambini nyumba zipo lakini hazikaliwi
Posho za askari zipo kisheria...
Posho zilizo futwa ni ambazo haziko kisheria na kitaratibu.
 
Kama serikali ina lengo thabiti la kubana matumizi ya serikali Basi Ianze kuondoa kitu kinachoitwa stahili za viongozi maana hicho kinakula fedha nyingi zaidi kuliko posho hizo zinazosemwa kwa juujuu wakiondoa hicho kitu hapo kweli serikali itakuwa imedhamiria kubana matumizi na watakuwa wazalendo haswa kwa kuwa hiki kitu kinahusu maslahi ya viongozi wote wa umma
Hiwezekani tukulipe mshahara mnono,tukulipie maji,nyumba,umeme simu,tukununulie samani za ndani,tukupe gari ya kukupeleka na kukurudisha kazini,tukulipie walinzi wakulinde nyumbani kwako jamani magufuli hii yote ni burden kwa watanzania wewe wape hiyo mishahahara minono usafiri na ulinzi basi mengine wayafanye kwa mishahara yao maana hata watumishi wa chini wenye vimishahara mikia ya mbuzi wanatumia mishahara yao kufanya mambo hayo.
 
Kwa ukata huu lazima watumishi wawe wezi tu,acha wawatengebezee mazingira ya watumishi kuiba
 
Kama serikali ina lengo thabiti la kubana matumizi ya serikali Basi Ianze kuondoa kitu kinachoitwa stahili za viongozi maana hicho kinakula fedha nyingi zaidi kuliko posho hizo zinazosemwa kwa juujuu wakiondoa hicho kitu hapo kweli serikali itakuwa imedhamiria kubana matumizi na watakuwa wazalendo haswa kwa kuwa hiki kitu kinahusu maslahi ya viongozi wote wa umma
Hiwezekani tukulipe mshahara mnono,tukulipie maji,nyumba,umeme simu,tukununulie samani za ndani,tukupe gari ya kukupeleka na kukurudisha kazini,tukulipie walinzi wakulinde nyumbani kwako jamani magufuli hii yote ni burden kwa watanzania wewe wape hiyo mishahahara minono usafiri na ulinzi basi mengine wayafanye kwa mishahara yao maana hata watumishi wa chini wenye vimishahara mikia ya mbuzi wanatumia mishahara yao kufanya mambo hayo.

Mkuu unaongea ukiwa Tz au Ulaya?
 
Kuna usemi unasema mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni hii kauli ya Mh Waziri mkuu kutaka kusiwepo na posho zozote kwa watumishi wa umma, je vipi kuhusu posho wanazopewa askari wetu wa majeshi nazo zimefutwa
ikiwa hapana kwa kigezo kipi kilichotumika ikiwa wote ni watumishi iweje huyu awe na posho huyu anyimwe

Ikiwa suala la kufuta posho basi
hilo suala liwe kwa wote isionekane kitu kina itwa posho kwa wafanyakazi wote ijukane moja Tena wale wengine ndio balaa
makambini uko nyumba zipo wazi kibao zina umeme mpaka maji lakini hawakai wapo mitiani wanalipwa posho ya pango la nyumba ikiwa nyumba zao zipo na hazina watu

Ikiwa ni kubana matumizi basi hizo posho zifuatwe vile vile posho ya hao watu ya kodi ya nyumba kila mwezi ifutwe waende kukaa makambini kwao kwani kambini nyumba zipo
lakini hazikaliwi

Ww jamaa aaah
 
14 Reactions
Reply
Back
Top Bottom