Hivi ukiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo utafanya nini kwa Taifa lako?

1. Ningefuta nafasi za ukuu wa wilaya na mkoa.
2. Ningepunguza wizara kuwa chini ya 15
3. Ningepiga marufuku ununuzi wa magari ya anasa
4. Ubunge ungekuwa wa kujitolea - no mishahara
 
1. Ningefuta nafasi za ukuu wa wilaya na mkoa.
2. Ningepunguza wizara kuwa chini ya 15
3. Ningepiga marufuku ununuzi wa magari ya anasa
4. Ubunge ungekuwa wa kujitolea - no mishahara

Safi mkuu, lakini hapo kwenye ubunge no mshahara??? Kwa nini ungondoa mshahara?
Yale magari ya anasa au magari ya kazi?
Na hapo wilaya zingeongozwa na nani sasa?

Ahsante mkuu.
 
Ningenyooka na mikataba ya madini first, yaani kuninafsisha sector ya madini ni sawa na kumwachia mgeni wako ur master bedroom+wife+password to your safe. Among the things I appeeciate the late father of the nation ni kuacha madini tuje tuchimbe wenyewe when we are ready. Rest in Peace Julius Kambalage
 
Migodi yote ingemilikiwa na wazawa,mashoga wangenikoma kwa sheria ya kuwazamisha baharini,walimu,madactari wangelipwa mara mbili kwa mwezi,bunge lingekaa wiki moja tu{kuanzia saa 2asubuh hadi 5usiku. Wanajeshi ndio wangekuwa wananiletea tathmini ya kuwaneemesha kiuchumi wananchi na si wanasiasa,majangili na wauza madawa ya kulevya wangekuwa wanauwawa live siku nahutubia taifa,nisingekuwa na Ikulu,msafara ungekuwa na mahema popote pale ningekaa, kuonana na kupokea mahitaji ya wananchi. NB wananchi wangenenepeana kwa utawala bora.
 
mimi ninge fanya yafuatayo,
  1. Ningefufua reli na kuziboresha Ziwe mbili mbili moja kwenda moja kurudi.
  2. Miji yote pawepo na miundo mbinu ya reli ili kuwezesha city trains kama kwa wenzetu ulaya.
  3. Ningemalizia na kuboresha barabara zilizopo
  4. Ningeboresha mazingira ya kilimo kwa kutoa elimu kwa wakulima na kutengeneza mazingira ya masoko mazuri ya mazao ya wakulima.
  5. Ningepunguza kodi kwa wafanyakazi iwe atleat 10% na kupanua wigo wa kodi kwa kuhakikisha Kila mwananchi analipa kodi reasonably kuanzia Rais Mpaka mwananchi wa kawaida, na kutengeneza mazingira yanayovutia kulipa kodi kuliko kukwepa. Hii ingeongeza mapato ya serikali,
  6. ningeruhusu mashirika ya uma kufanya biashara na kulipa kodi kama kwa kutoa huduma bora.
  7. Ningepunguza utegemezi kwa mataifa ya nje kwa ku-focus zaidi katika kuimarisha uchumi wa ndani na vyanzo vyetu, Madini yote ni yetu hivyo tunge uza wenyewe,gesi an rasilimali zote tulizo nazo, ningepitia upya mikataba yote tuliyo ingia na kuuza mashirika mfano NBC
  8. na kila shirika lililowahi kuuzwa kwa namna yoyote na kuyafanya ya resikali na kuyaboresha upya na wale wazungu wanaofanya kazi nisinge wafukuza bali ninge waajiri wawafundishe kazi watanzania.
  9. ningefufua kile kiwanda chetu cha kutengeneza magari cha NYUMBU izae kila aina ya gari kama ilivyo TATA leo.
  10. Ningeboresha miji kwa kuweka huduma zote muhimu.
  11. Ningeongeza idadi ya Hospitali zenye hadhi ya rufaa na za kawaida na kuboresha sana Mazingira ya kazi na vitendea kazi vya Madactari
  12. ningechukua na kufanyia kazi changamoto mbalimbali zinazotolewa kwa chama changu tawala kutoka kwa vyama pinzani na kuweka mazingira ya amani na umoja wa kitaifa.
  13. Baadhi ya mambo ya msingi ninge iga mazuri ya nchi nyingine mfano USA, National interests first vyama baadae, ili kwamba chama kingine kikija mambo ya msingi kwa Taifa mfano Elimu na Rasilimali za Taifa ziwe priority always for the future of our nation.
  14. Ningepiga marufuku matendo ya kishetani mfano ushoga na mengine ya aibu ili kujenga taifa lenye tabia njema.
 
Suppose umepata nafasi ya kuwa Rais wa Tz. leo keeping other factors constant ungefanya nini au mambo gani mema yenye kuleta maendeleo usisahaulike? I well come you all

Rais wa Tanzania si mgombea binafsi anayetakiwa kubuni na kutunga afanye nini akiingia Ikulu.Anayotakiwa kuifanyia nchi yameainishwa katika ilani ya uchaguzi wa Chama chake.
 
Safi mkuu, lakini hapo kwenye ubunge no mshahara??? Kwa nini ungondoa mshahara?
Yale magari ya anasa au magari ya kazi?
Na hapo wilaya zingeongozwa na nani sasa?

Ahsante mkuu.

Wabunge wanatakiwa wawe na ama biashara zao au ajira zao. Ikiwa mwajiriwa atagombea na kupata ubunge basi aendelee kupata mshahara kutoka kwa mwajiri wake (kwa rate ile ile anayopata/watakayopata wenzake wenye cheo kama chake) ila serikali imfidie mwajiri.

Wilaya zifutwe, ibaki mikoa (na iwe na eneo kubwa zaidi la kijiografia) na mkuu wake achaguliwe na wananchi. Zaidi ya majeshi na baadhi ya viongozi wanaohitaji usalama hakuna sababu ya serikali kuwa na magari - huduma ya usafiri iwe out-sourced.
 
Ningekua Dictaror
1-Ukidhibitika umetoa/kupokea rushwa kifungo cha maisha/kunyongwa
2-Ningebadili mfumo wa elimu kuwa na vitu vichache sana vyenye tija (kilimo, ufugaji, ufundi stadi) mambo ya elektoniki nigewaachia nchi wanayoyaweza hayo mambo kutupatia huduma (outsourcing)
3-Wabunge wangelipwa kutokana na jinsi wanavyotekeleza au kutimiza malengo na wajibu wao. Hakuna fixed amount kwa wote.
4 - Mawaziri wote wangekua wanaomba kama nafasi zingine za ajira, unajieleza kwa nini tukupe wizara fulani na utatufanyia nini ili usipowajibika tukuwajibishe.
5 - Ningeshirikisha wataalamu kuandaa mpango maendeleo wa nchi unaozingatia vipaumbele vya nchi na ufuatwe licha ya chama gani kipo madarakani. Mkipata nafasi ya kushika nchi, mnajua kabisa kwamba dictator Samaritan ametutoa A mpaka D, sisi inabidi tuendeleze from D to F kwa kipindi mtakachokuwa madarakani.
6 - Kwa kuwa ntakua Dictator, ntapitia mikataba yote na kufuta yoye yenye chembechembe za rushwa au maslahi ya wachache.
 
Last edited by a moderator:
mimi ninge fanya yafuatayo,
  1. Ningefufua reli na kuziboresha Ziwe mbili mbili moja kwenda moja kurudi.
  2. Miji yote pawepo na miundo mbinu ya reli ili kuwezesha city trains kama kwa wenzetu ulaya.
  3. Ningemalizia na kuboresha barabara zilizopo
  4. Ningeboresha mazingira ya kilimo kwa kutoa elimu kwa wakulima na kutengeneza mazingira ya masoko mazuri ya mazao ya wakulima.
  5. Ningepunguza kodi kwa wafanyakazi iwe atleat 10% na kupanua wigo wa kodi kwa kuhakikisha Kila mwananchi analipa kodi reasonably kuanzia Rais Mpaka mwananchi wa kawaida, na kutengeneza mazingira yanayovutia kulipa kodi kuliko kukwepa. Hii ingeongeza mapato ya serikali,
  6. ningeruhusu mashirika ya uma kufanya biashara na kulipa kodi kama kwa kutoa huduma bora.
  7. Ningepunguza utegemezi kwa mataifa ya nje kwa ku-focus zaidi katika kuimarisha uchumi wa ndani na vyanzo vyetu, Madini yote ni yetu hivyo tunge uza wenyewe,gesi an rasilimali zote tulizo nazo, ningepitia upya mikataba yote tuliyo ingia na kuuza mashirika mfano NBC
  8. na kila shirika lililowahi kuuzwa kwa namna yoyote na kuyafanya ya resikali na kuyaboresha upya na wale wazungu wanaofanya kazi nisinge wafukuza bali ninge waajiri wawafundishe kazi watanzania.
  9. ningefufua kile kiwanda chetu cha kutengeneza magari cha NYUMBU izae kila aina ya gari kama ilivyo TATA leo.
  10. Ningeboresha miji kwa kuweka huduma zote muhimu.
  11. Ningeongeza idadi ya Hospitali zenye hadhi ya rufaa na za kawaida na kuboresha sana Mazingira ya kazi na vitendea kazi vya Madactari
  12. ningechukua na kufanyia kazi changamoto mbalimbali zinazotolewa kwa chama changu tawala kutoka kwa vyama pinzani na kuweka mazingira ya amani na umoja wa kitaifa.
  13. Baadhi ya mambo ya msingi ninge iga mazuri ya nchi nyingine mfano USA, National interests first vyama baadae, ili kwamba chama kingine kikija mambo ya msingi kwa Taifa mfano Elimu na Rasilimali za Taifa ziwe priority always for the future of our nation.
  14. Ningepiga marufuku matendo ya kishetani mfano ushoga na mengine ya aibu ili kujenga taifa lenye tabia njema.

Chukua like yangu hio
 
Ningekua Dictaror
1-Ukidhibitika umetoa/kupokea rushwa kifungo cha maisha/kunyongwa
2-Ningebadili mfumo wa elimu kuwa na vitu vichache sana vyenye tija (kilimo, ufugaji, ufundi stadi) mambo ya elektoniki nigewaachia nchi wanayoyaweza hayo mambo kutupatia huduma (outsourcing)
3-Wabunge wangelipwa kutokana na jinsi wanavyotekeleza au kutimiza malengo na wajibu wao. Hakuna fixed amount kwa wote.
4 - Mawaziri wote wangekua wanaomba kama nafasi zingine za ajira, unajieleza kwa nini tukupe wizara fulani na utatufanyia nini ili usipowajibika tukuwajibishe.
5 - Ningeshirikisha wataalamu kuandaa mpango maendeleo wa nchi unaozingatia vipaumbele vya nchi na ufuatwe licha ya chama gani kipo madarakani. Mkipata nafasi ya kushika nchi, mnajua kabisa kwamba dictator Samaritan ametutoa A mpaka D, sisi inabidi tuendeleze from D to F kwa kipindi mtakachokuwa madarakani.
6 - Kwa kuwa ntakua Dictator, ntapitia mikataba yote na kufuta yoye yenye chembechembe za rushwa au maslahi ya wachache.

Ni kweli ukiwa dictator pia inasaidia. maana sometimes wananchi wanaandamana bila sababu za msingi kwa vile tu kuna uhuru wa aina fulani. Lakini hata usipo kuwa dictator unweza kuwa strict na sheria na misimamo ambayo itapelekea kufikia malengo ambayo watu watafurahi.
mara nyinyi hata familia kipindi wanajenga huwa ni kipindi kigumu kimaisha, kuna mambo fulani yasiyo ya lazima gharama zake hupelekwa mbele. Nchi pia hivyo hivyo, ili kuijenga lazima kuna watu waumie kwa manufaa ya baadae ya wengi. It is all about difficult decision making.
 
Ni kweli ukiwa dictator pia inasaidia. maana sometimes wananchi wanaandamana bila sababu za msingi kwa vile tu kuna uhuru wa aina fulani. Lakini hata usipo kuwa dictator unweza kuwa strict na sheria na misimamo ambayo itapelekea kufikia malengo ambayo watu watafurahi.
mara nyinyi hata familia kipindi wanajenga huwa ni kipindi kigumu kimaisha, kuna mambo fulani yasiyo ya lazima gharama zake hupelekwa mbele. Nchi pia hivyo hivyo, ili kuijenga lazima kuna watu waumie kwa manufaa ya baadae ya wengi. It is all about difficult decision making.

Mkuu umeongea point ya muhimu sana. Na watu wengi huwa wanasahau kwamba kuongoza nchi ni kama familia tu ila tofauti yake ni ukubwa tu. Unakuta mtu anamlaumu Raisi kwamba hafai wakati yeye mweneywe familia yake imemshinda, nonsense!

Hapo nimesema ntakua dictator kwa sababu kuna baadhi ya maamuzi hayatakuwa rahisi ukifuata sheria na taratibu za nchi, matokeo yake utajikuta unarudi pale pale, mtu anakesi mahakamani, mnamruhusu agombee ubunge na kesi haieleweki inavyoenda.

Kama mtu alikua madarakani, bila ya kujali alikua na wadhifa gani, ila imedhibitika kwamba alifuja mali za wananchi, hapatakua na suala la katiba inamlinda sijui nani...lazima ntawawajibisha tena kwa kiwango cha kuwafanya wengine wasitamani kurudia hayo makosa.

Hayo yote huwezi kuyafanya kama sio dictator mkuu
 
Back
Top Bottom