Ikiwa dhamana ya kwanza ya Serikali yoyote ni kulinda uhai wa Raia wake, Watanzania tuna haja ya kuwatathmini tuliowakabidhi dhamana hii

Ligaba

JF-Expert Member
Oct 12, 2018
1,045
2,821
Inashangaza kidogo, hivi hata tuliowakabidhi dhamana ya maisha yetu hawalitambui? Hawajui walipoomba kura zetu walikuwa na maana ya kuomba kulinda uhai wetu?Kwamba hawajui mmoja wa adui yetu mkubwa ni Maradhi? na sio Vita na majirani zetu, wapinzani wao kisiasa hata hili nao hawalijui?

Hivi ingekuwa vita ya msituni saa hizi si wangelikuwa wameshatenga bajeti kubwa ya dharula? Au kwa vile vita vya msituni madhara yake ni kuwatoa madarakani? Ipo wapi bajeti kubwa ya kupambana na adui maradhi? Au hawaoni hii ni vita kubwa zaidi ya msituni? MWENYEZI MUNGU TUJALIE.

Na sisi watanzania tunapowachagua Hawa watu huwa tunafahamu kwamba tunawapa dhamana ya uhai wetu? Kwamba wao ndio marefarii wa uhai wetu? Hivi tunafahamu kero za marefarii wakiamua kutokuwa upande wako?

Mbona marefarii hawa hawako upande wetu, kwa nini wamechagua kuwa upande wa ugonjwa ili watuangamize?. Hivi kuna sababu gani ya kuendelea ujenzi mkubwa wa umeme wakati unaowajengea wako katika taharuhuki inayotokana na hofu ya uhai wao? Hivi ni nani ajuaye hiyo Corona itaisha kwa mkakati gani na muda gani?

Aibu gani hii kusubiri misaada ya wazungu wakati sisi tunajenga reli, kweli? Kwa macho yetu watanzania tupembue tunaowachagua hawajui kwa nini tunawachagua. Usisikilize maneno ya wanasiasa hata wao hawajui tutavukaje, chukua hatua kubwa kujihami ila Mungu akikuvusha salama tathmini sana kwa wale unao wachagua.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahiyo mleta uzi umewapa serikali dhamana ya uhai wako? Pole sanaa mkuu.
 
U said it right. Hili jambo linatatiza na hakika linatupa kutafakari majukumu ya msingi kabisa ya serikali zetu.

Kuna jitihada zinafanyika, na wengine hawalali kabisaa wanapofikilia ni lini janga hili litapita? Je litaacha madhara gani kwa familia moja moja na jamii kwa ujumla?,

Ila kumetokea ombwe la kiuongozi, na tumetatizwa katika kutoa maahamuzi sahii kwa Wakati sahii , na hivyo jamii yetu itapata madhara makubwa sana .

Bado iko nafasi ya kuchukua hatua mathubuti ili kuhepusha madhara makubwa ya kihistoria katika Taifa letu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
U said it right. Hili jambo linatatiza na hakika linatupa kutafakari majukumu ya msingi kabisa ya serikali zetu.

Kuna jitihada zinafanyika, na wengine hawalali kabisaa wanapofikilia ni lini janga hili litapita? Je litaacha madhara gani kwa familia moja moja na jamii kwa ujumla?

Sent using Jamii Forums mobile app

Upo sahihi, watanzania tuna shida ya uelewa wa msingi wa matatizo yetu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yeah inawezekana.
Let's go hivi hufahamu kuna serikali zinaua raia wake au zinashindwa kutoa ulinzi wa kutosha kwa raia wake?

Hivi ni nani mwenye jukumu la msingi wa kulinda raia dhidi ya ujambazi, uporaji ukabaji na hata uvamizi kutoka nje au ndani?.

Na je unafahamu historia ya kuundwa kwa serikali ya mwanzo kabisa Duniani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Let's go hivi hufahamu kuna serikali zinaua raia wake au zinashindwa kutoa ulinzi wa kutosha kwa raia wake?

Hivi ni nani mwenye jukumu la msingi wa kulinda raia dhidi ya ujambazi, uporaji ukabaji na hata uvamizi kutoka nje au ndani?.

Na je unafahamu historia ya kuundwa kwa serikali ya mwanzo kabisa Duniani?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivyo vyote vinajulikana, my point is kwa hii serikali yetu mpaka hapa ilipofikia bado unaweza kusema unakaa kuitegemea hasa katika kipindi kama hiki, kitu ambacho mimi nakiona, huu ni muda wa kila mwananchi kutambua na kujali afya yake regardless serikali inafanya nini, ukikaa useme utegemee hii serikali tukufu basi jua unahatarisha usalama wako na familia yako.
 
Hivyo vyote vinajulikana, my point is kwa hii serikali yetu mpaka hapa ilipofikia bado unaweza kusema unakaa kuitegemea hasa katika kipindi kama hiki, kitu ambacho mimi nakiona, huu ni muda wa kila mwananchi kutambua na kujali afya yake regardless serikali inafanya nini, ukikaa useme utegemee hii serikali tukufu basi jua unahatarisha usalama wako na familia yako.
Tunawaza pamoja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inashangaza kidogo, hivi hata tuliowakabidhi dhamana ya maisha yetu hawalitambui? Hawajui walipoomba kura zetu walikuwa na maana ya kuomba kulinda uhai wetu?Kwamba hawajui mmoja wa adui yetu mkubwa ni Maradhi? na sio Vita na majirani zetu, wapinzani wao kisiasa hata hili nao hawalijui?

Hivi ingekuwa vita ya msituni saa hizi si wangelikuwa wameshatenga bajeti kubwa ya dharula? Au kwa vile vita vya msituni madhara yake ni kuwatoa madarakani? Ipo wapi bajeti kubwa ya kupambana na adui maradhi? Au hawaoni hii ni vita kubwa zaidi ya msituni? MWENYEZI MUNGU TUJALIE.

Na sisi watanzania tunapowachagua Hawa watu huwa tunafahamu kwamba tunawapa dhamana ya uhai wetu? Kwamba wao ndio marefarii wa uhai wetu? Hivi tunafahamu kero za marefarii wakiamua kutokuwa upande wako?

Mbona marefarii hawa hawako upande wetu, kwa nini wamechagua kuwa upande wa ugonjwa ili watuangamize?. Hivi kuna sababu gani ya kuendelea ujenzi mkubwa wa umeme wakati unaowajengea wako katika taharuhuki inayotokana na hofu ya uhai wao? Hivi ni nani ajuaye hiyo Corona itaisha kwa mkakati gani na muda gani?

Aibu gani hii kusubiri misaada ya wazungu wakati sisi tunajenga reli, kweli? Kwa macho yetu watanzania tupembue tunaowachagua hawajui kwa nini tunawachagua. Usisikilize maneno ya wanasiasa hata wao hawajui tutavukaje, chukua hatua kubwa kujihami ila Mungu akikuvusha salama tathmini sana kwa wale unao wachagua.

Sent using Jamii Forums mobile app
Marioo utawajua tu.
 
Let's go hivi hufahamu kuna serikali zinaua raia wake au zinashindwa kutoa ulinzi wa kutosha kwa raia wake?

Hivi ni nani mwenye jukumu la msingi wa kulinda raia dhidi ya ujambazi, uporaji ukabaji na hata uvamizi kutoka nje au ndani?.

Na je unafahamu historia ya kuundwa kwa serikali ya mwanzo kabisa Duniani?

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kutafuta chaka la wewe kutokuwajibika...
 
Kwani wewe unaonaje mkuu?natilia shaka huenda ww ni wa tako bee ndio maana mwandiko wako na uwezo wako unaishia hapi..alipiga tako 2 ndio ukatokea ww na kuwa hivyo ulivyo mkuu naomba kuwasilisha.ww umeisaidia nini Tz zaidi ya kulia lia ivo

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe mwenyewe ulishajijua ni lapu lapu. Kuna haja gani ya kukuelewesha. Akili yako inatosha kupenya katika tundu la sindano. Mtu mzima mwenye akili ya nursery.

Demu wangu wa zamani kanigeuza lapu lapu - JamiiForums

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa kwa mwandiko huu natilia shaka uwezo wako wa kufikiri.chukua hatua kimpango wako au hamia nchi jirani ukakae huko

Sent using Jamii Forums mobile app
.
Mkuu kwa bandiko lako hili Natalia shaka sana uwezo wako wa kifikiri, chukua hatua au hamna nchi jirani ukakae huko.

Typical manyani thinking style!

Ama kweli nyani haoni kund*****
 
Ni nchi ip VIONGOZI wao wameziwia raia Wake wasife kwa Corona?
Inashangaza kidogo, hivi hata tuliowakabidhi dhamana ya maisha yetu hawalitambui? Hawajui walipoomba kura zetu walikuwa na maana ya kuomba kulinda uhai wetu?Kwamba hawajui mmoja wa adui yetu mkubwa ni Maradhi? na sio Vita na majirani zetu, wapinzani wao kisiasa hata hili nao hawalijui?

Hivi ingekuwa vita ya msituni saa hizi si wangelikuwa wameshatenga bajeti kubwa ya dharula? Au kwa vile vita vya msituni madhara yake ni kuwatoa madarakani? Ipo wapi bajeti kubwa ya kupambana na adui maradhi? Au hawaoni hii ni vita kubwa zaidi ya msituni? MWENYEZI MUNGU TUJALIE.

Na sisi watanzania tunapowachagua Hawa watu huwa tunafahamu kwamba tunawapa dhamana ya uhai wetu? Kwamba wao ndio marefarii wa uhai wetu? Hivi tunafahamu kero za marefarii wakiamua kutokuwa upande wako?

Mbona marefarii hawa hawako upande wetu, kwa nini wamechagua kuwa upande wa ugonjwa ili watuangamize?. Hivi kuna sababu gani ya kuendelea ujenzi mkubwa wa umeme wakati unaowajengea wako katika taharuhuki inayotokana na hofu ya uhai wao? Hivi ni nani ajuaye hiyo Corona itaisha kwa mkakati gani na muda gani?

Aibu gani hii kusubiri misaada ya wazungu wakati sisi tunajenga reli, kweli? Kwa macho yetu watanzania tupembue tunaowachagua hawajui kwa nini tunawachagua. Usisikilize maneno ya wanasiasa hata wao hawajui tutavukaje, chukua hatua kubwa kujihami ila Mungu akikuvusha salama tathmini sana kwa wale unao wachagua.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom